Huko maziwani mwaka huu kuna nini?

Huko maziwani mwaka huu kuna nini?

Kwa taarifa yako,mwaka 1961 ziwa Victoria liliongezeka kwa kiasi kikubwa.Kuna maeneo mfano kutoka Musoma kwenda sehemu moja inaitwa Kinesi,kulikuwa na njia ya bara bara kupitia eneo moja linslojulikana kama Mwigobero.Ila mvua kubwa ilinyesha mfululizo kwa mwezi mzima.Eneo lote lilijaa maji na nyumba kufunikwa.Hadi ninavyoongea leo hayajawahi kuondoka bali kwa mvua za majuzi ziwa limeongezeka ukubwa.

Kuna siku mji wa Musoma utamezwa na maji.
Duh ivi hayo makazi itakuaje kwamfano hayo maji yakaamua kufanya makazi yakudumu hapo yani ikawa ndo forever hayapungui zaidi yakuongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is due to intensive and prolonged rainfalls that leads to water level fluctuation kama mdau mmoja amesema kuwa mvua za vuli na masika zimeungana kipindi hiki.
 
Ngoja waje buku saba watakwambia ni juhudi za serikali ya magufuli
Wakuu Habari,

Siku za hivi karibuni tumesikia ziwa victoria liliongezeka kina cha maji na kupelekea maji kujaa(maafuriko) kwenye makazi ya watu. Ikumbukwe makazi ya watu yalikuwa zaidi ya mita 100 kutokea usawa wa ziwa.


Sasa hivi nasikiliza habari hapa, wanadai ziwa Tanganyika huko maji yameongezeka na kupelekea mafuriko kwenye makazi ya watu hali ambayo haijatokea kwa zaidi ya miaka 60

Sasa najiuliza, hii hali inatokana na nini? Kwanini mwaka huu ni maziwa yote?

Kuna nini huko maziwani mwaka huu?

Bado kuna taarifa nyingine kuwa ziwa Nyasa nalo lina daliliView attachment 1459614View attachment 1459615

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Habari,

Siku za hivi karibuni tumesikia ziwa victoria liliongezeka kina cha maji na kupelekea maji kujaa(maafuriko) kwenye makazi ya watu. Ikumbukwe makazi ya watu yalikuwa zaidi ya mita 100 kutokea usawa wa ziwa.


Sasa hivi nasikiliza habari hapa, wanadai ziwa Tanganyika huko maji yameongezeka na kupelekea mafuriko kwenye makazi ya watu hali ambayo haijatokea kwa zaidi ya miaka 60

Sasa najiuliza, hii hali inatokana na nini? Kwanini mwaka huu ni maziwa yote?

Kuna nini huko maziwani mwaka huu?

Bado kuna taarifa nyingine kuwa ziwa Nyasa nalo lina daliliView attachment 1459614View attachment 1459615

Sent using Jamii Forums mobile app
Mto Nile unarudisha maji juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ziwa Rukwa hali ni hiyo hiyo. Inaonesha mvua zimenyesha sana
 
Kwa taarifa yako,mwaka 1961 ziwa Victoria liliongezeka kwa kiasi kikubwa.Kuna maeneo mfano kutoka Musoma kwenda sehemu moja inaitwa Kinesi,kulikuwa na njia ya bara bara kupitia eneo moja linslojulikana kama Mwigobero.Ila mvua kubwa ilinyesha mfululizo kwa mwezi mzima.Eneo lote lilijaa maji na nyumba kufunikwa.Hadi ninavyoongea leo hayajawahi kuondoka bali kwa mvua za majuzi ziwa limeongezeka ukubwa.

Kuna siku mji wa Musoma utamezwa na maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishi kule kwa miaka kadhaa hivi..Na kibaya zaidi ule mji upo kama bondeni vile..haswa maeneo ya Tembo Beach,njoo mwisenge yote + majita road ndio shida kabisa..siku maji yakijiadjust kdg tuu kila rangi wataisoma.
 
Back
Top Bottom