Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 4,045
- 3,603
utakuta 'wanashughulika' kwenye migomba saa hizi...teh teh teh...!Jamani hiyo kesi mbona maendeleo hatupati, nyie watu wa runazi,katoke, kanywamaizi, kankende, rubondo mko wapi ?
utakuta 'wanashughulika' kwenye migomba saa hizi...teh teh teh...!Jamani hiyo kesi mbona maendeleo hatupati, nyie watu wa runazi,katoke, kanywamaizi, kankende, rubondo mko wapi ?
Naomba ugonjwa huo uuite UPOKI = Upungufu wa POinti KIchwa
Jamani hiyo kesi mbona maendeleo hatupati, nyie watu wa runazi,katoke, kanywamaizi, kankende, rubondo mko wapi ?
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.
Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.
siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.
cdm = chademavipi baba mchungaji, mbona haujasomeka???
Ta Muganyizi una makamanda huko. wasiliana nao watupe data. km hawana id jf wafundishe wajiunge ili walete data.. nawasilisha wakuu.
vipi baba Mchungaji, mbona haujasomeka???
Kesi Imeahirishwa kutoka saa 7 : 00 hadi saa 9 :00 sijui kuna mpango gani ilikuwa saa 5 ikawa saa7 na sasa naambiwa ni saa 9!!!
Kuna uwezekano kuwa hukumu mpya inachapwa?
Oscar mukasa alionewa sana jamaa yule.
Wangemchagua oscar wangepata maendeleo sana jamaa ni mtafiti mzuri na anatisha katika fani yake.
siasa chafu ndio zilizomuangusha jamaa, watu waliikata hadi migomba yake kwa chuki ila i hope atashinda tu kesi.
kufuatia kilichotokea huko sumbawanga yote yanawezekana!! walikuwa wameandaa ya kuinyoa cdm ila baada ya kuona kule sumbawanga wamewanyoa ccm basi na yeye anataka kufata trend ileile...kuliyeyusha gamba!
cdm = chademavipi baba mchungaji, mbona haujasomeka???