mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Ni hivi majuzi nilimpeleka rafiki yangu wa kike hospital ambaye alikuwa na upungufu mkubwa wa damu.Kwa kuwa kabla ya hapo alikuwa tayari amepewa dawa za kuongeza damu,siku hiyo nilimpeleka purposely kumfanya check up ili kuona maendeleo yakoje.Kama ilivyo ada nilimwacha rafiki yangu akaingia consultation room,ambapo kulikuwa na daktari wa kiume.Kumbuka rafiki yangu huyu anatibiwa kwa kadi ambayo ni bima ya afya ya serikali.Cha kushangaza baada ya kutoka humo ndani na baada ya kuchukua vipimo vya haja ndogo,daktari alimwambia haoni kitu,na binti alivyotaka ufafanuzi kutoka kwa daktari,daktari akamwambia kama anataka kujua zaidi aende darasani,huku akionesha mwenye hasira na hali ya kutojiamini kw kile anachokisema.Sijui wana JF but I think we are softly dying!!!!!!!!!!!!