MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,092
[h=3][/h]
Mdada huyu aliacha shughuli zote alizokuwa akizifanya katika simu yake na kumshangaa mwanadada, msanii wa muziki wa kizazi kipya tena anayetokea katika familia ya kimuziki, Maunda Zorro, wakati akiingia ukumbini ktk sherehe za KILI TIME AWARDS huku akisalimiana na kila mtu na kuwaacha hoi baadhi ya watu waliokuwamo ukumbini humo.