Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Huduma na Bidhaa za HALOTEL

Hivi halotel usiku ukifungua youtube internet ni bure?
Maana last night nilikuwa na 1Gb lkn nimeshusha movie hadi namaliza ile 1Gb ipo vizuri.
 
Laini yangu ya Halotel nikiweka kwenye smart phone nashindwa kuchagua kifurushi kwenye menu yenu mpaka iwe kwenye simu ya kawaida naomba msaada
 
upload_2016-7-11_16-22-45.png


UTANGULIZI
HABARI
ni huduma inayowawezesha wateja wa Halotel kupata habari mbalimbali muhimu za jamii, siasa na michezo kutoka kila kona ya Dunia. Huduma inawapa fursa wateja kufahamu kile kinachoendelea ndani na nje ya nchi kila siku.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kujiunga na huduma:
Tuma neno HABARI kwenda 15608.

GHARAMA ZA HUDUMA

-Kifurushi cha siku: Tsh 50/Siku

JIUNGE NASI:
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
Laini yangu ya Halotel nikiweka kwenye smart phone nashindwa kuchagua kifurushi kwenye menu yenu mpaka iwe kwenye simu ya kawaida naomba msaada
Ahsante kwa kututaarifa...tunaomba kujua inakuwaje mpaka huwezi kuchagua vifurushi vyetu
 
Hivi halotel usiku ukifungua youtube internet ni bure?
Maana last night nilikuwa na 1Gb lkn nimeshusha movie hadi namaliza ile 1Gb ipo vizuri.
Ahsante..Endelea kutumia internet yenye kasi zaidi kutoka halotel
 
upload_2016-7-12_15-18-14.png


ONYESHA HISIA ZAKO KWA MARAFIKI NA FAMILIA!
PATA MWEZI MMOJA BURE KUTUMIA HUDUMA YA HALO SAINI BAADA YA KUJIUNGA KWA MARA YA KWANZA.
GHARAMA ZA HUDUMA NI TSH 30 /SIKU BAADA YA MUDA WA BURE


UTANGULIZI
HALO SAINI ni huduma inayo wawezesha wateja wa HALOTEL kuonyesha hisia kwa wapendwa wao kwa kuweka saini kama ujumbe na utaonekana kwenye simu wanazopiga au kupigiwa.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
=>Kujiunga na huduma
Tuma ON kwenda 15614 kusajili kifurushi cha siku.
Tuma ON30 kwenda 15614 kusajili kifurushi cha mwezi.
=>Kuwezesha saini: Tuma SAINI <UjumbeWaSaini> kwenda 15614.

FAIDA ZA HUDUMA
-Husaidia wateja kuonyeshana upendo.
-Husadia wateja kujitambulisha kwa saini.
-Husaidia wateja kutanagaza biashara.
-Huwezesha mawasiliano baina ya wateja.
-Husaidia wateja kujulishana hali.
-Huduma hii ni kwa wateja wote wa HALOTEL.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi cha siku: Tsh 30 /Siku.
-Kifurushi cha mwezi: Tsh 600/Mwezi.
-Kubadili SAINI: Buree na unaruhusiwa kubadili mara nyingi uwezavyo.
UNGANA NASI KUPITIA
Facebook: VAS Halotel
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS

 
Halo mnazingua kinyama mie saivi nikifungua tu kifurushi zinaanza kuja application zinataka nifungue ile option ya download from unknown source
 
Halo mnazingua kinyama mie saivi nikifungua tu kifurushi zinaanza kuja application zinataka nifungue ile option ya download from unknown source
Ahsante kwa taarifa...tunaomba maelezo mazuri juu ya tatizo lako? tutakusaidia tafadhali
 
Hapa tanga Modem zimeisha zaidi ya mwezi sasa hazijaletwa na ofisi yao inafungwa sawa na ofisi za serikali. mnafanya biashara kihindi zaidi
 
upload_2016-7-13_10-55-38.png

Mpya! Mpya! Mpya! Karibu Katika Huduma Ya HALO REDIO!

-Piga 09 0122 0122 Ili Kujiunga Na Utapata Siku Moja BURE Ya Kutumia Huduma Hii


-Jiunge Na Klabu Ya HALO REDIO Kwa Burudani Mbalimbali

-Gharama Baada Ya Promosheni: Tsh 30/Siku


UTANGULIZI WA HUDUMA
Huduma ya HALO REDIO ni huduma mpya kutoka HALOTEL inayowawezesha wateja wa HALOTEL kupata taarifa mbalimbali za habari, burudani na muziki kutoka sehemu mbalimbali duniani kote. Kupitia huduma hii, mtumiaji ataweza kusikiliza miziki ya aina mbalimbali kama vile R&B, Rock, Pop, Rege na aina nyingine nyingi,pia kupata habari za matukio mbalimbali pia michezo duniani kote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO REDIO
=>You can subscribe to the service by:
Njia ya IVR: Piga 09 0122 0122 ili kujiunga na huduma hii.
Njia ya ujumbe mfupi: Tuma ON kwenda 09 0122 0122 kujiunga na huduma hii.
=>Baada ya hapo piga 09 0122 0122 ili kutumia huduma.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi Cha Siku: Tsh 30/Siku
-Gharama Za Kupiga: Tsh 20/Dadika.

UNGANA NASI
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@HALOTEL.co.tz
JamiiForums:
HALOTEL VAS
 
Nimehamia leo Halotel, airtel bakini na liinternet lenu la Edge!

#huh mchezo hauhitaji hasira#
 
Mimi halotel mnataka kunishindaa kabisa yani nina MB100 but nikiwasha data kwa cmu yangu with halotel haikubali but nikieka line nyngn inakubali nimejarbu kucheck settings but no problems I guess it is halotel problem.... please msaada kutoka kwenu halotel coz hata cmu yangu hampokei huduma kwa wateja
 
Ahsante kwa taarifa...tunaomba maelezo mazuri juu ya tatizo lako? tutakusaidia tafadhali
Maelezo mazuri???? Labda mkuu sijakuelewa ila ninatumia simu ya halotel h8401 ilikua poa tu japo sikuizi imekua ikiniletea applications bila hata kuzi download na zingine zimekua zikiniletea request ya option ya kuruhusu download from unknown sources yaani zinakera coz naeza kua nafanya kitu kingine na inakatisha na kuleta iko ki dialog box cha kuomba nifungue download from unknown source option. Kuna apps like Apus,9Apps,Xender sometymz zinajidownload automatically
 
nimejiunga na Halotel juzi, aisee kwa internet mmetisha, keep up brothers......
 
upload_2016-7-16_9-29-49.png

UTAMBULISHO WA HUDUMA
VOICE SMS ni huduma inayowapa fursa wateja wa HALOTEL kutuma na kupokea ujumbe wa sauti. Hii ni njia rahisi na bora zaidi kulinganisha na njia ya kawaida ambayo inachukua muda na gharama nyingi.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
Piga 0901 220 001 kuweza kupata huduma.

FAIDA ZA HUDUMA
-Huduma ni rahisi, inaokoa muda na hivyo ni rahisi sana kutumia.
-Huduma ni nafuu ukilinganisha na njia zingine za kutuma ujumbe.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Gharama za kurekodi ujumbe: Tsh 25 kwa kila ujumbe.
-Gharama ya kusikiliza ujumbe:
-Kusikiliza mara ya kwanza:Bure
-Kusikiliza mara ya pili: Tsh 25 kila ujumbe.

UNGANA NASI KUPITIA:
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email:
Vas@Halotel.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-7-19_17-35-50.png

Pata Mwezi Mmoja Buree Kwa Kusajili Huduma Ya MCA Na Utapokea Jumbe Za Simu Ulizokosa Pindi Simu Imezima Au Haina Mtandao.
Gharama Ya Kusajili Baada Ya Promosheni Ni: 400/Mwezi.


UTANGULIZI
MCA ni huduma inayo muwezesha mteja wa HALOTEL kupokea jumbe za simu alizokosa pindi simu ikiwa imezima au haina mtandao. Huduma hii husaidia wateja wa HALOTEL kuwa na mawasiliano muda wowote na mahali popote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kusajili huduma: Tuma ON kwenda 15579 au piga *15579*1#
-Kusitisha huduma: Tuma OFF kwenda 15579 au piga *15579*0#

GHARAMA ZA HUDUMA

-Pata mwezi mmoja buree kujisajili kwenye huduma na utapokea jumbe ya simu ulizokosa pindi simu imezima au haina mtandao.
-Gharama ya kusajili huduma baada ya promosheni ni: Tsh 150/Mwezi.

JOIN WITH US
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@Halotel.co.tz
-JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-7-20_17-9-17.png

Tuungane pamoja katika Ulimwengu Mpya wa Burudani katika huduma ya HALO REDIO!
-Piga 09 0122 0122 Ili Kujiunga Na Utapata Siku Moja BURE Ya Kutumia Huduma Hii
-Jiunge Na Klabu Ya HALO REDIO Kwa Burudani Mbalimbali
-Gharama Baada Ya Promosheni: Tsh 30/Siku


UTANGULIZI WA HUDUMA

HALO REDIO: Hii ni huduma ya kuvutia inayompa nafasi mteja wa HALOTEL kusikiliza redio mbalimbali duniani kote na kupata taarifa mbalimbali za habari burudani na michezo kutoka sehemu tofauti tofauti ulimwenguni kote, bila huitaji wa masafa ya FM/AM wala mawasiliano ya intaneti.

kupitia huduma hii mtumiaji ataweza kusikiliza miziki ya aina mbalimbali kama vile R&B, rock, pop, Rege na aina nyingine nyingi,pia kupata habari za matukio mbalimbali pia michezo duniani kote
Mtumiaji pia ataweza kuhifadhi chaneli anazozipendelea na kuzisikiliza tena baadae.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO REDIO
-You can subscribe to the service by:
-Njia ya IVR: Piga 09 0122 0122 ili kujiunga na huduma hii.
-Njia ya ujumbe mfupi: Tuma ON kwenda 09 0122 0122 kujiunga na huduma hii.
-Baada ya hapo piga 09 0122 0122 ili kutumia huduma.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi Cha Siku: Tsh 30/Siku
-Gharama Za Kupiga: Tsh 20/Dadika.

UNGANA NASI
-Facebook: VAS HALOTEL
-WhatsApp: 0627 942 367
-Email: Vas@HALOTEL.co.tz
-JamiiForums:
HALOTEL VAS
 
upload_2016-7-21_17-44-3.png

UTANGULIZI WA HUDUMA
Halo Win ni huduma mpya na yakuvutia kutoka halotel inayokupa nafasi nyingi za kujishindia zawadi mbalimbali zikiwemo za siku, wiki na Mwezi
Wateja wote wa Halotel wanaweza kujiunga na huduma hii, alafu wanatakiwa kuongeza salio kwenye akaunti zao za simu badaa ya hapo watapokea namba ya bahati na kutakiwa kupiga namba ya huduma na uingiza namba hiyo ya bahati au kuituma kwa njia ya ujumbe mfupi kwenye namba hiyo ya huduma.
Mfumo utachezesha droo na kuchagua washindi.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA YA HALO WIN
-Unaweza kujiunga na huduma kwa njia zifuatazo
-Njia ya IVR: Piga 09 0122 0004 ili kujiunga na huduma hii, alafu utatakiwa kuongeza salio kwenye akaunti yako ya simu, baada ya hapo utapokea namba ya bahati na utatakiwa kupiga namba ya huduma ambayo ni 09 0122 004 na kuingiza namba ya bahati uliyotumiwa.
-Njia ya ujumbe mfupi: Tuma ON kwenda 09 0122 004 kujiunga na huduma hii. alafu tuma namba yako ya bahati utakayopokea baada ya kujiunga au kuongeza salio kwenye akaunti yako kwenda kwenye namba 09 0122 004.

GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi Cha Siku: Tsh 50/Siku
-Gharama Za Kupiga: Tsh 20/Dakika.

UNGANA NASI
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@HALOTEL.co.tz
JamiiForums: HALOTEL VAS
 
upload_2016-7-22_15-0-51.png

SIMBanking inapatikana kwa watumiaji wa HALOTEL!
UTAMBULISHO WA HUDUMA

Ni huduma ya kibenki inayokuruhusu kufanya aina yoyote ya miamala kwa kupitia simu yako ya mkononi

NAMBA YA HUDUMA
*150*03#

SIFA ZA HUDUMA
-Hamisha pesa kwenda akaunti yoyote ndani ya CRDB Benki.
-Hamisho la pesa kwenda huduma za simu-pesa
-Malipo ya bili (Brela, TRA, Luku, Dawasco/Moruwasa, Startimes, SUA n.k)
-Manunuzi ya muda wa maongezi kwako binafsi au mwingine
-Kuweza kutuma pesa kwa watu wasio na akaunti za benki au wasio na ATM kadi
-Kuangalia salio
-Kupata taarifa za miamala ya kibenki kutoka kwenye akaunti yako
-Kupata taarifa kwa watumiaji wa kadi za Tembo card, Visa, Master card
-Huwezesha usajili binafsi
-Kubadili namba ya siri.
-Inakupa nafasi ya kuchagua lugha, kiswahili au kiingereza.

FAIDA ZA HUDUMA
-Inakuwezesha kutumia akaunti yako ya benki mahali popote , muda wowote
-Inakuwezesha kutuma pesa kwa wapendwa wako bila usumbufu
-Inakuwezesha kulipa bili kwa wakati wako
-Inakuwezesha kufanya malipo kwa washiriki wako wa kibiashara muda wowote
-Inakuwezesha kuepuka usumbufu wa kutembelea benki kila muda
-Inaongeza matumiza ya simu

NAMNA YA KUWEZA KUTUMIA HUDUMA

-Inakupasa kuwa na akaunti hai ya CRDB benki, au kufungua akaunti MPYA kwenye benki ya CRDB. Unaweza kuwa na akaunti ya akiba au hundi
-Wateja wote wa CRDB wataweza kutumia huduma bila kujali aina za simu au mtandao wanaotumia
-Usajili ni rahisi na haraka. Kuanza kutumia huduma ya SimBanking, unahitajika kusajili kwenye tawi lolote la CRDB.

HUDUMA NI HUSUSANI KWA

Huduma ni mahususi kwa wateja wote wa CRBD Benki na HALOTEL.

JIUNGE NASI
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email: Vas@HALOTEL.co.tz
JamiiForums:
HALOTEL VAS
 

Attachments

  • upload_2016-7-22_15-0-17.png
    upload_2016-7-22_15-0-17.png
    15.2 KB · Views: 137
View attachment 358630
Pata Mwezi Mmoja Buree Kwa Kusajili Huduma Ya MCA Na Utapokea Jumbe Za Simu Ulizokosa Pindi Simu Imezima Au Haina Mtandao.
-Gharama Ya Kusajili Baada Ya Promosheni Ni: 400/Mwezi.


UTANGULIZI
MCA
ni huduma inayo muwezesha mteja wa HALOTEL kupokea jumbe za simu alizokosa pindi simu ikiwa imezima au haina mtandao. Huduma hii husaidia wateja wa HALOTEL kuwa na mawasiliano muda wowote na mahali popote.

JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Kusajili huduma: Tuma ON kwenda 15579 au piga *15579*1#
-Kusitisha huduma: Tuma OFF kwenda 15579 au piga *15579*0#

GHARAMA ZA HUDUMA
-Pata mwezi mmoja buree kujisajili kwenye huduma na utapokea jumbe ya simu ulizokosa pindi simu imezima au haina mtandao.
-Gharama ya kusajili huduma baada ya promosheni ni: Tsh 400/Mwezi.

JOIN WITH US
Facebook: VAS HALOTEL
WhatsApp: 0627 942 367
Email:
Vas@Halotel.co.tz
Tunaomba mpunguze hiyo tozo tafadhali, at least iwe nusu yake! Mtatupata wengi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom