Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,473
- 46,287
Wewe wasemaKwahiyo ulitaka wachina wote watumie huawei tu au vp sijakuelewa?
Wewe wasemaKwahiyo ulitaka wachina wote watumie huawei tu au vp sijakuelewa?
Sijasema bali nimeuliza maana unashangaa mchina kutumia iphone ndio nauliza ulitaka wachina wote watumie huawei?Wewe wasema
Itakua wanaogopa kudukuliwa na serikali ya kikomunisti,siunajua kule vitanzi nje njeTeh teh teh hilo nimeliona kwa Wachina wengi wawekazaji wakubwa hapa Bongo karibu wote ninaowafahamu wanatumia iPhone na Mimi siwakopeshagi nawaulizaga inakuwaje mnatumia iPhone wakati nyie mna makampuni yenu makubwa ya simu kama Huawei na wakina Oppo wanaishia kucheka tuu bila kutoa majibu.
Na usipofanya nao biashara ndo hutoboi kabisa yani hahaaa, waseee.nge wana roho mbaya wale.Hata kama hawata pata hasara lazima waseme hivyo ili kuwaweka wana nchi wao na makampuni mengine ya nchini nyingine ili wawe macho na bidhaa za marekani kuwa ipo siku ukifanya nao biashara utapata hasara kubwa!
Hili jambo ni la vita!
Kwani uongo?Mnatoa wapi haya Matango PORI ?
Kinachofuata kwa China ni maamuzi mawili tu na wanapaswa kuchagua moja.Walijisahau wakapata kibri sasa inakula kwao hata uchumi umetetereka kidogo. Ngoja tuone nini wataamua ili kuondoa hivi vikwazo vya kiuchumi kati ya nchi hizi mbili.
Upotshaji gani sasa hapo mkuu?acha upotoshaji
Bora umemwambia ukweli.....wale jamaa ni super power kwa miaka zaidi ya 150, ni ngumu sana kupambana nao zaidi uwachome utambi wapigane wenyewe kwa wenyewe.Acha porojo wewe, aliyekuzidi kakuzidi tu!
Historia ya marekani ni tata sana na sioni taifa litakalotia mguu pale hata karne ya 40!!
Amekuongopea nani jamaa hawakufanya biashara za watumwa?....au kwako wewe mtumwa lazima awe mtu mweusi sio?nachijua ni kuwa WEATUMWA WA KIAFRICA HUKO ULAYA NA AMERICA ndio unaona huo ni undugu.
Huko ASIA hakuna weusi kwa sababu hawajawahi kushiriki BIASHARA YA UTUMWA na hawana hata huo muda.
Ukitaka kujua china ni nani jifunze kuhusu TAZARA. hapo hakika utajua kuwa china ndiuo ndugu yako wa kweli.
Huyo mrusi toka kaporwa alaska kwa mikataba ya ujanja ujanja mpaka Leo kabaki na Maumivu yake!Bora umemwambia ukweli.....wale jamaa ni super power kwa miaka zaidi ya 150, ni ngumu sana kupambana nao zaidi uwachome utambi wapigane wenyewe kwa wenyewe.
Hahaaa yaani ukisoma historia namna gani Urusi ilikuwa na nguvu lakini ikasambaratishwa huwezi shabikia upande wowote unaopingana na USA mana you will only be a loser.Huyo mrusi toka kaporwa alaska kwa mikataba ya ujanja ujanja mpaka Leo kabaki na Maumivu yake!
Na hakuna shirika la kijasusi linaloeneza propaganda kama CIA na ni ngumu sana kuwatambua wanajitokezaga feki tu tena kwa kupangwa na hao hao!
Huo ndio ukweli.Huawei ina mahusiano ya moja kwa moja na Serikali ya China,hata kama wanaficha ila huu ni ukweli,Na hii ndo sababu kubwa kupigwa Ban sehem nyingi duniani.
Kampuni inayotengeneza iphone ni foxconn, kampuni ya kichina imeajiri maelfu ya wachina na inalipa mamilioni ya kodiNa kampuni ya kichina sio
Unamaanisha nini unaposema "kutengeneza".Kampuni inayotengeneza iphone ni foxconn, kampuni ya kichina imeajiri maelfu ya wachina na inalipa mamilioni ya kodi
Teh teh teh foxconn ni ya kichina sio Taiwan sio? By the way kinachoangaliwa technology na parent right ni ya nani sio inapotengenezwa.Kampuni inayotengeneza iphone ni foxconn, kampuni ya kichina imeajiri maelfu ya wachina na inalipa mamilioni ya kodi
Jana kwenye kipindi cha agenda 2020 star tv mzee mkinga alielezea kuhusu wachina na ujenzi wa reli ya TAZARA.nachijua ni kuwa WEATUMWA WA KIAFRICA HUKO ULAYA NA AMERICA ndio unaona huo ni undugu.
Huko ASIA hakuna weusi kwa sababu hawajawahi kushiriki BIASHARA YA UTUMWA na hawana hata huo muda.
Ukitaka kujua china ni nani jifunze kuhusu TAZARA. hapo hakika utajua kuwa china ndiuo ndugu yako wa kweli.
Hata wangekuwa wanabadili rais kila mwezi bado isingefanya kila mchina kuupata urais,sasa hata mtu mmoja akiwa rais milele hakuna tofauti.Kinachofuata kwa China ni maamuzi mawili tu na wanapaswa kuchagua moja.
Kukubaliana na masharti ya biashara na mahusiano ya USA.
Kufataa mkondo wake na sera zaka za kikomunisti ili afirisike kabisa.
Binafsi nililiona tatizo la wachina walipopitisha sheria kumruhusu Rais wao aendelee kukaa madarakani bila kikomo, wakijua wazi kabisa huko ni kukandamiza demokrasia na ukifanya hivyo basi huwezi kaa meza moja ya majadiliano na maelewana na USA zaidi ya kuwa adui kwake.
Huyo mrusi toka kaporwa alaska kwa mikataba ya ujanja ujanja mpaka Leo kabaki na Maumivu yake!
Na hakuna shirika la kijasusi linaloeneza propaganda kama CIA na ni ngumu sana kuwatambua wanajitokezaga feki tu tena kwa kupangwa na hao hao!