Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Mkuu kwa nia njema kabisa nakuomba urudi na uwaeleze wadau kwamba kwa kujiunga na Halo movie na kulipia hizo Tshs. 600/= kwa wiki na 2,000/= kwa mwezi KAMWE hauwezi kuangalia hizo movie 4 au 15 BURE (bila kulipia gharama za data) kama mlivyoandika kwenye tangazo lenu la promotion. Hizo 600/= na 2,000/= ni kwa ajili tu ya kujisajili kwenye huduma hiyo kwa wiki au mwezi na kuishia tu kuona orodha ya muvi zote zilizopo lakini ili uweze kuangalia hizo movie LAZIMA uwe umenunua internet bundle la kutosha.

Kwa ushauri wangu pamoja na ubora wa huduma zenu lakini si vizuri kuweka maelezo yanayopotosha kwenye matangazo yenu au promotional material yoyote kwa lengo la kuwashawishi wateja kujiunga na huduma fulani kwani inaweza kupelekea kushusha credibility yenu na pia kusababisha usumbufu na malalamiko yasiyo ya lazima kutoka kwa wateja.
Nitaangalia YouTube mambo ya kulipia bando na data wapi na wapi maisha yenyewe ya Makomeo
 
upload_2016-5-19_17-23-4.png


UTAMBULISHO WA HUDUMA

BE-HALOTEL ni huduma inayomwezesha mtumiaji wa HALOTEL mwenye smartphone kutumia huduma kama Barua pepe, Facebook, Taarifa za Hali ya hewa, Taarifa za mpira n.k kwa njia ya intaneti au bila intaneti.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Pakua programa ya BE-HALOTEL kutoka play store kwenye simu yako
FAIDA ZA HUDUMA:
-Mteja anaweza kutumia huduma sehemu yoyote na muda wowote kwa sababu huduma inaweza kutumika kukiwa na intaneti au bila intaneti.
-Programu zinatumia kiwango kidogo cha kifurushi cha intaneti (mara 5000 ya kifurushi ukilinganisha na progrmamu nyingine).

GHARAMA ZA HUDUMA:
-PROMOSHENI: WATEJA WOTE WA HALOTEL WALIO JIUNGA NA HUDUMA WATAPATA MWEZI MMOJA BUREE.
-Service fee after promotion:
-Gharama za huduma baada ya promosheni.
-Kifurushi cha siku: Tsh 300/Siku
-Kifurushi cha wiki: Tsh 1500/Wiki
-Kifurushi cha mwezi: Tsh 3000/Mwezi

WASILIANA KWA NJIA YA
-Facebook: VAS Halotel
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-20_16-9-10.png



UTAMBULISHO

MIDUNDO ni huduma ya muziki inayowawezesha watumiaji kufurahia nyimbo mbalimbali kupitia simu zao muda wowote na popote zikiwemo video, miziki, albamu, miito, milio pamoja na picha.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kujiunga na huduma
-Kifurushi cha Siku: Piga *15574*1# au tuma ON kwenda 15574
-Kifurushi cha Wiki: Piga*15574*7# or tuma ON7 kwenda 15574
-Kutumia huduma: Tembelea huduma ya Midundo kwenye Home | Listen to hot music, download music with high quality | Midundo Portal
-Piga 15607 kupata mkusanyiko wa nyimbo bora mpya uzipendazo.
GHARAMA ZA HUDUMA
-Gharama za kujiunga:
-Kifurushi cha siku: Tsh.60/Siku
-Kifurushi cha Wiki: Tsh:300 Tsh/Wiki
GHARAMA:
-Nyimbo: Tsh:300/Wimbo
-Milio: TSh:150/Mlio
-Video: Tsh:300/Video
-Picha: Tsh:100/Picha
-Kusikiliza (IVR) gharama: Tsh 20/Dakika
-Gharama za Data: Bure kwa wateja waliojiunga.
JIUNGE NASI KUPITIA
Facebook: VAS Halotel
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-21_11-33-3.png

UTAMBULISHO WA HUDUMA

HALO STORY ni huduma mpya inayowapa fursa wateja wa HALOTEL kujiunga na ulimwengu wa hadithi mbalimbali za kuvutia zipatikanazo ulimwenguni kote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

Piga 0901 22 0002 kujiunga na huduma.

FAIDA ZA HUDUMA

-Huduma inawapa burudani mpya wateja wa HALOTEL kwa kupata hadithi mbalimbali za mapenzi,watoto, kuchekesha na zile za asili.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha siku: Tsh 100/Siku- Pata hadithi 2

-Gharama za kuhifadhi hadithi: Tsh 300/Hadithi

JIUNGE NASI KUPITIA

-Facebook: VAS HALOTEL

-WhatsApp: 0627 942 367

-Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-23_18-42-52.png

UTNAGULIZI

SIMUCLIP ni huduma inayowarapa fursa wateja wa HALOTEL kufurahia video mbalimbali za kuchekkesha, mambo muhimu ya soka, dondoo za mapishi, vikatuni, n.k kupitia simu zao.

JINSI YA KUTUMIA SIMU
KUSAJILI

-Tuma “ON” kwenda 15738 au piga *15738*1# kujiunga na Kifurushi cha siku
- Tuma “ON7” kwenda 15738 au piga *15738*7# Kujiunga Kifurush cha Wiki.
- Tuma “ON30” kwenda 15738 au piga *15738*30# Kujiunga kifurushi cha Mwezi.
-Jinsi ya kutumia huduma: Kutazama/kupakua/zawadi video kupitia http://simu.co.tz

GHARAMA ZA HUDUMA
- GHARAMA ZA KUJIUNGA

- Kifurushi cha Siku: Tsh:300/Siku
- Kifurushi cha Mwezi: Tsh: 1,500/Wiki
- Kifurushi cha Mwezi: Tsh: 5,000/Mwezi

- Gharama za video
- Mteja aliyejiunga: Bure kutazama video zote.
- Mteja asiyejiunga: Kutazama kwa demo za video sekunde 30 tu.
- Kupakua/Zawadi: Tsh:300/Video.
- Gharama za Data: Bure

JIUNGE NASI
Facebook: VAS Halotel
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
 
Wateja wamezidi au mmeanza kuwa kama wa zamani (Voda, Airtel na Tigo)
 
upload_2016-5-24_17-1-39.png



Pata wiki moja bure kwa kujiunga na Huduma ya HALO BEATZ na uweze kutuma na kuweka nyimbo uzipendazo kwa marafiki pale wanapokupigia kwa kutuma ON kwenda 15607.
Piga 15607 (Gharama: Tsh 20/Dakika) kupata nyimbo nyingi mpya za chaguo lako.
Gharama ya kujisajili ni Tsh 175/Wiki baada ya promosheni.


UTANGULIZI.

HALO BEATZ ni huduma inayowapa fursa watumiaji wa HALOTEL kuweka miito wanayoipenda isikike pale wanapipigiwa.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kujiunga na huduma: Tuma ON kwenda 15607 au piga *15607*1#
-Kupakua nyimbo: Tuma PATA codeyawimbo kwenda 15607 au piga *15607*Codeyawimbo#
-Kupata orodha ya nyimbo mpya: Tuma MPYA kwenda 15607 au piga *15607*5#
-Orodha ya nyimbo kwenye Albam: Tuma ORODHA kwenda 15607 au piga *15607*6#
-Kusikiliza nyimbo kwa kuchagua nyimbo bora: Piga 15607

GHARAMA ZA HUDUMA

-Gharama za kusajili: Tsh.175/Wiki
-Gharama ya wimbo kupakua/Wekaupya/Nakili: Tsh.400/Nyimbo kwa mwezi
-Gharama ya kusikiliza (IVR): Tsh.20/Dakika

WEKA WIMBO WA ADELE-HELLO KAMA MUITO WAKO: Tuma PATA 22917 kwenda 15607


JIUNGE NASI

Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Barua pepe:
Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-26_18-18-51.png

Enjoying HALO SOKA, Getting iPhone

SERVICE INTRODUCTION


HALO SOKA service allows HALOTEL customers to get access of football information from all major leagues around the world.

HOW TO USE
-Send LIVE/TIP/NEWS/HOT LeagueCode to 15602 for receving live match events including updates and scores user will be notified; football tips/news from all major leagues around the world, especially English Premier League and Champions League.

SPECIAL EVENT - A LUCKIEST PRIZE (iPhone 5s) AT THE END OF CHAMPIONS LEAGUE AND PREMIER LEAGUE
-The subscribers who register HALO SOKA’s LIVE PL or LIVE C1 services will take part in this program. They will accumulate bonus point everyday and receive prize from HALOTEL when the game ends (Prize is estimated to give in early June, 2016).


-Central point: Champions League Final matches between Real Madrid vs Atletico Madrid:
The destiny battle of two great rivals: As if Real could beat Atletico easily in the past, things have been changing so fast from 2013 to now. In La Liga and Copa del Rey 3 years recently, Real have had only 1 win versus Atletico, while Atletico had 6 wins under Coach Simeone’s period. This season is no exception when Real often in difficulties in each confrontation with Atletico. The only thing that make Real confident, is that they always win Atletico in Champions League. Real had completed last the Champions League quarter-final with Atletico in a suffocation way by a precious goal of Chicharito in extra time. Further information, the goal of Ramos in the final seconds of the final match had brought Real returning from the hell, which made them to be the winner of 2014 Champions League. Currently, both 2 great rivals and Barcelona are vying fiercely for the championship of La Liga. And Champions League final will take place in late May. There is a special detail: Atletico have defeated 2 candidates for the championship- Barcelona and Bayern Munich in the quarter-final and the semi-final, and two years ago as a coincidence, the team that beats Bayern in the semi-final, that team will be the crown! Atletico’s opportunities are wide open and See you at Milano on 28th May.

SERVICE FEES
-Customer is free for 03 days after registration at first time.
-Charges after promotion will be 100 Tsh/Day.

JOIN WITH US
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367

-Email: Vas@Halotel.co.tz
 
upload_2016-5-30_16-13-39.png

UTANGULIZI

HABARI ni huduma inayowawezesha wateja wa Halotel kupata habari mbalimbali muhimu za jamii, siasa na michezo kutoka kila kona ya Dunia. Huduma inawapa fursa wateja kufahamu kile kinachoendelea ndani na nje ya nchi kila siku.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Unaweza kujiunga na huduma kwa:
-Kupitia SMS :
-Tuma neno HABARI kwenda 15608 kusajili huduma.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi cha siku: Tsh 50/Siku

JIUNGE NASI:
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
 
Halotel kushney... Ilikua nguvu ya soda.... Huku mwanza ndo kichefuchefu hiyo speed ya net
 
upload_2016-5-31_18-0-28.png

UTANGULIZI

HALO QUIZ ni huduma inayowapa fursa watumiaji wa HALOTEL nafasi ya kushinda zawadi nyingi. Kwa kujibu idadi ya maswali kadhaa kwa usahihi kwa muda mchache.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kujisajili: Mteja wa HALOTEL anaweza kujiunga na kuanza kutumia huduma hii nzuri kwa kupiga 0901221111.
-Mtumiaji atapokea taarifa ya ujumbe wa kufanikiwa kusajili huduma na kupewa nafasi ya kucheza HALO QUIZ.
-Kisha mtumiaji ana nafasi ya kuchagua kifurushi cha maswali na kuanza kujibu maswali.

Huduma ina vifurushi 3 vya maswali
-Kifurushi cha maswali kumi: Maswali 10; Zawadi: Tsh 2,000
-Kifurushi cha maswali ishirini: Maswali 20; Zawadi: Tsh 4,000
-Kifurushi cha maswali thelathini: Maswali 30; Zawadi: Tsh 8,000

GHARAMA ZA HUDUMA
-Gharama za huduma ni Tsh100 kwa siku. Baada ya kujiunga utapata nafasi mbili za kucheza HALO QUIZ bure.
-Kisha mtumiaji atapaswa kulipia Tsh.100 kwa kila nafasi mbili za ziada kucheza HALO QUIZ.

JIUNGE NASI
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
 
Halotel sio wakweli! kuna siku walipita hapa kibaruani kwangu wakachukua namba za staff wote, etii mwisho wa mwezi tutapewa bando looo hadi leo, mara ooo hii ofisi ya serikali tunataka kuwamotisha na kutangaza bidhaa zetu kwa hiyo yule ambaye hana chip tunampa!!! lelele3l lalalalalal uuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom