Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,941
wazoefu wa mapenzi uzi wenu huu
Mkuuu...Wewe ndo mkweli kushinda watu wote duniani...mtu akija na shida anauguliwa Wewe kama Ni wakumsaidia utamsaidia. Sasa unataka uchunguze akupeleke alipolazwa MGONJWA ndo umsaidie...Nikweli nakubali mtu akikopa unampa lakini wao wanakuja na gia za uongo mara mama anaumwa yupo kalazwa, baada ya kusema ukweli wao uongo tu kila kitu,
Pesa ukimpa anaenda kutumia kwa matumizi ambayo si ugonjwa wa mama ake,
Acheni uongo,,, sijui kama mnanisikia huko nyuma dirishani?.
Mimi sichukii wanaume..au kuwaona wabaya eti kwakua nlipataga shida.Usiingize wazazi kwenye issue kama hizi. Utaanzisha ugomvi usio na faida.
Mtazamo wake hauna shida kama aliyayapitia yanaelezeka.
Kama wewe umetulia na unaridhika na uliyenaye, basi hongera
Kwenye usaliti hadi wanaume wapo au unajaribu kusema kua ndoa zote zenye shida chanzo ni mwanamke?suala kubwa linaloongelewa hapa ni usaliti wanawake wamekuwa wanapenda ndoa lkn hawajui umuhimu wake wala kuilinda labda nikwambie kitu ktk kitu kinatuumiza mno mno na kinauma kuliko kufiwa na mzazi ni kutombewa mke na kubakwa kwa mwanao au mt amnajisi mtt wako wa kiume unaweza ukafanya ukatili mpaka watu wakashang'aaa kama ni wewe
Wanaume wema wapo wengi tu. Ila kuwapata ndio shida.Mimi sichukii wanaume..au kuwaona wabaya eti kwakua nlipataga shida.
Naamini wapo wema kabisaaa...
So hivo lakini kuna mwingine unamjua kabisa huyu anacheza na akili yangu, na sio kwamba hadi nijue shida yake lakini kiukweli wanawake walio wengi washakuwa wahuni wahuni .Mkuuu...Wewe ndo mkweli kushinda watu wote duniani...mtu akija na shida anauguliwa Wewe kama Ni wakumsaidia utamsaidia. Sasa unataka uchunguze akupeleke alipolazwa MGONJWA ndo umsaidie...
Unataka ukweli usioshaka ndo utao msaada.
ndo nyie mke ukimpa buku mbili..ikibaki hamsini unaitaka na asipokupa Ni Tatizo.
Ubahili
nisawa ila asilimia kubwa ya wanaume akisaliti heshima na upendo upo pale pale kivumbi nyinyi sasaKwenye usaliti hadi wanaume wapo au unajaribu kusema kua ndoa zote zenye shida chanzo ni mwanamke?
Nadhani kila mtu (mume na mke) ajitafakari kwa nafasi yake jins gani ataboresha mahusiano au ndoa yake kuliko kutupiana lawama.
Mtu anayemsaliti mume/mke wake na akamuonyeshea dharau za wazi huyo hana akili kabisa na ni mshamba. Siungi mkono kuchepuka maana mwisho wake hua sio mzuri ila tu muheshimu mwenza wako kama mtu umeshindwa kujizuia kutulia njia kuu.labda nikwambie kitu lenie usaliti haujaanza leo ulikuwepo toka enzi lakin unatakiwa ucheze kwa step mwenzio co asijue tu ata kukutilia shaka kusiwepo lkn mtu akishaenda tiwa huko akapewa ambacho hapati huku anarudi na jeur hizo co za nchi hii kifupi nawanea huruma sana watoto wetu raha ya penzi hasa kwa sisi wanaume ule peke yako ingalau ni ngumu kama ngamia kupita kwenye tundu la cndano
Kuna wanaume wakipata pisi mpya basi ndo wanakesha huko nje, nyumbani wanarudi saa 8/9 huko usiku na yapo kwenye jamii yetu tunayaona.nisawa ila asilimia kubwa ya wanaume akisaliti heshima na upendo upo pale pale kivumbi nyinyi sasa
Mwanamke adiporidhika na Mungu hakuna starehe yoyote duniani itamridhishaOya niadje wanangu
Ni hivi leo nna ka neno nataka share na nyie wanangu huenda kakawasaidia au Kaka wapotosha inategemeana utakatumiaje
Usijidanganye kua unaeza kumridhisha mwanamke kwa kumpa pesa, we tafuta tu pesa zikusave kwene majanga yako lakini usitegemee eti ukiwa na pesa ndo utamridhisha mkeo utakuja lia bure
Eti show heavy!!!! nan kasema we piga show heavy, nyonya vikojoleo as u can ila bado utaachwa tu huamini niulize Mimi
Eti maneno matamu, mbembeleze, msifie, mjali. utajisumbua tu mwanangu hawa viumbe hawaeleweki kama nyota utafanya yote hayo ila final utaachwa tu tena kwa shit heavy
Jitahidi kumfikisha kileleni ikiwezekana atangulie yeye kabla yako, broh pole sana kama mkikaa kwenye tuvijiwe twenu twa kahawa mnadanganyana hivo, endelea ila final atakucheat tu
Kila siku msuprise kwa kitu kipya ili asikuchoke mapema!!!! haaa nan kasema utachezea tu hela zako mwanangu na utapoteza mda wako mwisho wa siku anakuona boya tu
Tufanyaje sasa
Nsikize Mimi asa mwanangu, kwa kua ushajua hawa watu hawana shukrani we achana nao, ukiridhika wewe inatosha, mpenzi wa kweli ni Serengeti light ya baridi na mbuzi ila hao wengine wa kuwatumia tu kutokana na shida zao
Yaaani akija na shida yake unamtatulia afu final unamtatua na yeye marinda, maisha ndo yanataka hivo kwa watu wasio na shukrani
Kuna mjinga mmoja atasema mimi nimeumizwa sana kwaiyo saikolojia yangu imeharibika, nikeambie tu ukiona unatetea ujue bado hayajakukuta
Time will tell
nikweli kabisa mkuu wapo ila ni wachache mno na wengine wanafanya hivyo kutokana na mauzi ya nymbnKuna wanaume wakipata pisi mpya basi ndo wanakesha huko nje, nyumbani wanarudi saa 8/9 huko usiku na yapo kwenye jamii yetu tunayaona.
Ni wachache wanaweza kumaintain heshima kwa wenzi wao.
Ukisema mwanamke pekee ndie haridhiki ni uwongo kwa kuwa hata sisi wanaumehaturidhiki cha muhimu haitakiwi kuaminiana bali inabidi kuaminishana kuwa mnapendana basi...mengine kumuomba MUNGU atupe wenza wema huku tukiwa wakwanza kujitakasa wenyewe kwa kuacha uasherati
Sent using Jamii Forums mobile app
Matendo yake na chemistry between you two ndio itaonyesha kama huyo mtu ni sahihi au sio ubavu wako
Wanaume wanazidi kupungua
Yeah hiyo hiyoChemistry hii hii ?
Yeah hiyo hiyo
kubwa kubwa hivi ambayo ndani yake inavitu vingi ving, Kwahiyo ukiichukua inabidi uwe tayari kujitahidi kuangalia kila kimoja Mwanamke tapeli, hivi unajua mwanamke ndie ana play role kubwa sana katika kufanya familia bora kisha jamii bora collectively?Wanawake nao wanasema wanaume matapeli...Je Nani mkweli?
Nikweli..Sasa Hilo linaondoaje utapeli was wanaume?Mwanamke tapeli, hivi unajua mwanamke ndie ana play role kubwa sana katika kufanya familia bora kisha jamii bora collectively?