Wakuu Habari,
Siku za hivi karibuni tumesikia ziwa victoria liliongezeka kina cha maji na kupelekea maji kujaa(maafuriko) kwenye makazi ya watu. Ikumbukwe makazi ya watu yalikuwa zaidi ya mita 100 kutokea usawa wa ziwa.
Sasa hivi nasikiliza habari hapa, wanadai ziwa Tanganyika huko maji yameongezeka na kupelekea mafuriko kwenye makazi ya watu hali ambayo haijatokea kwa zaidi ya miaka 60
Sasa najiuliza, hii hali inatokana na nini? Kwanini mwaka huu ni maziwa yote?
Kuna nini huko maziwani mwaka huu?
Bado kuna taarifa nyingine kuwa ziwa Nyasa nalo lina dalili
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku za hivi karibuni tumesikia ziwa victoria liliongezeka kina cha maji na kupelekea maji kujaa(maafuriko) kwenye makazi ya watu. Ikumbukwe makazi ya watu yalikuwa zaidi ya mita 100 kutokea usawa wa ziwa.
Sasa hivi nasikiliza habari hapa, wanadai ziwa Tanganyika huko maji yameongezeka na kupelekea mafuriko kwenye makazi ya watu hali ambayo haijatokea kwa zaidi ya miaka 60
Sasa najiuliza, hii hali inatokana na nini? Kwanini mwaka huu ni maziwa yote?
Kuna nini huko maziwani mwaka huu?
Bado kuna taarifa nyingine kuwa ziwa Nyasa nalo lina dalili
Sent using Jamii Forums mobile app