Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Huduma na Bidhaa za HALOTEL

upload_2017-4-4_17-12-56.png

Vumbua Ulimwenbgu Mpya wa Huduma za Ziada na Uzijue Huduma hizo kutoka Halotel.
-Sasa Pata Orodha ya aina za Huduma Mbalimbali kama vile:

• Huduma za halotel
• Halo Beatz
• Huduma za Michezo ya Bahati
• Huduma za Habari za Moja Kwa Moja
• Huduma za Jamii
• Huduma za Manufaa.
kwa Kupiga **#.
-Chagua , Jiunge na Furahia Wakati Wowote Ukiwa na Halotel Leo
 
upload_2017-4-5_9-49-26.png

Furahia Mpambano wa Moja kwa Moja kati ya CHELSEA VS MANCHESTER CITY ukiwa na Huduma ya HALO SOKA!
Tuma LIVE PL kwenda 15602 kujiunga!
Saa 4:00 Usiku April 05, 2017, Chelsea vs Manchester City.


Siku nne baada ya Chelsea kupata kipigo katika uwanja wake wa Stamford Bridge dhidi ya Crystal Palace, Sasa Chelsea hawana muda wa kupoteza na wapo tayari kuikabili changamoto ya mechi yao dhidi ya Manchester City katika Ligi Kuu raundi ya 31.
Si kwa Chelsea pekee, lakini pia Manchester City chini ya Pep Guardiola waliambulia sare ya goli 2-2 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu, huku timu zote mbili zikionesha kuchanganyikiwa. Matokeo hayo yanafanya mbio za ubingwa ziwe mikono mwa Wananchi lakini bado wanapigania kuhakikisha wanasalia katika ligi ya mabingwa. Hii ndiyo sababu inayomfanya kocha Pep Guardiola na wachezaji wake kuhakikisha wanapigana 100% ili kutimiza malengo yao.

Ingawa Chelsea hivi karibuni alipokea kichapo kutoka kwa Crystal Palace katika uwanja wa Stamford Bridge lakini bado wana imani kubwa na Conte katika mechi yao dhidi ya City. Tangu Desemba 1983, Chelsea hawajawahi kushindwa na Manchester City nyumbani katika mchezo wa Ligi Kuu.
Hii itakuwa mechi yao ya 157 kukutana. Mechi 156 zilizopita, Blues ameshinda 65, sare 39 na City ameshinda 52.
Chelsea wana lengo la kumaliza mbio za ubingwa mapema lakini Manchester City hawapo tayari kupoteza mechi ya leo. Kwa hiyo, mpambano kati ya timu hizi mbili leo saa 4:00 usiku tarehe 5 Aprili katika uwanja wa Stamford Bridge utakuwa wa kuvutia sana.

Kupata taarifa na matokeo ya Moja kwa Moja ya mchezo huu,Tuma neon LIVE PL kwenda 15602 ufurahie huduma ya HALO SOKA.

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA
-Facebook: VAS Halotel | Facebook
-WhatsApp: 0627 942 367
-Instagram: vas_halotel
-Email: Vas@Halotel.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS
 
Achana na FB binti. Elimu ni msingi wa maendeleo yako. Soma kwa bidii. Ukizingatia masomo hapo baadae hutahitaji kuhangaika na huduma za bure kwenye mitandao
 
Dah...Bongo bana.. mwisho wa simu-janja ni watsapp na fb tu.......dah
 
Ndugu Zangu hali zenu,
Natumia ipad, kuna namna ya kujiunga na bundle bila kutoa line na kuweka kwenye simu nyingine? (ipad ninayotumia haina namna ya ku-dial au kutuma sms za kawaida).
Naomba msaada wenu wataalam
 
Asee nyinyi halotel leo mmeniboa katika siku zote ,yani nimenunua vocha nijiunge kifurushi inagoma na nina shida muhimu na mtu niongee,kwa kweli leo sijawapenda kabisa, mwanzo mmekuja vizuri huduma nzuri ila sasa ivi naona mmeanza kuharibu kabisa, laini yenu nitaitupa mda si mrefu maana siwezi vumilia mambo ya kijinga kama haya,, hata kama ni technical problem kwanini napiga huduma kwa mteja hampokei, ili niweze kupata ufafanuzi, aaahh mnakera bana yani hapa kufika kesho laini sitaitumia tena bora niendelee na voda tu.
 
Ndugu Zangu hali zenu,
Natumia ipad, kuna namna ya kujiunga na bundle bila kutoa line na kuweka kwenye simu nyingine? (ipad ninayotumia haina namna ya ku-dial au kutuma sms za kawaida).
Naomba msaada wenu wataalam
Andika barua
 
Mnanikera sana huduma kwa wateja hatuwapati hata siku moja sasa mliweka ya nini halafu mnatunyima haki ya kulalamika na itabidi tuwaambie TCRA suala hili
 
Halotel siku hizi mmekuwa ovyo sana.mmetoa dakika kwenye bando za Internet. Alafu hamsemi.
 
Kwa kweli halotel siku hizi mnatuchakachua .....yani mb 500 zinaisha kwa mwendokasi balaa tuoneeni huruma japo kidogo
 
Bando mbovu kabisaa ovyoo na kasi ya internet imekuwa chini kwa ujumla mmeanza kupoteza dira
 
Wanazingua kweli halotel yani jana wameniboa kichizi...
 
View attachment 486743
Cheza, burudika, Jifunze na Ujishindie zawadi nyingi za thamani kutoka katika Huduma ya Halo Quiz
-Piga 0901220 1111 na Ujiunge bure kwa mara ya Kwanza
-Jiunge na timu ya Halo quiz ujifunze, uburudike na Ujishindie Zawadi nyingi za Thamani
-Gharama za kujiunga na huduma ni Tsh 100/kwa kila mara 2 za kucheza Halo Quiz

UTANGULIZI
HALO QUIZ
ni huduma inayowapa fursa watumiaji wa HALOTEL nafasi ya kushinda zawadi nyingi. Kwa kujibu idadi ya maswali kadhaa kwa usahihi kwa muda mchache.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA

-Kujisajili: Mteja wa HALOTEL anaweza kujiunga na kuanza kutumia huduma hii nzuri kwa kupiga 0901221111.
-Mtumiaji atapokea taarifa ya ujumbe wa kufanikiwa kusajili huduma na kupewa nafasi ya kucheza HALO QUIZ.
-Kisha mtumiaji ana nafasi ya kuchagua kifurushi cha maswali na kuanza kujibu maswali.
-Huduma ina vifurushi 3 vya maswali
-Kifurushi cha maswali kumi: Maswali 10; Zawadi: Tsh 2,000
-Kifurushi cha maswali ishirini: Maswali 20; Zawadi: Tsh 4,000
-Kifurushi cha maswali thelathini: Maswali 30; Zawadi: Tsh 8,000

GHARAMA ZA HUDUMA

-Gharama za huduma ni Tsh100 kwa siku. Baada ya kujiunga utapata nafasi mbili za kucheza HALO QUIZ bure.
-Kisha mtumiaji atapaswa kulipia Tsh.100 kwa kila nafasi mbili za ziada kucheza HALO QUIZ.

TULIKE/JIUNGE NASI KUPITIA

Facebook: VAS Halotel
WhatsApp: 0627 942 367
Instagram: vas_halotel
Email: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
Na kujitoa kwenye huduma ya HALO QUIZ nafuata hatua gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom