jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,709
- 7,601
Ila ngoja Uchunguzi ufanyike alafu tupewe report ndiyo tutajua nani mkweli kati ya PM na Wakurugenzi!!Ni kwa matumizi ya serikali.
PM anajifaragua tu huyu. Utaratibu wa kununua hayo magari huanza na kuomba kibali toka ofisi ya waziri mkuu kupitia TAMISEMI. Kwahiyo hapo PM anajikosha tu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app