This kind of thinking of yours is more dangerous , kaaahNani anaweza kuniwekea takwimu za mauaji ya weusi kwa weusi na yale ya weusi wanaouliwa na polisi wa Kizungu.
Hao wamarekani wanauliwa kwa ubaguzi hakuna zaidi tofauti na weusi wenywe wanaouana kwa sababu ya migogoro ya kisiasa kwenye nchi zao. Unataka kuhararisha mauaji ya afro negro huko kwenu na vurugu za kisiasa.
This kind of thinking of yours is more dangerous
kaaah
Unataka kutuambia nn bwana mtwana,kwa hiyo hata kama weusi kwa weusi wanauana ndio inahalalisha hao wabaguzi weupe kuua weusi pasi na sababu ,
Wanauana ndiyo.Labda tu nikuulize,hao weupe wao kwa wao hawauani..!!??
Mbona hatujasikia weusi wakiua wazungu kisa weupe kwa weupe wanauana...!!??
Hizi arguments za kiboya ni bora ungelibaki nazo kuliko kudhihirisha utupu wako wa akili hapa
This kind of thinking of yours is more dangerous ,kaaah
Unataka kutuambia nn bwana mtwana,kwa hiyo hata kama weusi kwa weusi wanauana ndio inahalalisha hao wabaguzi weupe kuua weusi pasi na sababu ,
Labda tu nikuulize,hao weupe wao kwa wao hawauani..!!??
Mbona hatujasikia weusi wakiua wazungu kisa weupe kwa weupe wanauana...!!??
Hizi arguments za kiboya ni bora ungelibaki nazo kuliko kudhihirisha utupu wako wa akili hapa
Kwa hiyo una-justify nini hapa ewe mwenye akiliNo, yours is way more dangerous.
Nachosema ni kwamba weusi kwa weusi wanauana kwa kiasi kikubwa sana na hakuna anayejali, kupiga kelele, wala kuandamana.
Kwa nini iwe hivyo? Ina maana mweusi akiuliwa na mweusi mwenzie ni sawa tu lakini ikitokea mweusi kauwawa na polisi mweupe ndo inakuwa ishu sio?
Angalia takwimu za Chicago za mwaka huu kuhusu mauaji ya weusi kwa weusi uone zinavyotisha halafu uniambie kwa hayo mauaji hayawakasirishi watu.
Wanauana ndiyo.
Kwa hiyo ulichosikia ni kwamba weupe wanaua weusi kisa weusi kwa weusi wanauana? Mantiki gani hiyo wewe!?
Mbona zako hujabaki nazo? Au ulitaka kututhibitishia ukilaza wako hapa?
Nimemwambia mahaba niue, yatamuua kweli.Huyu jamaa ana mahaba na usa so sishangai anavyotetea ujinga.
Kwa hiyo una-justify nini hapa ewe mwenye akili
Labda nikuulize swali ,inakuaje AMA itakuwa vp endapo matukio kama haya yangelifanywa/yatafanywa na weusi kuwafanyia hao weupe ...!!??
Unafikiri taswira ,mawazo na reaction ya wazungu itakuwa kama ya kwako...!!??
Au rahisi tu ,unadhani waweza simama mbele ya Negros wenzako wakati huu huko USA kwenu na ya kuyasema uliyoyaandika hapa halafu wakuchekee na kukupigia makofi...!!??
Nadhani ni mtu mweusi tu,tena aina yako ndio wanaokubali kunyanyaswa home and away halafu wakaendelea lamba viatu.
Alisema msemaji mmoja kwamba "we must learn to live together as brothers to flourish or as a fools to perish"
Na pia ukumbuke "what's goes around comes around " ,sikuombei mabaya ila siku yakikupata ndio utajua nn maana ya mahaba niue
Hao nao ni wanafiki tu...black on black crimes,rate yake kubwa kuliko mauaji ya polisi.Drive by shootings etc.
Usitegemee mtu mweupe akuonee huruma wakati ninyi kwa ninyi mnauana.
Siungi mkono mauaji ya MTU yeyote ila naona ni unafiki mkubwa kujifanya mauaji Haya yametugusa wakati kila siku tunauana afrika..
Chicago ni kwa wiki si chini ya mtu 7 wanachezea madini ya Zambia.Umeona eeh? Watu wanafiki kweli humu.
Kila siku Waafrika wanachinjana huko lakini ikitokea mtu mweusi kauliwa na polisi Marekani inakuwa nongwa!
Papo hapo...weusi wa Marekani wanauana wenyewe kwa wenyewe kila siku tena kwa idadi kubwa mno lakini hawa wala vumbi wala hawajali....wanajali pale tu inapotokea Mzungu kaua mweusi....ndo inakuwa nongwa!
Mijitu mingine bana...
Chicago ni kwa wiki si chini ya mtu 7 wanachezea madini ya Zambia.
Idadi ya weusi kwa weusi wanaouana ni kubwa kuliko askari wanaokufa vitani Marekani kwa mwaka! watu kimyaa!
Hapa Afrika na Tz hatujiulizi wiki moja tumepoteza watu zaidi ya 50 kwa ajali za kipuuzi kabisa, leo tunaonyesha sympathy kwa maisha ya wengine!
Unafiki kama wa Black lives matter
Ni makosa kuua mtu lakini je, tunazungumza kwa dhati ya mioyo yetu au ushabiki tu!
Hivi kwani weupe huwa hawauliwi,hawa weusi sijui wakoje ,kila mara wanawaza kubaguliwa tu