Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Mkuu hivyo vyote sina ni simu nimetumiwa na ndugu yangu kutoka ulaya. Msaada wako plseInawezekana iwapo tu una account yake ya itune/icloud kwa maana utapata unlock codes kama updates kupitia itunes
Karibu