Huku tunapoelekea sasa Tanzania sijui wapi?

Huku tunapoelekea sasa Tanzania sijui wapi?

UmaGharibi ambao hauna kichwa wala miguu yaan ni bora uonekane wa kale kuliko kuwa uonekane Malaya km Maunda na aliyemuoa anamtindio wa ubongo km yeye,,,shapeless

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Oooo laiti ningelikuepo my wife wangu angepumzika maana ningemaliza kila kitu. Wanamuziki 90% ni Malaya wa kutupwa. Unakumbuka ushuhuda wa K-Bazil kabla ya kuokoka? Hao umalaya ni sehemu ya ustaa wao
 
wengi wanataka kudraw attention ya watu.
Kwani,inasemekana wanaume tumekuwa wagumu kuomba,sasa inabidi tuonyeshwe TULE KWA MACHO.!
 
4.JPG


Mtindi anao lakini kitovu hana Mkuu Mbuzi Mzee
 
Last edited by a moderator:
[h=3][/h]

Mdada huyu aliacha shughuli zote alizokuwa akizifanya katika simu yake na kumshangaa mwanadada, msanii wa muziki wa kizazi kipya tena anayetokea katika familia ya kimuziki, Maunda Zorro, wakati akiingia ukumbini ktk sherehe za KILI TIME AWARDS huku akisalimiana na kila mtu na kuwaacha hoi baadhi ya watu waliokuwamo ukumbini humo.

Kutembea uchi hadharani hawa vijana wameishaifanya style....Inafuatia nini sasa eeh Yarabi?
 
Biashara matangazo...ni bora tu angelitembea pasi nguo tungemwelewa.
 
hii cha mtoto, majuzi 24th niliranda maeneo ya Leaders nimekuta gari ya polisi imeegesha kandoni na mwanadada akiwa uxchi wa mnyama anawaoneshea wale polisi maungo yake...baadae nimerudi yule dada yupo anaranda kama kawa,....nilijiuliza sana.............
 
Tatizo kubwa kwa wasanii wetu ya kuto kuwa na elimu ya kutosha wanafikiri usuperstar ni kukaa uchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom