sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,080
- 2,308
Nahisi kuchanganya sana, hukumu tar 8 mwezi huu, shida yangu sio kuachana naye au kwamba siwezi maisha bila yeye bali naumia sana swala kugawana mali kichwa inawaka moto na katika ukweli amenikuta tayari nina maisha yangu, nyumba viwanja na mengine ila leo hii anataka mgawanyo.
Naamini kabisa ikiwa kitatokea hivi basi uchumi wangu utashuka na kuyumba kwa zaidi ya 70%, ni kama kuanza upya maisha, mipango yangu itakwama ghafla.
Inaniuma.. inaniuma.. inaniuma! Umri wangu ni kijana ambaye nimejitafuta na nikajipata kwa sehemu fulani. Alhamduallah.
Kuuuza mali akili haijawa tayari kuyapokea haya, sipo tayari kwa namna yoyote. Nasubir Mungu anitendee haki kama kweli yupo hata ruhusu haya na akiruhusu haya yatokee inaweza kuwa ndio mwanzo na mwisho wa kusali au kutoa sadaka, mwanzo na mwisho wangu kuabudu, haiwezekani.
Najua wapo wataonitukana kama ambavyo imekuwa kawaida, namwachia Mungu, huenda mimi sio haki yangu hata kuishi ila wao wanayo.
Mwanamke mmoja anaweza anaweza sababisha ukachukia wote.
We Mungu weeeeee, siku zinavyoenda afya yangu inazirota naiona kabisa, mvi zinadizi kuongezeka kwa stress, mambo yangu na miradi inasimama, ufanisi hakuna tena.
Jina langu pia ni kubwa sana kibiashara mkoa nilipo katika umri huu wa miaka 34 lakini huenda anguko likawa kubwa kuliko chochote ambacho nimewahi shuhudia kikianguka.
Tuombeane amani. Nimejikuta nakumbana na maadui wengi ambao sikuwahi hata kuwakosea. Leo wanashangilia na kumtakia mema mwanamke apate anachotaka!
Nahitaji msaada sana kuliko fedhea, lawama au vicheko.
Naamini kabisa ikiwa kitatokea hivi basi uchumi wangu utashuka na kuyumba kwa zaidi ya 70%, ni kama kuanza upya maisha, mipango yangu itakwama ghafla.
Inaniuma.. inaniuma.. inaniuma! Umri wangu ni kijana ambaye nimejitafuta na nikajipata kwa sehemu fulani. Alhamduallah.
Kuuuza mali akili haijawa tayari kuyapokea haya, sipo tayari kwa namna yoyote. Nasubir Mungu anitendee haki kama kweli yupo hata ruhusu haya na akiruhusu haya yatokee inaweza kuwa ndio mwanzo na mwisho wa kusali au kutoa sadaka, mwanzo na mwisho wangu kuabudu, haiwezekani.
Najua wapo wataonitukana kama ambavyo imekuwa kawaida, namwachia Mungu, huenda mimi sio haki yangu hata kuishi ila wao wanayo.
Mwanamke mmoja anaweza anaweza sababisha ukachukia wote.
We Mungu weeeeee, siku zinavyoenda afya yangu inazirota naiona kabisa, mvi zinadizi kuongezeka kwa stress, mambo yangu na miradi inasimama, ufanisi hakuna tena.
Jina langu pia ni kubwa sana kibiashara mkoa nilipo katika umri huu wa miaka 34 lakini huenda anguko likawa kubwa kuliko chochote ambacho nimewahi shuhudia kikianguka.
Tuombeane amani. Nimejikuta nakumbana na maadui wengi ambao sikuwahi hata kuwakosea. Leo wanashangilia na kumtakia mema mwanamke apate anachotaka!
Nahitaji msaada sana kuliko fedhea, lawama au vicheko.