Huenda wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu waliokaa na madeni kwa muda mrefu kupatiwa mwarobaini wake

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,542
3,451
Kumekuwa na wimbi la wakwepaji na kibaya zaidi wengine wanajisifu kwa kuweza kuwa mbali na mikono ya loanboard kwa miaka kadhaa

Nilichokibaini kwa mkakati inayosukwa wakati huu sidhani kama kutakuwa na mwanya mpana wa kukwepa tena na huenda wanufaika wakwepaji wakasababisha hasira zikahamia kwa waliokaa na madeni ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kwa muda mrefu na wao kuonja joto ya jiwe

Mytake
Kama unaona unaweza kulipa deni lako kwa kupeleka hela yote taslimu itakuwa ni njia bora zaidi. Ila IPO njia nyingine ya kuliuza deni kwa kutumia Benki zinazonunua madeni
 
Aisee nimezisikia hizi tetesi, MUNGU saidia vinginevyo hali itakuwa mbaya sana
 
Kama deni lako ni stahimilivu malizia kwa kulipa taslimu ili uwe salama.Kuna uwezekano ukakuta unapigwa penalty kwenye value retention fee.
 
Nashauri tukatwe mishahara yetu kuwafidia wale waliotumia pesa za HESLB kusomeshwaa..
Nimekupata " unamaanisha wale wa kuanzia mwaka 1994 kurudi nyuma au? Kama ni hao Chombo kinachoitwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu " heslb" hakikuwepo.
 
Kumekuwa na wimbi la wakwepaji na kibaya zaidi wengine wanajisifu kwa kuweza kuwa mbali na mikono ya loanboard kwa miaka kadhaa

Nilichokibaini kwa mkakati inayosukwa wakati huu sidhani kama kutakuwa na mwanya mpana wa kukwepa tena na huenda wanufaika wakwepaji wakasababisha hasira zikahamia kwa waliokaa na madeni ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa muda mrefu na wao kuonja joto ya jiwe

Mytake
Kama unaona unaweza kulipa deni lako kwa kupeleka hela yote taslimu itakuwa ni njia bora zaidi. Ila IPO njia nyingine ya kuliuza deni kwa kutumia Benki zinazonunua madeni
Wewe ndo msemaji wa bodi ya mikopo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunarahisisha sana kama kwamba haliwezekani?
Mbona kuna bodaboda walishasaini mkataba na wanalipa kama kawaida.
Inawezekana ila suala la msingi ni Serikali kweka mazingira mazuri ya kuzalisha ajira mpya na Wananchi wake kubuni ajira nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom