Hujui kupika halafu unataka kuoa

Hujui kupika halafu unataka kuoa

Mwanamke atasaidiwa kipindi ambacho hajiwezi kama ujauzito ama akiwa mgonjwa. Kumpikia maanamke ni mwanzo wa kumtengenezea njia uyo mwanamke akutawala tu period.
 
Mwanamme kabla haujaoa lazima ujue maisha ya ubachela ,ujue kufua ,kupika ,kuosha vyombo ,kufagia n.k Mkiingia kwenye ndoa maisha kusaidiana ,kabla hamjakuwa na watoto mtaishi single room au upande na hamna mfanyakazi ,siku mkeo anaumwa unampiga backup.
 
Back
Top Bottom