bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,175
- 3,275
madomo zege wamepona
Mkuu ni heri nifate hii huduma kuliko nikapambane na wadada wamujini wanaochuna hadi nywele na mapenz hawana....
madomo zege wamepona
Laana zitaiandama hii nchi. Kwa nn serikali inafumbia macho upuuzi huo ambao sasa unatangazwa hadharani?
Okay tuseme huyu mdau anatoa offer ya kupeleka experts kutoa massage au wale watu wapweke, wasio na company kuwapa company utaona kwamba Ukahaba is not part of that service, ingawa wanaweza wakakubaliana kufanya extra baina yao wawili na vilevile yule mtoa huduma halazimishwi kukubali.
What I mean the contract / makubaliano ni ya massage na escort tu..., hayo mengine yakifanyika ni kwa makubaliano mengine
Watu wanatuzuga hapa halafu ndo wa kwanza kupiga simu.
we mama kalale mambo haya tuachie vijanaNashangazwa na watu kama Pengo wanaongelea tuwe na Serikali mbili lakini mambo kama haya wanayafumbia macho.
Serikali haina dini.
bora wewe umekuwa mkwel
Nashangazwa na watu kama Pengo wanaongelea tuwe na Serikali mbili lakini mambo kama haya wanayafumbia macho.
Serikali haina dini.
ajira millioni moja
Watu wanatuzuga hapa halafu ndo wa kwanza kupiga simu.
Hivi umesoma nilichokiandika au ? na Je unajua mleta Uzi kaleta information kuhusu nini?Umewahi kutongoza???!!!
Siku ya kwanza tu ulisema wazi kuwa unataka kufanya mapenzi na muhusika na hutamuoa???!!!!
Contract my foot!!!!
![]()
eeee bwana eee haya ndo maendeleo ya kileo leo