Huku ni kufukua makaburi au ni kujipaka matope?

Nimemaliza shughuli zangu za kila siku kama ilivyo ada nimechukua gazeti la Mwananchi, nashangaa kukuta hii habari, Waziri mkuu wa nchi yetu ambae ni mkuu wa shughuli za serikali ametoa amri kuwa wakurugenzi walionunua magari ya Sh 270 wajieleze. Kwamba walitoa wapi pesa za kununulia hayo magari. Wakurugenzi hao ni wa halmashauri za Kahama, Chato, jiji la mwanza na Msalala.

Ghafla bin vuu nikakumbuka kuwa mkuu wa kaya mwenyewe aliwahi kukiri kuwa Watanzania sio wajinga na unapowaletea habari ambazo haziingii akilini watakaa kimya ila kumbuka watakuchora na kukusanifu kama katuni

Tujiulize kama watu wenye akili timamu, taratibu za kununua magari zikoje? Yaani mpaka hawa wakurugenzi wanaambiwa wajieleze,je hawakufuata taratibu?

Au ndio kuondoa aibu kisa tu Mkurugenzi wa Geita alisimamishwa kimakosa? Na hii ni baada ya wananchi kuona kuwa mkurugenzi hawezi kununua gari kwa maamuzi yake!

Kwa nini hii habari ya kuhoji gharama za magari ya wakurugenzi iwe sasa awamu hii tunapoenda kumaliza ngwe ya pili? Hapo mwanzo mbona ilikuwa kimya? Na tuliona karibu kila halmashauri zina Vx v8 yenye thamani zaidi mil 270!

Je, huku ni kujipaka matope au ndio kufukua makaburi?
Waziri mkuu wa nchi yetu ambae ni mkuu wa shughuli za serikali ametoa amri kuwa wakurugenzi walionunua magari ya Sh 270 wajieleze.

Rekebisho hapo isomeke milioni 270.

Aidha; mleta uzi ni hivi bajeti ile inatoka kwenye Serikali za Mitaa ambazo ndipo zilipo Halmashauri na Manispaa ambazo bajeti zake hupitishwa na Baraza la Madiwani.

Kwahiyo iwapo Madiwani waliambiwa fedha hizo ni msaada au hawakupata au kupewa nafasi ya kuzijadili na kupitiswa kea bajeti kwa zile ndiooo zetu. Tatizo hilo lazima lirudishwe kwa Wakuu wa wilaya hao na waelezee mchakato upivyokwenda
 
Nimemaliza shughuli zangu za kila siku kama ilivyo ada nimechukua gazeti la Mwananchi, nashangaa kukuta hii habari, Waziri mkuu wa nchi yetu ambae ni mkuu wa shughuli za serikali ametoa amri kuwa wakurugenzi walionunua magari ya Sh 270 wajieleze. Kwamba walitoa wapi pesa za kununulia hayo magari. Wakurugenzi hao ni wa halmashauri za Kahama, Chato, jiji la mwanza na Msalala.

Ghafla bin vuu nikakumbuka kuwa mkuu wa kaya mwenyewe aliwahi kukiri kuwa Watanzania sio wajinga na unapowaletea habari ambazo haziingii akilini watakaa kimya ila kumbuka watakuchora na kukusanifu kama katuni

Tujiulize kama watu wenye akili timamu, taratibu za kununua magari zikoje? Yaani mpaka hawa wakurugenzi wanaambiwa wajieleze,je hawakufuata taratibu?

Au ndio kuondoa aibu kisa tu Mkurugenzi wa Geita alisimamishwa kimakosa? Na hii ni baada ya wananchi kuona kuwa mkurugenzi hawezi kununua gari kwa maamuzi yake!

Kwa nini hii habari ya kuhoji gharama za magari ya wakurugenzi iwe sasa awamu hii tunapoenda kumaliza ngwe ya pili? Hapo mwanzo mbona ilikuwa kimya? Na tuliona karibu kila halmashauri zina Vx v8 yenye thamani zaidi mil 270!

Je, huku ni kujipaka matope au ndio kufukua makaburi?
Watafitiana mwisho wataumizana wenyewe nasisi tutakaa kimya.
 
Kitu usichokijua ni hii kauli ya kuwa mkuu wa kaya anafanya kila jambo, na wamekuwa wakimtuhumu kwamba amekuwa one man show,

Ki ukweli inawezekana katika office ya waziri mkuu ilipitisha haya magari lakini kwa kupitia wakasimu madaraka wa waziri hasa kwenye masuara ya ndani.

Pia nakumbuka haimashauli zilipangiwa kunukua magari nadhani yasiyozidi milioni 200 kama si 150 na ni zile toyota double cabin hilux sasa hawa wa kahama na geita wanafukuzana kununua magari hayo kwa faida ipi?

Nakumbuka kipindi cha kikwete watu walilalamika sana kuhusu magari ya bei kubwa, sasa iweje kwa mbana matumizi wewe ukanunue gari la bei kubwa lisilozalisha ni mapato tena ambalo haliwezi kusaidia hata kubeba madawa kupeleka kwenye kituo cha afya?

Hao kama wanadhami wao ni special sana basi watumbuliwe tu. Niliona gari la mkuu wa mkoa wa mara baada ya ile ya zamani kupata ajari wakamletea plado sas iweje mkurugeni atembee na ya 400 au 270 wakati mkuu wa mkoa ana ya chini ya 200? Nasema hao watumbuliwe tu kwa kuwa hawakutumia akiri kufikili.

Sasa wafanya biashara tunakamliwa pesa kisha mtu umekaa offisini na mshahara kutoka kwetu unalipwa kisha ujione bishoo wakati watu bado hawana maji?

Watumbuliwe tu waje tusaidiane kuzitafuta ili nao walipe kodi kwa kusumbua akiri.
Sidhani kama Mkurugenzi wa Geita alienda Toyota, akachagua gari alilolitaka halafu akachukua pro forma invoice ya gari analotaka halafu akawaandikia cheki ya malipo. Kama alifanya hivyo anastahili kweli kuchukuliwa hatua. Kama hakufanya hivyo basi kuna masuali kadhaa ambayo yanahitaji majibu kabla ya kumhukumu.
1. Nini kilisababisha gari linunuliwe? Mkurugenzi alikuwa hana gari? Gari la Mkurugenzi lilikuwa bovu? Au lilionekana halina staha ya Mkurugenzi?
2. Ni nani aliamua aina ya gari linalotakiwa kununuliwa? Taratibu zilifuatwa? Lilikuwemo kwenye bajeti? Madiwani walipitisha? Ofisi ya Waziri Mkuu ilipitisha? Aliyepitisha alikuwa na mamlaka ya kupitisha na kutoa kibali? Vigezo gani vinatumika katika kutoa vibali? Wakurugenzi wengine wanatumia magari gani? Kama madiwani walihusika kwa nini siku zote hizi walikaa kimya kama waliona kuwa sio gari walilopitisha?
3.Je serikali ina viwango vya magari kwa ajili ya maafisa wake? Aina gani ya magari ( SUV, Double cabin pick ups, saloon etc) yanatakiwa kwa kila afisa? K.m. Mkurugenzi anatakiwa kutumia SUV yenye cc fulani, ina kiyoyozi au la, consumption yake ya mafuta ikoje n.k. bila kujali bei? Gari lililonunuliwa linakidhi hivi viwango?
4. Taratibu za manunuzi zilifuatwa? Ziliitishwa tender au ilikuwa ni single source? Nani alifanya evaluation ya hizo tender? Ni nani aliyekubali bei ya aliyeshinda zabuni? Ni nani aliyeagiza hilo gari?
5. Nani alilipokea gari na kulikabidhi kwa Halmashauri?
6. Kwa nini hii suala linaibuka sasa?

Ili kupata majibu ya maswali haya wala hapahitaji kamati. Internal Auditor wa Wizara anaweza kuifanya tu vizuri. Baada ya majibu kupatikana, na kama itaonekana kuna makosa yalifanyika basi taratibu ziboreshwe ili makosa yasijirudie.

Baada ya yote haya ndio iitwe Press Conference ili kuwafahamisha wananchi kuhusu hatma ya suala hili. Siku saba hazitoshi na mwisho wa siku itakuwa zoezi la kutafuta mchawi ambalo halitakuwa na tija kwa taifa.

Amandla...
 
Msukuma yako sawa, anayo mabasi mengi zaidi ya 15 tuu, anazo helicopters, ana nyumba zaidi ya 300.ana, migodi mitatu. Msukuma billionaires.
Kwa hiyo mkuu mtu akivaa suti anapoteza sifa ya wizi, unyang'anyi, uhujumu au umiliki wa roho mbaya yenye chuki na wivu?
Una hakika umiliki wake mali hizo ni halali?
Kifupi: ukiona mtu anajipendekeza sana na kuwapigia kelele wengine jua nyuma yake kuna makubwa anayaficha...
Sawa na jambazi akamatwapo kibaka...
 
Waziri mkuu majaliwa naye amekurupuka, huyo DED aliwahi kusema ofisi ya waziri mkuu ilimpa kibali na baraka zote kununua hayo magari sasa iweje Leo aje na hizi ngonjera, pia siku zote alikuwa wapi mpaka msukuma alalamike? Mm naona pm naye kakalia kuti kavu muda wowote chochote kinaweza tokea
 
Nimemaliza shughuli zangu za kila siku kama ilivyo ada nimechukua gazeti la Mwananchi, nashangaa kukuta hii habari, Waziri mkuu wa nchi yetu ambae ni mkuu wa shughuli za serikali ametoa amri kuwa wakurugenzi walionunua magari ya Sh 270 wajieleze. Kwamba walitoa wapi pesa za kununulia hayo magari. Wakurugenzi hao ni wa halmashauri za Kahama, Chato, jiji la mwanza na Msalala.

Ghafla bin vuu nikakumbuka kuwa mkuu wa kaya mwenyewe aliwahi kukiri kuwa Watanzania sio wajinga na unapowaletea habari ambazo haziingii akilini watakaa kimya ila kumbuka watakuchora na kukusanifu kama katuni

Tujiulize kama watu wenye akili timamu, taratibu za kununua magari zikoje? Yaani mpaka hawa wakurugenzi wanaambiwa wajieleze,je hawakufuata taratibu?

Au ndio kuondoa aibu kisa tu Mkurugenzi wa Geita alisimamishwa kimakosa? Na hii ni baada ya wananchi kuona kuwa mkurugenzi hawezi kununua gari kwa maamuzi yake!

Kwa nini hii habari ya kuhoji gharama za magari ya wakurugenzi iwe sasa awamu hii tunapoenda kumaliza ngwe ya pili? Hapo mwanzo mbona ilikuwa kimya? Na tuliona karibu kila halmashauri zina Vx v8 yenye thamani zaidi mil 270!

Je, huku ni kujipaka matope au ndio kufukua makaburi?
Awamu hii inataka fedha za kutoa huduma
 
Nimemaliza shughuli zangu za kila siku kama ilivyo ada nimechukua gazeti la Mwananchi, nashangaa kukuta hii habari, Waziri mkuu wa nchi yetu ambae ni mkuu wa shughuli za serikali ametoa amri kuwa wakurugenzi walionunua magari ya Sh 270 wajieleze. Kwamba walitoa wapi pesa za kununulia hayo magari. Wakurugenzi hao ni wa halmashauri za Kahama, Chato, jiji la mwanza na Msalala.

Ghafla bin vuu nikakumbuka kuwa mkuu wa kaya mwenyewe aliwahi kukiri kuwa Watanzania sio wajinga na unapowaletea habari ambazo haziingii akilini watakaa kimya ila kumbuka watakuchora na kukusanifu kama katuni

Tujiulize kama watu wenye akili timamu, taratibu za kununua magari zikoje? Yaani mpaka hawa wakurugenzi wanaambiwa wajieleze,je hawakufuata taratibu?

Au ndio kuondoa aibu kisa tu Mkurugenzi wa Geita alisimamishwa kimakosa? Na hii ni baada ya wananchi kuona kuwa mkurugenzi hawezi kununua gari kwa maamuzi yake!

Kwa nini hii habari ya kuhoji gharama za magari ya wakurugenzi iwe sasa awamu hii tunapoenda kumaliza ngwe ya pili? Hapo mwanzo mbona ilikuwa kimya? Na tuliona karibu kila halmashauri zina Vx v8 yenye thamani zaidi mil 270!

Je, huku ni kujipaka matope au ndio kufukua makaburi?
Kwanza ukumbuke hiyo VX-R inauzwa si chini ya USD 90. Hapo tayari ni M200 na ushee na bado hujalipa kodi ambayo nayo inafanana na bei ya gari. Ukitaka kuwatetea hawalazima uwe na roho ya paka. Wanatakiwa wafungwe na si kusimamishwa kazi tuu. Toyota Hilux D/Cabin M117 pamoja na kodi is enough kwa mkurugenzi na si zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom