GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Huku tunaojali na Kuipambania Tanzania yetu tukiwa busy Kuiokoa Wasiojali na Vibaka wako Jangwani muda huu
Hakika Asali ya Shilingi Milioni 20, Asali ya Ndege Uarabuni, Asali ya Mapochopocho Magogoni Big House na Ndege Umbeyani imewafanya wasiwe na Uchungu wa kutaka kujua lolote lihusulo Bandari kwani huenda Wao wakawa si Watanzania.
Na jinsi wengi Wao waliokusanyika hapo Mkusanyikoni Grounds wanasifika kwa kuwa Vibaka leo Watu watalizwa sana Simu na Pochi kisha Wajuba wataenda Kuibukia Kigogo Darajani.
Hakika Asali ya Shilingi Milioni 20, Asali ya Ndege Uarabuni, Asali ya Mapochopocho Magogoni Big House na Ndege Umbeyani imewafanya wasiwe na Uchungu wa kutaka kujua lolote lihusulo Bandari kwani huenda Wao wakawa si Watanzania.
Na jinsi wengi Wao waliokusanyika hapo Mkusanyikoni Grounds wanasifika kwa kuwa Vibaka leo Watu watalizwa sana Simu na Pochi kisha Wajuba wataenda Kuibukia Kigogo Darajani.