Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Wadau,
Kwenye taarifa ya habari ya saa 4 niliskia wakitangaza kuwa huko tarafa ya MIKUMI wilaya ya kilosa mkoani Morogoro kuna hospitali ambayo wagonjwa wa kiume na wa kike wanalala wodi moja.
Kadhia hii imesababishwa na uhaba wa wodi hospitalini hapo,jina la hospitali sikulishika kwakweli.
wagonjwa hao wanadai kuwa hupata shida sana wanapotaka kubadilisha nguo
Chanzo: Redio One
Kwenye taarifa ya habari ya saa 4 niliskia wakitangaza kuwa huko tarafa ya MIKUMI wilaya ya kilosa mkoani Morogoro kuna hospitali ambayo wagonjwa wa kiume na wa kike wanalala wodi moja.
Kadhia hii imesababishwa na uhaba wa wodi hospitalini hapo,jina la hospitali sikulishika kwakweli.
wagonjwa hao wanadai kuwa hupata shida sana wanapotaka kubadilisha nguo
Chanzo: Redio One
Nimelipata jina la hiyo hospitali,inaitwa hospitali ya Mtakatifu KIZITO AU st Kizito HOSPITAL.
Pia kuna mdau amenitonya kuwa Hospitali kuu ya wilaya ya KILOSA inakabiliwa na upungufu wa chakula na hivyo wagonjwa wanakosa chakula