Jamaa hakuwa hata na wakili wa kumtetea, alijitetea mwenyewe na amewashinda.. Bravo Lissu
Hongereni watu wa Singida Mashariki kwa kumpata M bunge Lissu,mie namshukuru MUNGU Mtwara-Mjini tumempata M bunge kilaza Murji ni tatizo kubwa kazi ya kugonga Meza tu.Ee Mungu tujalie M bunge kama Lissu sisi wana Mtwara.
Hapana Mkuu huyo Mh. kwenye red chati yake imepanda ghafla baada ya kusaini ile orodha ya Zitto ya kumuwajibisha Pinda. Ni katika wana-CCM watano waliothubutu wakiwemo Mh. Nimrod Mkono, Deo Filikunjombe, Esther Bulaya, na Ali Kessy. Kama kuna kosa aliwahi kufanya msameheni kwa sharti asirudie tena.
Bora Dk.Slaa awe Rais kuliko T.Lissu kuwa Mbunge. 'JK'
hivi kitu gani hasa JK aliona kwa Tundu Lisu mpaka akasema hivo?
hivi kitu gani hasa JK aliona kwa Tundu Lisu mpaka akasema hivo?