Huezi mridhisha mwanamke kamwe

Huezi mridhisha mwanamke kamwe

Nikweli..Sasa Hilo linaondoaje utapeli was wanaume?
Wanaume tumekuwa matapeli kuendana na mahitaji ya soko. Wanawake wote wanataka u fake it to make it! Tunahitaji kujenga family ila kuna elements ukiziona unajikataa!
 
Duh wewe ni noma, pole sana kwa yaliyokupata@maji ya gundu
 
Oya niadje wanangu

Ni hivi leo nna ka neno nataka share na nyie wanangu huenda kakawasaidia au Kaka wapotosha inategemeana utakatumiaje

Usijidanganye kua unaeza kumridhisha mwanamke kwa kumpa pesa, we tafuta tu pesa zikusave kwene majanga yako lakini usitegemee eti ukiwa na pesa ndo utamridhisha mkeo utakuja lia bure

Eti show heavy!!!! nan kasema we piga show heavy, nyonya vikojoleo as u can ila bado utaachwa tu huamini niulize Mimi

Eti maneno matamu, mbembeleze, msifie, mjali. utajisumbua tu mwanangu hawa viumbe hawaeleweki kama nyota utafanya yote hayo ila final utaachwa tu tena kwa shit heavy

Jitahidi kumfikisha kileleni ikiwezekana atangulie yeye kabla yako, broh pole sana kama mkikaa kwenye tuvijiwe twenu twa kahawa mnadanganyana hivo, endelea ila final atakucheat tu

Kila siku msuprise kwa kitu kipya ili asikuchoke mapema!!!! haaa nan kasema utachezea tu hela zako mwanangu na utapoteza mda wako mwisho wa siku anakuona boya tu

Tufanyaje sasa

Nsikize Mimi asa mwanangu, kwa kua ushajua hawa watu hawana shukrani we achana nao, ukiridhika wewe inatosha, mpenzi wa kweli ni Serengeti light ya baridi na mbuzi ila hao wengine wa kuwatumia tu kutokana na shida zao

Yaaani akija na shida yake unamtatulia afu final unamtatua na yeye marinda, maisha ndo yanataka hivo kwa watu wasio na shukrani

Kuna mjinga mmoja atasema mimi nimeumizwa sana kwaiyo saikolojia yangu imeharibika, nikeambie tu ukiona unatetea ujue bado hayajakukuta

Time will tell
Nako to Nako
 
PUNYETO hoyeeee........no stress no string.......just adjust......here we are........
 
Mwanangu umemaliza kampeni kabisa na kupita kabisa, unajua nini mwanangu kuna bi-mdash flani hivi tulielewana kinoma kaenda huko mawasiliano alikata, kakutana na Ustaz mmoja kamjaza u-stomach na amejifungua mtoto wa kike nashangaa juzi kati natafutwa eeh bahati mbaya.

Mama mkwe hamtaki anataka arudi eti tuoane ila kama yupo humu ameipata hii meseji, kwa kifupi hawaeleweki.
 
Mwanangu umemaliza kampeni kabisa na kupita kabisa, unajua nini mwanangu kuna bi-mdash flani hivi tulielewana kinoma kaenda huko mawasiliano alikata, kakutana na Ustaz mmoja kamjaza u-stomach na amejifungua mtoto wa kike nashangaa juzi kati natafutwa eeh bahati mbaya.

Mama mkwe hamtaki anataka arudi eti tuoane ila kama yupo humu ameipata hii meseji, kwa kifupi hawaeleweki.
@Extrovert Mkuu hawa warembo ni vituko.
 
Mwanangu umemaliza kampeni kabisa na kupita kabisa, unajua nini mwanangu kuna bi-mdash flani hivi tulielewana kinoma kaenda huko mawasiliano alikata, kakutana na Ustaz mmoja kamjaza u-stomach na amejifungua mtoto wa kike nashangaa juzi kati natafutwa eeh bahati mbaya.

Mama mkwe hamtaki anataka arudi eti tuoane ila kama yupo humu ameipata hii meseji, kwa kifupi hawaeleweki.
Ahh ahh ahh
 
Back
Top Bottom