Huduma bora ya masaji & escort jijini Dar es salaam

Huduma bora ya masaji & escort jijini Dar es salaam

Lazma niijaribu hii huduma ya kusindikizwa( escort ) maana mimi nimwoga sana nyakati za usiku nikitoka bar....lol
 
Aliyeongelea Serikali mbili ni Pengo kwanini nihusishe viongozi wengine wa dini? Na wapi nilipomshambulia Pengo? wewe fataani mkubwa sana.

Faiza kwenye mambo ya starehe unaleta habari za dini,pengo,ukimwi, serikali mbili sijui tatu. who cares? Nyie ndio hampewi invitation kwenye parties halafu mnalalamika mnatengwa.
 
Daah waschana wazuri lakini ndo hivoo wamekosa ajira na hapo ndo wanaona wanatoka mwisho wa mwezi wanalipwa, je wana tabia nzuri, kuna wengine watawaangalia waschana hawa kama kwa nini asikae home atulie. Hope ukimuuliza mmoja mmoja hapoo kila mtu anastory yake na hapo anaiheshimu hiyo kazi maana ndo inamuweka mjini na kumkutanisha na watu wenye P.O.BOX zao kama anavosemaga lara 1.
Ukiondoa hizo sop sop walizopigwa na make up na nguo wakiwa wamepigwa na jua mtaani utawaona kama house girls ila huyu mwenye hii kampuni kawatengeneza, kawapika kawaremba na wako tayari kumuingizia hela. Ninachokiona hapo mimi kama mama au dada yao ni wasichana wenyewe wajitambue kuwa wako kazini kama walivo wafanyakazi wengine. Wasichanganye kutoa customer service na kutimiza hisia za kimapenzi za wateja wao baada ya huduma. Yaani kazi yao ingekuwa na limits kuwa niko kazini nakuhudumia kwa massage, nitakupa escort tutazunguka wote mjini unavotaka kwenye party zako ila tuu sitalalana wewe kitandani wala kuwa mpenz wako basi. Masaa ya kazi yakiisha mschana anarudi home kesho tena kazini hapo hata hizo massage parlour nyingine zitaheshimika ila jinsi sasa ya waschana kujitambua na kutofautisha kuridhisha mteja kwa maana ya mipaka ya customer care na kuhimili mikiki au mihemko baad ya massage.
Ngumu kumesa tamu kutema.

darescort.jpg


eeee bwana eee haya ndo maendeleo ya kileo leo
 
Faiza kwenye mambo ya starehe unaleta habari za dini,pengo,ukimwi, serikali mbili sijui tatu. who cares? Nyie ndio hampewi invitation kwenye parties halafu mnalalamika mnatengwa.

Party? party nikafanye nini? ungeona mialiko niliyokuwa nayo na siendi ungelia machozi mpenda vya bure.
 
Escort ya namna gani? Nina let say 500,000,000/-. Nataka kuzitoa ubungo to kariakoo. Je nije kwenu for escort?
 
Mh. I'm out of time? Massage I know and I used to, But what a hell Escort means? If you could mention Baunsa it will get in, but Escot!!!!!!!!!!!! I'm sorry.
 
Njia ya kwenda motoni ni tamu sana na inavutia! Tutapona kweli??
 
Party? party nikafanye nini? ungeona mialiko niliyokuwa nayo na siendi ungelia machozi mpenda vya bure.

Labda mialiko ya kitchen party na khanga party bila shaka lakini mialiko ya vijana hata getini ungefukuzwa.
 
Kama crew yako ya ulinzi wote mnajipaka majivu meupe Kama huyo dogo kwenye picha basi bila shaka mta m escort na ungo tu


Huyu mtoto ni hatari kuliko unavyofikiria .... try me uone.
 
Mmechezea sharubu za babu masaji na miksa skrabu,hasi mara chanya .......
 
Labda mialiko ya kitchen party na khanga party bila shaka lakini mialiko ya vijana hata getini ungefukuzwa.

Nani anaetaka mialiko ya vijana? upuuzi mtupu. Unazijuwa party wewe? naona unahororoja hovyo tu.
 
sina hakika sana kama hapa ni mahali pake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom