crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Katika mahujiano yake na global tv online mchezaji benard morison amemuomba rais samia ampe uraia wa tanzania kwani anajisikia amani na kuthaminiwa sana nchini.
pia amesema yupo tayari kuchezea timu ya taifa ya tanzania taifa stars.
Source:global tv online
pia amesema yupo tayari kuchezea timu ya taifa ya tanzania taifa stars.
Source:global tv online