Huduma ya Research Proposal, Thesis, Data Analysis na Assignments kwa Bei Nafuu – Vionex Solutions

Huduma ya Research Proposal, Thesis, Data Analysis na Assignments kwa Bei Nafuu – Vionex Solutions

Watu hawapendi mabadiliko lakini mabadiliko hua ni ya lazima. Tembeeni muoni watu wengine wanasomaje na wanaishije, je tumewazidi maendeleo? Tumewazidi ugunduzi?
Mfano USA mwanafunzi wa MPH wakati wa exam ya Biostatistics anapewa hadi formular kwenye pepa yake, yeye ni kufanya computational tu. Inabidi saa nyingine tukubaliane na mabadiliko siyo kila anayesoma masters anataka kwenda kufanya tafiti au kufundisha.
 
Watu hawapendi mabadiliko lakini mabadiliko hua ni ya lazima. Tembeeni muoni watu wengine wanasomaje na wanaishije, je tumewazidi maendeleo? Tumewazidi ugunduzi?
Mfano USA mwanafunzi wa MPH wakati wa exam ya Biostatistics anapewa hadi formular kwenye pepa yake, yeye ni kufanya computational tu. Inabidi saa nyingine tukubaliane na mabadiliko siyo kila anayesoma masters anataka kwenda kufanya tafiti au kufundisha.
Elimu nje ni rahisi sana aisee uku mwendo wa kukariri na kuabudu miungu watu (lecturers) bila hivi utoboi.

Mitihan migumu inatungwa kwa ajiri ya performance approach goals tu na sio learning ndo maana wajinga wasomi wengi na elimu haijatusaidia hadi leo
 
Elimu nje ni rahisi sana aisee uku mwendo wa kukariri na kuabudu miungu watu (lecturers) bila hivi utoboi.

Mitihan migumu inatungwa kwa ajiri ya performance approach goals tu na sio learning ndo maana wajinga wasomi wengi na elimu haijatusaidia hadi leo
Sahihi kabisa, bahati nzuri mimi ni miongoni wa watu niliobahatika kusoma nje ya nchi kwa level zote za degree na masters nathibutu kusema kua ukiwa unaona wanavyofundisha na namna wanavyotoa mitihani yao unaweza kuona maisha ni rahisi sana mambo ya take away CAT nk. But believe me hizo nchi zimetuzidi mbali kila kitu kwa elimu hiyo hiyo inayoonekana rahisi. Sisi tunamfumo mgumu sana wa elimu ndiyo unaowaaminisha watu kwamba ni lazima kila mtu apite humo ili kufanikiwa. Si unaona jinsi elimu ya china watu wanavyoichukulia poa. Je huko china kuna madaktari wageni au wahandisi wageni si bi hao hao chinese ndiyo wako hadi kwetu kwneye elimu ngumu.
 
Elimu nje ni rahisi sana aisee uku mwendo wa kukariri na kuabudu miungu watu (lecturers) bila hivi utoboi.

Mitihan migumu inatungwa kwa ajiri ya performance approach goals tu na sio learning ndo maana wajinga wasomi wengi na elimu haijatusaidia hadi leo
Huku Tz Lecturer anamiliki maarifa. Hata kama una wazo umelipitia na ukatoa challenge wanaku-dis. Yaani hawataki utoke nje ya mipaka yao utadhani wanafundisha sekondari
 
Wakuu, huduma zetu bado zinaendelea kwa ubora na bei nafuu.

Tunatoa huduma mbalimbali za research support, data analysis, academic writing, transcription, translation, and business document preparation.

Namba zetu mpya ni: 0670 972 664

Karibuni sana kupata huduma zenye ubora na kwa wakati. Asanteni.

1781792179823.png
 
Back
Top Bottom