ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
Escort ya kwenda wapi kwasisi wa humu humu jijini?
ingependeza kama ungesema viongozi wetu wa dini badala ya kumshambulia mtumishi wa Mungu huyu bila sababu ya msingi
Pia kwa kufanya hivyo ungekuwa umesaidia kuondoa fikra potofu za udini ambazo mala nyingi huibuka mala kwa mala hasa tunapokuwa tunajadili mambo ya msingi kama haya
Ni ushauri tu
we mama kalale mambo haya tuachie vijana
Mbona hakuna Wanaume wakutufanyia massage sie vibinti?Mtoa tangazo umetubagua.
Mbona hakuna Wanaume wakutufanyia massage sie vibinti?Mtoa tangazo umetubagua.
Nashangazwa na watu kama Pengowanaongelea tuwe na Serikali mbili lakini mambo kama haya wanayafumbia macho.
Serikali haina dini.
Aliyeongelea Serikali mbili ni Pengo kwanini nihusishe viongozi wengine wa dini? Na wapi nilipomshambulia Pengo? wewe fataani mkubwa sana.