muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,038
- 1,448
Huduma zenu zimekuwa za kiwizi bora kutumia taxi za kawaida.
Napenda kutahadharisha watumiaji wa Uber, ukiona magari ni machache alafu wanakuletea ujumbe kuwa utalipa 1x1.5, 1x1.6, 1x1.7 kimbia chukua taxi za kawaida.
Safari ambayo huwa nalipa Tsh 14,000 hadi Tsh 18,000 siku hiyo wameniletea hesabu ya 1x1.5 nikajua haitakuwa nyingi sana, kufika sehemu husika hesabu inakuja Tsh 72,000 na wala hatujakaa sana kwenye foleni.
Naona bora kuwa Bolt/Taxify na wale wengine wakianza kuleta hesabu zao za kijinga unawapotezea miezi kadhaa.
Mlianza vizuri sana, tukawapokea sasa hivi mnaonyesha makucha yenu, shame on you!
Napenda kutahadharisha watumiaji wa Uber, ukiona magari ni machache alafu wanakuletea ujumbe kuwa utalipa 1x1.5, 1x1.6, 1x1.7 kimbia chukua taxi za kawaida.
Safari ambayo huwa nalipa Tsh 14,000 hadi Tsh 18,000 siku hiyo wameniletea hesabu ya 1x1.5 nikajua haitakuwa nyingi sana, kufika sehemu husika hesabu inakuja Tsh 72,000 na wala hatujakaa sana kwenye foleni.
Naona bora kuwa Bolt/Taxify na wale wengine wakianza kuleta hesabu zao za kijinga unawapotezea miezi kadhaa.
Mlianza vizuri sana, tukawapokea sasa hivi mnaonyesha makucha yenu, shame on you!