Aisee mimi silipi,lazima alipe hakuna ujanja.. taxify/ bplt unaweza ukabishana.. ila uber lazima ulipe.. maana huo sio uchakachuz.. alama za kuzidisha alizipuuzia mwanzoni anaita gari
Mkuu sidhani kama hili ni sahihi. Kwa sababu wote inasoma hesabu kwenye simu ya dereva na kwenye simu ya abilia.
Tatizo kukataa ni ngumu maana fedha taslimu lazima TALLY kwa sim yako na yake, sasa hapo kukataa inakuwa ngumu sana. Labda hii elimu ya kutingisha dish iwekwe kimapana maana uzuri ni kuwa kwa wabongo kila techologia inayokuwa wanachofanya ni kuchakachua ili WAFAIDIKE. Mwenye hii elimu aweke mezani pleaseNi sahihi mkuu. Wenyewe wanaita kutingisha dish. Especially kwa simu za Androids ambazo zina Power Saver.
Mkianza tu Trip anaweka Power Saver ON ambayo kwakua inataka kupunguza matumizi ya battery kwenye simu yako basi itazima GPS (Location) hivyo accuracy ya njia uliopita kufika point B kutoka point A inakua inakadiriwa tu.
Tatizo kukataa ni ngumu maana fedha taslimu lazima TALLY kwa sim yako na yake, sasa hapo kukataa inakuwa ngumu sana. Labda hii elimu ya kutingisha dish iwekwe kimapana maana uzuri ni kuwa kwa wabongo kila techologia inayokuwa wanachofanya ni kuchakachua ili WAFAIDIKE. Mwenye hii elimu aweke mezani please
Lakini pia sijui kama tunajua elimu ya 1x1.5 ambayo UBER wanakupa pale endapo maderva wapo wachache na wahitaji wapo wengi kama inaeleweka na wengi
Aisee mimi silipi,
Ilishawahi nikuta hii kutoka Posta hadi Upanga nilikua naenda kwa elfu 3 ikizidi 4,
Siku hiyo muhuni mmoja akanihisi wa kuja ananionesha kitu kinasoma elfu 17, lol
Hakukua na folen wala chochote nikamwambia babuu iliyozidi utaongezea me yangu hii hapa elfu 3, akataka kubisha nikamwambia anireport, akanywea ooh basi fresh itakua imekula kwangu leo, Akakunja elfu 3 yake.
Kweli hii inawezekana 3000 si hata boda boda haendi, ukifanikiwa kumiliki gari huwezi toa 3000.Aisee mimi silipi,
Ilishawahi nikuta hii kutoka Posta hadi Upanga nilikua naenda kwa elfu 3 ikizidi 4,
Siku hiyo muhuni mmoja akanihisi wa kuja ananionesha kitu kinasoma elfu 17, lol
Hakukua na folen wala chochote nikamwambia babuu iliyozidi utaongezea me yangu hii hapa elfu 3, akataka kubisha nikamwambia anireport, akanywea ooh basi fresh itakua imekula kwangu leo, Akakunja elfu 3 yake.
Suala la bei ni mteja au kilometa zao zinavyosoma? Unajua Posta to Upanga ni kilomita ngapi? Pale unapojifanya mjuaji halafu unaishia kujidhalilisha.Kweli hii inawezekana 3000 si hata boda boda haendi, ukifanikiwa kumiliki gari huwezi toa 3000.
Walalamikie uber, nililipa safari 29000 wakati estimate was 16000 nikawaandikia wakarudisha 12000, ila inaingia kwenye acc yako ya uber.
Mmh mbona mimi juzi nimetoka Buguruni kwa mnyamani mpaka mbagala kwa sh 8,867/= tu...wakati tax ningechajiwa si chini ya sh elfu 15 muzi,
Mimi pia nimeshangaa unless walipita njia inatatizo wakasimama kwa masaa hilo eneoKwa hapa dar sidhani kama kuna sehemu utaenda kwa 72 elf aisee..ulitoka mjini hadi chalinze au
Posta mpaka bunjuKwa hapa dar sidhani kama kuna sehemu utaenda kwa 72 elf aisee..ulitoka mjini hadi chalinze au
Mkuu hii kitu ipo. Juzi natoka Airport hadi mbezi beach nilipocheki wakati narequest ikaonyesha 14k-16k. Jamaa ananishusha ikaja 56k. Imesoma kwake na kwangu, nikiangalia route tuliyopita ni tofauti kabisa na uhalisia. Nikamwambia nakupa 30k na nareport Uber maana haikuwa kawaida. Niliporeport uber wakanirudishia 12k. Hapo juu kuna mdau amaeeleza hawa madereva wanaweka save mode nakubaliana nae maana hata wakati anakuja app haikuwa inaaupdate kama yuko pale.Wewe ni bolt unataka kuwaponda uber. Hapa mjini hakuna zaidi ya uber.
Ungesema wazi mimi natangaza bolt ila mbinu uliyokuja nayo ni ya kiboya.
Bolt wezi wakubwa, wanachezesha madishi na pia customer care mbovu, ukilalamika nauli hurudishiwi ila uber ukilalamika tu unarudishiwa nauli yako.
Tafta namna nyingine ya kuponda uber ila sio hiyo.
Tutumie ramani yako tuone safari yako kama sio umbea tu qu*****e zako.
Mkuu hii kitu ipo. Juzi natoka Airport hadi mbezi beach nilipocheki wakati narequest ikaonyesha 14k-16k. Jamaa ananishusha ikaja 56k. Imesoma kwake na kwangu, nikiangalia route tuliyopita ni tofauti kabisa na uhalisia. Nikamwambia nakupa 30k na nareport Uber maana haikuwa kawaida. Niliporeport uber wakanirudishia 12k. Hapo juu kuna mdau amaeeleza hawa madereva wanaweka save mode nakubaliana nae maana hata wakati anakuja app haikuwa inaaupdate kama yuko pale.