Walisha ambiwa america is not for blacks warudi africa wwawekeze iwe kama huko maaana huku bdio kwao
mtu mweusi Mwingine auawa leo na polisi( mchina) mr philando castile in minesotaIngekuwa kwa wale wajomba zetu hii habari imetoka kwa waarabu uzi ungekuwa page ya 10 lakini mzungu hutasikia watu kutokwa povu hapa
Chicago ni kwa wiki si chini ya mtu 7 wanachezea madini ya Zambia.
Idadi ya weusi kwa weusi wanaouana ni kubwa kuliko askari wanaokufa vitani Marekani kwa mwaka! watu kimyaa!
Hapa Afrika na Tz hatujiulizi wiki moja tumepoteza watu zaidi ya 50 kwa ajali za kipuuzi kabisa, leo tunaonyesha sympathy kwa maisha ya wengine! Unafiki kama wa Black lives matter
Ni makosa kuua mtu lakini je, tunazungumza kwa dhati ya mioyo yetu au ushabiki tu!
hakuna anayelalamika au kuona hurumaHao Saba mbona cha mtoto, ile weekend ya Memorial Day; weusi Kama 40+ waliuliwa na weusi wenzao huko Chicago!.
MwangosiWarudi Afrika wanakochinjwa akina Anathe Msuya? Wanakotekwa akina Ulimboka? Wanakouliwa akina Profesa Mwakyusa na Dokta Mvungi?
Ndo warudi huko?
hakuna anayelalamika au kuona huruma
Leo wanatuambia eti 'wamarekani weusi wanakwisha' please!
Mkuu Freddie alipouawa siku iliyofuata Chicago mtaa ukazika 3 on spot. Hakuna anayeona haya, watu wanaona jambo mojaToka Freddie Gray afe mikononi mwa polisi kule Baltimore...umeona takwimu za black on black murder rate?
Mkuu Freddie alipouawa siku iliyofuata Chicago mtaa ukazika 3 on spot. Hakuna anayeona haya, watu wanaona jambo moja
South Chicago jioni ikifika mnafikiria kuzika nyumba ya pili kama si mtaa unofuata. Ni black kwa black
Wiki ile Polisi walipoamua kususia ulinzi kwa hofu ya kushtakiwa, kulitokea vifo 7 kwa wiki kwa wastani almost a month. Na hao ni black kwa balck.Hivi Freddie Gray aliuawawa au alikufa mikononi mikononi mwa polisi [tena ambao wengi walikuwa weusi na mmoja juzi kapatikana hana hatia tena na jaji mweusi]?
Hakuna anayejali black on black crime...ambayo ndo inawamaliza mno weusi.
Huko Baltimore kwenyewe baada ya Freddie Gray murder rater [black on black] imeongezeka kupita kifani.
78% increase in homicides in Baltimore since Freddie Gray riots