Huko kwenu linaitwaje?

Amatobhoro
1. Mizizi ya mmea huu hutibu tumbo kwa watoto wachanga. Osha vizuri mzizi kisha loweka katika maji safi ( usichemshe). Mpe mtoto nusu kijiko mara 3 kwa siku
2. Haya matunda yanatibu jino. Kuna namna ya kuondoa wadudu wanao pekecha meno kwa kutumia tunda hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…