Watoto wamejaa wengi humu siku hizi, hata Mods ukiwapa ripoti kutumia ile button yao sijaonaga response ya Haraka, nadhani mleta mada anastahili ban angalau ya wiki moja.Sasa mkuu Matola tumfanyeje mtu huyu aliyetudanganya watu wa humu JF? Asulubiwe, asulubiwe
Ndio, hii ilikuwa ni kwa mbinu za kishenzi zilizoendeshwa na mijitu kama ninyi msio hata na chembe ya aibu nyusoni mwenu.Uchaguzi Mkuu mkashindwa pamoja. Kwi kwi kwi teh teh teh!
Apigwe ya mwakaAlituingiza chaka apigwe Ban kwa kuleta uongo hapa JF
Tiyari tumekwisha kufika mahakani watu ni wengi mno wa vyama vyote viwili yani ccm na chadema. Ulinzi upo kila kona ya mahakama jaji bado hajawasili. Endelea kuwa nimi kila kitu ukipate.
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
Wikiendi inakaribia kuanza kwa wengine, labda Mods wameshaianza!Watoto wamejaa wengi humu siku hizi, hata Mods ukiwapa ripoti kutumia ile button yao sijaonaga response ya Haraka, nadhani mleta mada anastahili ban angalau ya wiki moja.
"Serikali inaingilia uhuru wa mahakama" Jaji mkuu.
Apigwe ya mwaka
Hivi Mnyika sio mpare nae..Hawa Ng'umbi nae mpare, hii itakuwa kama ya segerea kabila moja lazima wapendeleane
Tiyari tumekwisha kufika mahakani watu ni wengi mno wa vyama vyote viwili yani ccm na chadema. Ulinzi upo kila kona ya mahakama jaji bado hajawasili. Endelea kuwa nimi kila kitu ukipate.
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
Jaji Upendo Msuya ndiye alimhukumu Babu Seya simwamini saaana