Mkuu kam simu imepotea na una Imel no.unaweza kuifunga?
- je simu yako inatumia OS ipi?
- Kwa Android kuna app ambazo zinakuwezesha kufuta data zako, iwapo simu itakuwa online, Na wewe kwa kutumia Play store,[baada ya ku_login kwa gmail account], waweza install hiyo apps remotely , Na itaweza kufuta kila kitu.
- Hii linawezekana iwapo tu simu yako bado haijafanyiwa Hard Resert
Simu yangu iliyopotea ni android huawei y530 nataka kam kuna uwezekano wa kuifunga kabisa isifanye kazi.
Mwl.kuna mtu nataka aniletee simu kutoka UK ziko locked iPhone 5 kwaT mobile network Na galaxy s5 mini kwaO2 network,na kazinunua hata wiki haijachukua,JE waweza kuzitoa hizo lock?na ni bei gani?
mwl.mm simu yangu orange spvm 5000 imebelocked kwa orange tu imei no..355195002322450 .je itawezekana kuunlock