Hukumu dhidi ya Tundu Lissu yadhihirisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Wakala wa CCM

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Wamejiaibisha mno
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Si alisema anawafuasi ?,andamaneni kupinga adhabu hiyo kuliko kutumia muda mwingi kupotosha ,pathetic
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Sii tu wakala Bali ni mojawapo ya mbeleko za ccm.
 
Wanaisingizia SAU wangenyoosha maelezo kuwa CCM wameenda kulalamika maji yalipofika shingoni! CCM kwa walipofika kama mnakimbia uwanja wa mita 100 unawapa mita 30 halafu ndo unaanza bado unawapita na wanakukuta mwisho wa uwanja umeshamaliza kulamba na Glucose
Mipango ni full kutumia mbeleko ndicho kilichobakia kwao kwani maji yamewafika shingoni kweli kweli,Bado kidogo kuyanywa na kuzama na kufa.
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Mahera na Semistocles ni watu wa kunyonga huko baadaye.
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
UMEBWABWAJA HIZI PROPAGANDA, WEWE MWENYEWE NA SIMU YAKO UKATUPIA HAPA, LAKINI UKIAMBIWA AU UKIIITWA UTHIBITISHE HAYA MAANDIKO YAKO, UTAANZA KUJA KULILIA HAPA MITANDAONI TENA. UKIITWA UDHIBITISHE KUWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NI YA CCM, UNAISHAIDII??
 
S
Mbona kama umepaniki!! Mnajisikiaje kubebwa na Tbccm, policcm, necccm, habari leoccm, tcraccm, nk?

Pamoja na kubebwa kote huko, lakini bado mnanyooshwa na kiumbe mmoja tu anayeitwa Tundu Lissu!!
Sasa kama unajua hivyo vyote ni Mali ya ccm, kwa nini umechukua form kugombea uraisii??
 
UMEBWABWAJA HIZI PROPAGANDA, WEWE MWENYEWE NA SIMU YAKO UKATUPIA HAPA, LAKINI UKIAMBIWA AU UKIIITWA UTHIBITISHE HAYA MAANDIKO YAKO, UTAANZA KUJA KULILIA HAPA MITANDAONI TENA. UKIITWA UDHIBITISHE KUWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NI YA CCM, UNAISHAIDII??
Kwani wewe ni mmoja was wasemaji was mbeleko zao.
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Adhabu unayosemea ni ipi wakati alishiikataa na haitambui. Kesho jumapili watu wake wa logistic za kampeni wameshaandaa mkutano tatizo liko wapi tena? au na wewe ni bendera fuata upepo
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Hapa hakuna tume kuna shina la CCM
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi

Lisu ana kiburi na hufanya kusudi

Tume imefanya vyema sana

Mamlaka nyingine nazo zinatakiwa kufanya kama tume (kuchukua hatua kali dhidi ya mgombea na penye ulazima kwa chama kizima)
 
Back
Top Bottom