ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Ukitaka kuuza inakuaje? Mama alifariki Je? Mwisho ukiandika jina la mama na ana ugomvi na baba lazima atamwambia mwanamke wako.Andika jina la mama yako
Kuandika majina ya Wazazi ni sawa ila waandike na wosia kabisa kwamba hizi Mali nampa Fulani vinginevyo hutoweza kuziuza na itokee ndugu wengine wamezijua si utazifanya ziwe za familia Sasa? 😆😆