Kwa sheria ya ndoa dada hawezi kuondoka na chochote ambacho ulinunua wewe kabla ya ndoa yenu. Kwa vitu vilivyochumwa ndani ya ndoa haina budi kugawana ila pia si lazima mgawane pasu kwa pasu. Endapo ukipata wakili mzuri atakayeionyesha mahakama kuwa Kwa asilimia kubwa ni wewe ndio ulisimamia show, hawezi kupewa 50% maybe 30 or 20% .Amenikuta nina mali zangu tayar na pia hata baadaye ununuzi wa viwanja ilikuwa ni kwa cash yangu bila kuomba sent ya mshahara wake kwenye ajira yake
Ila zaidi msihi Mungu upate haki yako. Usiroge mtu kaka, Mungu aliyekupa nguvu na maarifa ya kutafuta kipindi kile atakuwezesha tena