Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Kwa wale walionunua simu za Tigo, Airtel, Vodacom ambazo zinatumia mtandao mmoja tu

Kwa tsh 20'000 Tu

Weka order yako sasa ya NETWORK UNLOCK CODES ili uwe huru kutumia mtandao wowote ule nchini na nnje ya nchi

Contact​
: Mwl.RCT +255 784 496 856



 
Kwa wale walionunua simu za Tigo, Airtel, Vodacom ambazo zinatumia mtandao mmoja tu

Kwa tsh 20'000 Tu

Weka order yako sasa ya NETWORK UNLOCK CODES ili uwe huru kutumia mtandao wowote ule nchini na nnje ya nchi

Contact​
: Mwl.RCT +255 784 496 856




Mkuu leo huwezi kunisaidia nitumie software au application gani kufanya rooting ya Huawei y 330 hizi za tigo, unlocking nilishafanya
 
Mkuu leo huwezi kunisaidia nitumie software au application gani kufanya rooting
  • Je simu yako ni model ipi?
  • Info kuhusu rooting kwa model husika zipo katika mtandao, na video waweza ona youtube
  • Karibu
 
jamiifprums_dec.jpg
 
Kwa wale walionunua simu za Tigo, Airtel, Vodacom ambazo zinatumia mtandao mmoja tu

Kwa tsh 20'000 Tu

Weka order yako sasa ya NETWORK UNLOCK CODES ili uwe huru kutumia mtandao wowote ule nchini na nnje ya nchi UTAPATA CODES ndani ya DK 5 , Ndio ni ndani ya DAKIKA TANO TU

WEKA ORDER YAKO SASA



Contact

: Mwl.RCT +255 784 496 856

 
Nimenunua simu yangu siku tatu zilizopita Huawei Y530.

Leo nimeweka simcard tofauti ili niweze ku copy majina yaliyokuwa kwenye sim card. mara ikaniambia niweke code. nikarudishia ile simcard yake ya mwanzo bado mambo yakawa hayohayo, nikacheza nayo na kujaribu codes tofauti lakini mambo yakawa hayohayo tu. sasa inaniandikia
SIMLOCK block unlock reset KEY.

Nnaomba msaada tafadhali
 
Nimenunua simu yangu siku tatu zilizopita Huawei Y530. Leo nimeweka simcard tofauti ili niweze ku copy majina yaliyokuwa kwenye sim card. mara ikaniambia niweke code. nikarudishia ile simcard yake ya mwanzo bado mambo yakawa hayohayo, nikacheza nayo na kujaribu codes tofauti lakini mambo yakawa hayohayo tu. sasa inaniandikia
SIMLOCK block unlock reset KEY. naomba msaada tafadhali
 
Nimenunua simu yangu siku tatu zilizopita Huawei Y530. Leo nimeweka simcard tofauti ili niweze ku copy majina yaliyokuwa kwenye sim card. mara ikaniambia niweke code. nikarudishia ile simcard yake ya mwanzo bado mambo yakawa hayohayo, nikacheza nayo na kujaribu codes tofauti lakini mambo yakawa hayohayo tu. sasa inaniandikia
SIMLOCK block unlock reset KEY. naomba msaada tafadhali

[h=2]You can trust us.
https://www.jamiiforums.com/matanga...k-phone-code-100%-money-back-guarantee-4.html[/h]
 
Imetoka nje so line zote za kibongo ukiweka inasema invalid. Ni iphone 5

Huyu mshkaji ni Nouma hii Kaz ya kutoa hzo lock anaijua vizur maana mi kishanitolea lock cm tatu tofauti tena kwa muda mfupi tu baada ya kufanya malipo. Safi na hongera mkuu ila nakushauri kama inawezekana pls punguza gharama kidogo ya Huduma yako
 
Back
Top Bottom