Babu Anganga
Senior Member
- Jun 13, 2009
- 169
- 110
Ngoja niicharge hii tablet yangu ili nkutumie hiyo Imei, maana nlishakata tamaa nayo.
Huyu mshkaji ni Nouma hii Kaz ya kutoa hzo lock anaijua vizur maana mi kishanitolea lock cm tatu tofauti tena kwa muda mfupi tu baada ya kufanya malipo. Safi na hongera mkuu ila nakushauri kama inawezekana pls punguza gharama kidogo ya Huduma yako
Hatua za kufuata ili kupata huduma
- Ushauri wako nimeupokea na utekelezaji wake unaanza mara moja
- Simu zote ambazo zipo locked kwa mitandao ya Tanzania nitatoa UNLOCK CODES kwa ghalama ya TSH 10'000 tu , Kuanzia sasa hadi January 1' 2015
- Hili ni punguzo maalumu msimu huu wa sikukuu za krismass na mwaka mpya, Baada ya mwaka mpya Bei itakuwa TSH 15'000
- Nipe IMEI number kupitia Ukurasa huu au kwa sms au kwa whatsapp
- Malipo yafanyike kwa Tigo Pesa 0717 54 57 62 au Airtel Money 0784 496 856
voda phone 875
imei :359385050335662 msaada please kui- unlock
Nina Huawei Y330 imei 863963027225452, nitazipataje hizo code?
Vp samsung unafanya unlock? samsung ilotoka nje ya nchi kwahiyo haisomi line za bongo inasoma line za nje ya nchi