Huduma za Uber Dar hovyo, hakuna afadhali

Huduma za Uber Dar hovyo, hakuna afadhali

Yamenikuta naugulia maumivu makubwa niliyoyapata asubuhi hii.
Kutoka stand ya Mkoa Tbs - Kibangu catholic church haizidi dakika 5 inakuaga 3000/= Tzs
leo nafika tu nashuka naambiwa 18000/=
Na hatujakaa kwenye foleni hata, najuta nmeumia kama nmechomwa kisu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uber system wana kitu wanaita idadi ya magari yaliyopo free wakati unahitaji karibu na wewe.. kama gari zikiwa chache system inawafanya mgombee gari.. utaona inakuja na kitu kama points 2 hivi.. hapo maana yakd uki accept uwe tayari kulipa bei juu.. maana system itakupa bei juu sababu dereva hawakuwa wengi eneo lako

Yamenikuta naugulia maumivu makubwa niliyoyapata asubuhi hii.
Kutoka stand ya Mkoa Tbs - Kibangu catholic church haizidi dakika 5 inakuaga 3000/= Tzs
leo nafika tu nashuka naambiwa 18000/=
Na hatujakaa kwenye foleni hata, najuta nmeumia kama nmechomwa kisu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huduma zenu zimekuwa za kiwizi bora kutumia taxi za kawaida.

Napenda kutahadharisha watumiaji wa Uber, ukiona magari ni machache alafu wanakuletea ujumbe kuwa utalipa 1x1.5, 1x1.6, 1x1.7 kimbia chukua taxi za kawaida.

Safari ambayo huwa nalipa Tsh 14,000 hadi Tsh 18,000 siku hiyo wameniletea hesabu ya 1x1.5 nikajua haitakuwa nyingi sana, kufika sehemu husika hesabu inakuja Tsh 72,000 na wala hatujakaa sana kwenye foleni.

Naona bora kuwa Bolt/Taxify na wale wengine wakianza kuleta hesabu zao za kijinga unawapotezea miezi kadhaa.

Mlianza vizuri sana, tukawapokea sasa hivi mnaonyesha makucha yenu, shame on you!

Hao bolt na wenyewe nimakamasi kabisa. Sijawai toka msasani mpaka Airport kwa hela niliolipa jana. Mara kibao nikikipa sana nalipa 15,000/- jana nimeletewa bili ya 65,000/- nimebaki nashangaa. Nikadhani ni 6500 wamekosea bwana duh.
IMG_8373.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sitopanda tena hizi bora nitafute taxi au bajaji najua bei haiwezi ongezeka .
Nilikuwa naenda tabata magengeni nikapanda kulikuwa na jam nikalipa 17000 badala ya 8000

Dereva mwnyw yupo slow hana hata mwendo anaruhusu watu waovertake tu
bishoo flani alinikera nilifka event saa mbili usiku kama mjinga .unamwelekeza aje akufate anapotea njia tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mimi silipi,
Ilishawahi nikuta hii kutoka Posta hadi Upanga nilikua naenda kwa elfu 3 ikizidi 4,
Siku hiyo muhuni mmoja akanihisi wa kuja ananionesha kitu kinasoma elfu 17, lol
Hakukua na folen wala chochote nikamwambia babuu iliyozidi utaongezea me yangu hii hapa elfu 3, akataka kubisha nikamwambia anireport, akanywea ooh basi fresh itakua imekula kwangu leo, Akakunja elfu 3 yake.
Kwa haya maelezo basi UBER wanatuibia.
 
Sitopanda tena hizi bora nitafute taxi au bajaji najua bei haiwezi ongezeka .
Nilikuwa naenda tabata magengeni nikapanda kulikuwa na jam nikalipa 17000 badala ya 8000

Dereva mwnyw yupo slow hana hata mwendo anaruhusu watu waovertake tu
bishoo flani alinikera nilifka event saa mbili usiku kama mjinga .unamwelekeza aje akufate anapotea njia tu



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja nilipanda anaendesha sharobaro mmoja hivi.Kufika kwenye mataa,tumefuruhusiwa akaangalia nyuma hakuna gari basi akapotezea taa ya kijani tukaendelea kusimama.Nikamuuliza "taa zilituruhusu mbona ulisimama?"Akajiumauma baadae akaanza kutembea taratibu,nikamwambia barabara inakuruhusu mwendokasi wa 50km/saa wewe unatembea 35km/saa.Nyoosha mguu unanichelewesha,akatulia tuli "kumbe braza wewe ni dereva?"
 
Hahaa bora ww ulimwambia mimi sijui kitu kuhusu gari .
Naona wanafanya makusudi tu hao
Kuna moja nilipanda anaendesha sharobaro mmoja hivi.Kufika kwenye mataa,tumefuruhusiwa akaangalia nyuma hakuna gari basi akapotezea taa ya kijani tukaendelea kusimama.Nikamuuliza "taa zilituruhusu mbona ulisimama?"Akajiumauma baadae akaanza kutembea taratibu,nikamwambia barabara inakuruhusu mwendokasi wa 50km/saa wewe unatembea 35km/saa.Nyoosha mguu unanichelewesha,akatulia tuli "kumbe braza wewe ni dereva?"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa bora ww ulimwambia mimi sijui kitu kuhusu gari .
Naona wanafanya makusudi tu hao


Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wanapenda njia zenye foleni.Sababu nauli zao wanatoza kwa aina tatu,
1)Basic fare 1000/=Tsh
Hii ukiita tuu lazima hii ijumlishwe.

2)Tsh.450/km
Hapa sh.450 itazidishwa kwa umbali(km) wa safari yako.

3)Tsh.80/dakika
Hii unatozwa muda unaotumia kwa safari yako.

Sasa hapa ukikutana na foleni ndio shida inapokuja.
Mfano:umeenda safari ya km 10,umetumia dakika 60.
Tsh.450/km × 10 km = 4,500
Tsh.80/dk × 60 dk= 4,800
Kwa hiyo nauli itakuwa 4,800 +4,500 +1,000= 10,300 tsh.
Hii ndio itakuwa nauli yako 10,300 tsh.
 
Yaani wanaangalia tu pesa hawa ni vyema kupanda njia tofauti ili kuepuka kutoa hela
Nyingi zaidi .
Mm nilipenda taxify mwanzoni kumbe na wao ni matapeli vile nilipanda kutoka gomz hadi ubungo kwa 12k na dereva alikuwa very friendly .
Halafu wanapenda njia zenye foleni.Sababu nauli zao wanatoza kwa aina tatu,
1)Basic fare 1000/=Tsh
Hii ukiita tuu lazima hii ijumlishwe.

2)Tsh.450/km
Hapa sh.450 itazidishwa kwa umbali(km) wa safari yako.

3)Tsh.80/dakika
Hii unatozwa muda unaotumia kwa safari yako.

Sasa hapa ukikutana na foleni ndio shida inapokuja.
Mfano:umeenda safari ya km 10,umetumia dakika 60.
Tsh.450/km × 10 km = 4,500
Tsh.80/dk × 60 dk= 4,800
Kwa hiyo nauli itakuwa 4,800 +4,500 +1,000= 10,300 tsh.
Hii ndio itakuwa nauli yako 10,300 tsh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao bolt na wenyewe nimakamasi kabisa. Sijawai toka msasani mpaka Airport kwa hela niliolipa jana. Mara kibao nikikipa sana nalipa 15,000/- jana nimeletewa bili ya 65,000/- nimebaki nashangaa. Nikadhani ni 6500 wamekosea bwana duh. View attachment 1343778


Sent from my iPhone using JamiiForums
Dam shit....................hapo yawezekana umechezewa mambo..............wataalamu wanasema kutingisha dish
 
Hizi huduma bwana kila moja ina changamoto yake
Majuzi nikasikia BOLT wapo poa nikasema nijaribu toka Menge Cocacola hadi Beac moja. Asubuhi nimechukua kwenye estimate inaonyesha 5,000, kweli kufika total cost ikaja Tsh 5,000. Jioni nikaitisha umbali ule ule, kwenye estimate ikaja 5,000 hado 7,000. Baada ya kuchukuca mwisha wa safari ikaleta Tsh 10,000/= nikachoka
Kwa hiyo hizi online transport kila moja ina changamoto yake na starehe yake
Nilichojifunza wanakuvutia kwenye biashara mwanzoni utalipa bei ndogo, baada ya muda wanakupiga bei ya hatari
 
Huduma zenu zimekuwa za kiwizi bora kutumia taxi za kawaida.

Napenda kutahadharisha watumiaji wa Uber, ukiona magari ni machache alafu wanakuletea ujumbe kuwa utalipa 1x1.5, 1x1.6, 1x1.7 kimbia chukua taxi za kawaida.

Safari ambayo huwa nalipa Tsh 14,000 hadi Tsh 18,000 siku hiyo wameniletea hesabu ya 1x1.5 nikajua haitakuwa nyingi sana, kufika sehemu husika hesabu inakuja Tsh 72,000 na wala hatujakaa sana kwenye foleni.

Naona bora kuwa Bolt/Taxify na wale wengine wakianza kuleta hesabu zao za kijinga unawapotezea miezi kadhaa.

Mlianza vizuri sana, tukawapokea sasa hivi mnaonyesha makucha yenu, shame on you!
MKUU NINA PIK PIK TATU
SIKU NAMTUKANA MTU ALINTOA MBEZI NKAFIKA KMR NKAMWONYESHA PIKPIK ZANGU
JAMAA NKAMLIPA AENDE WALW MADOGO WALINCHONIAMBIA NILIDLT APP NKAHAMIA PALE PALE BOLT N BALAAA WANAUWEZO WA KUKUTENDA UKAHISI KIZUNGUZHNGU CHA MAKALIO
 
Hizi huduma bwana kila moja ina changamoto yake
Majuzi nikasikia BOLT wapo poa nikasema nijaribu toka Menge Cocacola hadi Beac moja. Asubuhi nimechukua kwenye estimate inaonyesha 5,000, kweli kufika total cost ikaja Tsh 5,000. Jioni nikaitisha umbali ule ule, kwenye estimate ikaja 5,000 hado 7,000. Baada ya kuchukuca mwisha wa safari ikaleta Tsh 10,000/= nikachoka
Kwa hiyo hizi online transport kila moja ina changamoto yake na starehe yake
Nilichojifunza wanakuvutia kwenye biashara mwanzoni utalipa bei ndogo, baada ya muda wanakupiga bei ya hatari
NDUGU NIKUJULISHE TU BEI AZIKO SAWA MDA WOTE N KOTE SO KAMA ULIPATA KWA MDA FULAN UNAWEZA KUTA JION UNARUDI NA PUNGUFU AMA.CHINI

KUH KUONGEZEKA 10" 000 TAKEMAWORDS JAMAA AWAKOSEI KAKA UKILIPA UJUE UMEENDA DIST ZAIDI YA ULICHOKIANDIKA ILE INASOMA GPS UNACHOKIONA AKITOKA TOFAUTI

NDIO MAANAMADEREVA WA UBBER AWAKUPIGI UNAPOFIKA WANAKUPIGA UNAPOANZIA UKIONA SIMU IMESHIKWA SANA MKONONI KAZI UNAYO

KINGINE MF BOLT NIMEJIREG NA WANA EMAIL YANGU IKISOMA KIASI KADHAA KAMA UNASHUKA INATUMWA MSG YA RESIT..KAMA MNAYO HUKO UBER CHUKUA ILE RESIT INASOMA DEP N ARRV WAONYESHE ULITOKEA SEHEMU FULAN UMEFIKA ILISOMA 5000 NIMEANDIKIWA 10" 000 WALLAH UTARUDISHIWA TU REKEBISHA USIWAAMINI SANA KINGINE JIZOSHE KULIPA
 
Back
Top Bottom