Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 114
- 186
Habari Wadau, niende kwenye mada. Hii imemtokea rafiki yangu amabae ana girlfriend wake wamekaa muda mrefu mdogo.
Katika harakati za kutafuta maisha rafik yangu alipata kazi akapangiwa mkoani, aliondoka na kumuacha girl pekeyake jijini Dar na mawasiliano yalikuwepo kama kawaidaa. Ingwa jamaa siku moja moja alikuwa anapata nafasi ya kwenda Dar wanaonana na kuwa na good time kidogo then mchizi anarudi zake kibaruani.
Ingawa sio mara kwa mara ila inatokea may be after two months au three inategemea. Hivi juzi girl alimwambia jamaa kuwa ana mimba yake na anaogopa sana nyumbani kwao endapo watajuaa italeta shida, mwanamke ni miaka 28, na alimpa condition kuwa afanye juu chini before two month aende akajitambulishe afuate process za kumchumbia la sivyo atatoa ujauzito asipo fanya hivyo.
Rafiki yangu ndio kwanza mgeni kwenye ajira, isitoshe bado hakuwa amejipangaa. Alimbembeleza mwanamke kuwa amekubalii ataenda kujitambulisha soon ila ampe muda kidogo aweke mambo sawa na alikuwa ameshaanza kuhudumia mimba.
Baada ya kupita siku kadhaa mwanamke akawa analalamika tumbo linauma na damu zinatoka kidogo. Alimwambia hivo jamaa kama siku mbili tatu hivi, then next day akasema anaenda hospital.
Baada ya masaa kadhaa kupita mwanamke alikuja kumwambia mshikaji kuwa mimba imeharibika na ametoa, na rafiki yangu ameomba uthibitisho wa daktari na vipimo vya X-Ray or Ultrasound hakuna, na akimuukiza kwanini umetoa pasipo kumwambia mwanamke hana cha kujibu anaomba tu msamaha yaishe.
So jamaa yangu yupo njia panda amsamehe au aachane nae... Ushauri wenu
Katika harakati za kutafuta maisha rafik yangu alipata kazi akapangiwa mkoani, aliondoka na kumuacha girl pekeyake jijini Dar na mawasiliano yalikuwepo kama kawaidaa. Ingwa jamaa siku moja moja alikuwa anapata nafasi ya kwenda Dar wanaonana na kuwa na good time kidogo then mchizi anarudi zake kibaruani.
Ingawa sio mara kwa mara ila inatokea may be after two months au three inategemea. Hivi juzi girl alimwambia jamaa kuwa ana mimba yake na anaogopa sana nyumbani kwao endapo watajuaa italeta shida, mwanamke ni miaka 28, na alimpa condition kuwa afanye juu chini before two month aende akajitambulishe afuate process za kumchumbia la sivyo atatoa ujauzito asipo fanya hivyo.
Rafiki yangu ndio kwanza mgeni kwenye ajira, isitoshe bado hakuwa amejipangaa. Alimbembeleza mwanamke kuwa amekubalii ataenda kujitambulisha soon ila ampe muda kidogo aweke mambo sawa na alikuwa ameshaanza kuhudumia mimba.
Baada ya kupita siku kadhaa mwanamke akawa analalamika tumbo linauma na damu zinatoka kidogo. Alimwambia hivo jamaa kama siku mbili tatu hivi, then next day akasema anaenda hospital.
Baada ya masaa kadhaa kupita mwanamke alikuja kumwambia mshikaji kuwa mimba imeharibika na ametoa, na rafiki yangu ameomba uthibitisho wa daktari na vipimo vya X-Ray or Ultrasound hakuna, na akimuukiza kwanini umetoa pasipo kumwambia mwanamke hana cha kujibu anaomba tu msamaha yaishe.
So jamaa yangu yupo njia panda amsamehe au aachane nae... Ushauri wenu