HALOTEL VAS
JF-Expert Member
- Apr 7, 2016
- 276
- 37
- Thread starter
- #121
UTANGULIZI WA HUDUMA
Jiunge na HALO WIN leo na upate nafasi ya kujishindia zawadi nyingi za thamani kila siku!
-Jiunge na Halo win sasa ,utapata siku moja BURE ya kutumia huduma hii kwa mara ya kwanza!
-Pata zawadi nyingi za thamani kuanzia Tsh 10,000 kama muda wa maongezi kila siku hadi smartphone H8501.
HALO WIN ni huduma mpya na yakuvutia kutoka halotel inayokupa nafasi nyingi za kujishindia zawadi mbalimbali zikiwemo za siku, wiki na mwezi.
Wateja wote wa HALOTEL wanaweza kujiunga na huduma hii, alafu wanatakiwa kuongeza salio kwenye akaunti zao za simu badaa ya hapo watapokea namba ya bahati na kutakiwa kupiga namba ya huduma na uingiza namba hiyo ya bahati au kuituma kwa njia ya ujumbe mfupi kwenye namba hiyo ya huduma.
Mfumo utachezesha droo na kuchagua washindi.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO WIN
-Unaweza kujiunga na huduma kwa njia zifuatazo
-Njia ya IVR: Piga 09 0122 0004 ili kujiunga na huduma hii, alafu utatakiwa kuongeza salio kwenye akaunti yako ya simu, baada ya hapo utapokea namba ya bahati na utatakiwa kupiga namba ya huduma ambayo ni 09 0122 004 na kuingiza namba ya bahati uliyotumiwa.
-Njia ya ujumbe mfupi: Tuma ON kwenda 09 0122 004 kujiunga na huduma hii. alafu tuma namba yako ya bahati utakayopokea baada ya kujiunga au kuongeza salio kwenye akaunti yako kwenda kwenye namba 09 0122 004.
GHARAMA ZA HUDUMA
-Gharama za Huduma: Tsh 50/Siku
-Gharama Za Kupiga: Tsh 20/Dakika.
UNGANA NASI
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@HALOTEL.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS