Huko maziwani mwaka huu kuna nini?

Huko maziwani mwaka huu kuna nini?

Wakuu Habari,

Siku za hivi karibuni tumesikia ziwa victoria liliongezeka kina cha maji na kupelekea maji kujaa(maafuriko) kwenye makazi ya watu. Ikumbukwe makazi ya watu yalikuwa zaidi ya mita 100 kutokea usawa wa ziwa.


Sasa hivi nasikiliza habari hapa, wanadai ziwa Tanganyika huko maji yameongezeka na kupelekea mafuriko kwenye makazi ya watu hali ambayo haijatokea kwa zaidi ya miaka 60

Sasa najiuliza, hii hali inatokana na nini? Kwanini mwaka huu ni maziwa yote?

Kuna nini huko maziwani mwaka huu?

Bado kuna taarifa nyingine kuwa ziwa Nyasa nalo lina daliliView attachment 1459614View attachment 1459615

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpka mwaka huu uishe tutaona mengi
Hapa nilipo pia kuna kisima nacho kimejaa maji yanahamia kwnye makazi ya watu
 
Wakuu Habari,

Siku za hivi karibuni tumesikia ziwa victoria liliongezeka kina cha maji na kupelekea maji kujaa(maafuriko) kwenye makazi ya watu. Ikumbukwe makazi ya watu yalikuwa zaidi ya mita 100 kutokea usawa wa ziwa.


Sasa hivi nasikiliza habari hapa, wanadai ziwa Tanganyika huko maji yameongezeka na kupelekea mafuriko kwenye makazi ya watu hali ambayo haijatokea kwa zaidi ya miaka 60

Sasa najiuliza, hii hali inatokana na nini? Kwanini mwaka huu ni maziwa yote?

Kuna nini huko maziwani mwaka huu?

Bado kuna taarifa nyingine kuwa ziwa Nyasa nalo lina daliliView attachment 1459614View attachment 1459615

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaishukuru serikali ya ccm kwa kusaidia kina cha maji kuongezeka kwenye maziwa yetu

Jr[emoji769]
 
Sayansi kubwa mkuu..udongo unajaa kivipi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maeneo kiasili yalikuwa ni sehemu ya ziwa... Yalipotokea mabadiliko ya tabia nchi na ziwa kupungua kina watu wakaanza kuhamia huko mfano kabisa sisi kwetu Nyegina Musoma ... Baba mkubwa alihama kwa babu pale akahamia Itaro huko ziwani palikuwa pakavu kabisa sasa ni shidaaaa
 
Nasikitika kakiwanja kangu kamemezwa.

Hata Bahari maji yameongezeka
 
Nikajua ni mwanza tuu
Yani nimenunua maji ya Kilimanjaro Lita moja nimekuta yamejaa hadi juu
 
Mpka mwaka huu uishe tutaona mengi
Hapa nilipo pia kuna kisima nacho kimejaa maji yanahamia kwnye makazi ya watu
duuh basi kasi ya mabadiliko ya hali ya hewa yamekuwa makubwa sana
 
Hayo maeneo kiasili yalikuwa ni sehemu ya ziwa... Yalipotokea mabadiliko ya tabia nchi na ziwa kupungua kina watu wakaanza kuhamia huko mfano kabisa sisi kwetu Nyegina Musoma ... Baba mkubwa alihama kwa babu pale akahamia Itaro huko ziwani palikuwa pakavu kabisa sasa ni shidaaaa
basi itakuwa hali inataka kujirudia kama awali
 
Bado hali ni mbaya
Siku ya leo imeripotiwa hivi[emoji116]
20200701_141116.jpeg
 
Back
Top Bottom