Ndugu wana JF leo nimepokea ujumbe toka Vodacom ukisomeka hivi:
"Samahani kwa usumbufu, mchango wako kwenda chama cha CHADEMA haukufanyika awali kwa sababu ya matatizo kiufundi. Tunaomba utume mchango wakotena. Ahsante"
Najiuliza ni kweli kwamba lilikuwa ni tatizo lakiufundi au ni la "kiufundi" ?
Au wameosoma comment za wana JF wakaogopa kuwa biashara yao iko under threat?
"Samahani kwa usumbufu, mchango wako kwenda chama cha CHADEMA haukufanyika awali kwa sababu ya matatizo kiufundi. Tunaomba utume mchango wakotena. Ahsante"
Najiuliza ni kweli kwamba lilikuwa ni tatizo lakiufundi au ni la "kiufundi" ?
Au wameosoma comment za wana JF wakaogopa kuwa biashara yao iko under threat?