Huawei yatabiri kupata hasara ya dola bilioni 30

Huawei yatabiri kupata hasara ya dola bilioni 30

Tuzidi kuwaombea ndugu zetu wa Marekani.
Taifa lenye Waafrika wengi kuliko nchi nyingi za bara la Afrika.

Mafanikio ya Amerika ni mafanikio ya Afrika.

Tunategemea miaka mia moja ijayo Amerika itakua ni bara la watu weusi.

China akiihujumu Marekani ni kama kulihujumu bara lote la Afrika.

Wachina wamejazana Afrika kwa hisani ya watawala madikteta na vyama vyao.


Kaza sana Trump babaaaaa mpaka wanyoooke hao watu wa mashariki ya mbali mana hatuna faida nao mana hatuna ndugu zetu huko zaidi ya wanasiasa wanakwenda huko kujipendekeza kwa watu wenye roho mbaya wenzao.
Kaka huu unaouleta ni ushirikina dhwahiri.
Kwa kumsapoti Marekani ilhali kaziharibu nchi nyingi hapa Africa na kwingineko au wamekujaza kasumba mzee!?
Watu wanakufa kwa ebola na. HIV chanzo yeye then unasema maendeleo yao ni maendeleo yetu?!
Trump katuita Africa shit hole bado wamsapoti?!
America wameiteketeza Libya ambayo ilikua nchi ya Future of Africa development kwa kutaka waanzishe bank ya Africa yenye mikopo na isiyo na riba kwa ulafi wao wa mafuta still u ar supporting America?!
Watu weusi wanauliwa bila hatta makosa tena na vyombo vya usalama vya USA still u ar supporting USA, are you sane or insane my father?!
 
Kaka huu unaouleta ni ushirikina dhwahiri.
Kwa kumsapoti Marekani ilhali kaziharibu nchi nyingi hapa Africa na kwingineko au wamekujaza kasumba mzee!?
Watu wanakufa kwa ebola na. HIV chanzo yeye then unasema maendeleo yao ni maendeleo yetu?!
Trump katuita Africa shit hole bado wamsapoti?!
America wameiteketeza Libya ambayo ilikua nchi ya Future of Africa development kwa kutaka waanzishe bank ya Africa yenye mikopo na isiyo na riba kwa ulafi wao wa mafuta still u ar supporting America?!
Watu weusi wanauliwa bila hatta makosa tena na vyombo vya usalama vya USA still u ar supporting USA, are you sane or insane my father?!
Yes Afrika tunastahili kabisa kuitwa shit hole Country kwa sababu tumeshindwa kujiwekea sheria za kujitawala wenyewe badala ya kuwategemea Waarabu ,wazungu na Wachina sasa ndio wamekua miungu wa watawala.
Watawala wa Afrika wamebaki na Wachina wasio na demokrasia na wanachi wanaamua kuwa upande wa Magaharibi.
Hapo unategema nini kama sio kuua watu wao kwa sababu za madaraka.?
Wakati watawala walitakiwa waweke Katiba bora zinazowafanya watu wenye AKILI kubwa wapate uongozi kuanzia ngazi za Chini kabisa.
Huoni kukosekana kwa demokrasia kunawafanya watu wasio na akili na maarifa kutawala kila sehemu kwa sababu tu ya kuungana mikono kisiasa badala ya ubunifu na weledi?

Hivi inaingia akilini Prof. Badala ya kutumia Taarifa za Tafiti kuleta maendeleo yeye anaongozwa na njaa na ushabiki wa kivyama?

Nchi yenya utajiri mkubwa kama Kongo wanaamua tu kugombania madaraka na kuua Demokrasia ambayo ingewapa fursa ya kuwapata viongozi bora kwa kutegemea kuwa watapata misaada toka Libya ,China ,Marekani, Ufaransa n.k. ?
Kwa nini wasiweke Katiba imara inayombana Mtu yeyote kuvunja sheria ?

Mfano hapa kwetu kwa Muda mrefu tume ya uchaguzi yenye majaji wengine imekia ilibariki uvunjwaji wa Sheria za Uchaguzi kwa wazi lakini hakuna anayefungwa kwa kuhatarisha amani ya nchi wakati wa Uchaguzi.
Watu wanalinda Chama kuliko amani ya nchi na kusahau kuwa wanachama wa Chama A ni watu kama wa walivyo wa Chama B. Ukianza kuvunja sheria na kuwaumiza wa Chama B unaleta chuki bila sababu.

Kana mshindi anapatikana kwa kura nyingi za haki na uwazi kwa nini atangazwe asiyestahili ?
Hili nalo linawahusu Wamarekani au ni uhayawani tu wa Waafrika na kustahili kuitwa Shit hole Country?

Serikali dunia nzima zinatakiwa zikusanye kodi lakini zinatakiwa ziweke mazingira mazuri ya Kibiashara kwa kujenga Fursa zionekane wazi.

Unafika Kariakoo unakuata wafanyabiashara wameruhusiwa kuvunja sheria za miji kisiasa tu na kupanga bidhaa zao barabarani kila kona Halafu Mteja akija na gari akapaki ka IST kake alikohongwa anakamatwa na kupigwa faini na maminyororo ya kitumwa juu.Wakati hakuna Parking halafu wanasema Trump amekosea!


Viongozi wanatumia mifumo ya kimagaharibi kuanzia kwenye Ulinzi, Mabenki na riba, kodi Propaganda za kisiasa ,utawala,viongozi kumiliki Mali nyingi binafsi tena mbaya kabisa wanazipata kupitia madaraka, Viongozi wa Afrika wanatumia katiba Kandamizi , Wanatumia nguvu kubwa hata kwenye mambo yasiyo na tija kwa nchi , Tunapoteza risasa na mabomu na mafuta ya Majeshi yetu kwa kuzuia mikutano hata ya ndani badala ya kukaa na wadau na kuweka sheria nzuri itakayomfanya kila mtu aipende nchi yake na kuona ni sehemu ya jamii na akiiharibu anajiona kabisa anajiharibia mwenyewe.
Leo hii hakuna elimu ya Demokrasia kwa wananchi wakati kuana Uchaguzi wa Kikatiba mbele. Watu hawafundishwi tena kuvumiliana Bali kuwashughulikia wale wanaowapinga halafu unamlaumu Trump. Watawala wanajenga chuki halafu wanapoona wananchi wameshiba visasi na kujibu mapigo ili kujihami wanatumia majeshi kuua watu wao na ndugu zao na kuilaumu Marekani.

Viongozi wa Afrika kama akina Kibudu wamesomea America na nchi nyingine za Ulaya ,wamefanya Tafiti nyingi kwa misaada ya nchi za magharibi, vichwa vyao vimejazwa na elimu na mifumo ya kimagharibi, wanatamani wao peke yao na Familia zao waishi kama wazungu.
Wanapenda uzungu, Watoto wao na wake zao wanaishi kizungu/ kiarabu Wanazungukwa na Mabunduki ya kuua na kuwatisha wanachi wao, wanatumia vigezo vya kimagharibi kuwaambia wananchi kuwa nchi zao zimeendelea huku wananchi wao wakiwa wanakunywa maji machafu na mifugo yao.
Viongozi wa Afrika wanatumia vibaya rasilimali walizozikuta huko ardhini zilizotolewa Bure na Mwenyezi Mungu kwa kuwapora wananchi wao na kuwaacha maskini ( mtu anazaliwa kwenye ardhi yenye madini halafu anafukuzwa na kuambiwa kuwa ni Mali ya Rais badala ya kupewa kahisa hata ka 0.000001% ili afaidi rasilimali iliyopatikana kwenye shamba alilorithishwa na mababu kabla ya mkoloni na mifumo yake kuja Afrika.

Viaongozi wa Afrika akiwemo huyo Ghadhaff aliyeuawa na Wananchi wake mwenyewe wanatumia Katiba na sheria za Wakoloni kuwaumiza wananchi wao wenyewe halafu wanasema wakoloni ni wabaya lakini wanatumia mbinu zao kujinufaisha wenyewe na marafiki zao huku kundi kubwa la wananchi wakiumia kama watumwa wao.
Viongozi wanageuka kuwa wakoloni na wanachi kuwa watumwa kwenye nchi moja wakati wote ni binadamu waliotoka kwenye ardhi moja na familia tu ya baba na mama kama wengine.

Hapa kwetu Kuna mmoja wa madaraka alisikika akisema kuwa yeye sio sawa na watu wengine japo wamelinagana umri lakini amewazidi sana na hats wakubwa wao wanajua.
Mwingine anasema nitawapiga ngumu muonje ngumi ya Mwanamke.
Mwingine tutawaua wale wanaompinga mkubwa wa Taifa as if wao hawawezi kuuawa na hao hao wanaowatisha( mana binadamu wote wanakufa) .

Waafrika weusi wanadanganywa viongozi wao kuwa matatizo ya Libya yameletwa na Marekani. Kwa hawasemi ukweli kuwa wananchi wa Libya waliamua wenyewe kuchukua nchi yao iliyotekwa na watawala wachache na familia zao na marafiki zao ?

Kuuawa kwa Ghadhaff lilikua ni jambo la kuwakumbusha wanadamu kuwa kila mtu atakufa na anaweza kuuawa kama atajiona kuwa yeye ni mungu. Mungu pekee ndiye anayeishi milele na analolitaka linakua.
Viongozi wengi wa Afrika wana historia ya kutawala kwa kuua sana wananchi wao ili wajenge mifumo wanayoiamini wao hata kama haina manufaa kwa wananchi wao.
Hali inayotengeneza makovu ya visasi. Watawala wanapokua madarakani wanasahau kabisa machungu wanayoyapata wanadamu wenzao kwa ndugu zao kuuliwa bila hatia yoyote zaidi ya kutoa mawazo yao kama wao.

Hivi Wale wapigania tumbo wanaosema kuwa Ghadhaff alitaka kutoa mikopo isiyo na Riba kwa nchi za kiafrika ili tupate maendeleo wanashindwa vipi wao kujenga mifumo ya kibenki ya kiafrika na kizalendo itakayoanza kutoa mikopo isiyo na riba kwa wananchi wao? Hivi anayeweka mifumo ya Riba kubwa kwenye mabenki yetu ni Marekani?

Kwa nini mtu awaze kugawa milioni 50 kila kijiji na Lap top kwa walimu zaidi ya Laki mbili nchi nzima ili tu apendwe na kupewa madaraka badala ya kuwaza kufuta Riba kwenye Mabenki ambayo ni hata kiafrika ni haram na kidini pia. Je, hili la kufuta riba kwenye mabenki haliwezekani bila Ghadhaff lakini kugawa pesa na magari barabarani linawezekana??
Kwa nini Watawala wanawaza tu madaraka yao badala ya Taifa na unafuu wa Maisha kwa wananchi wote ?

Uasi siku zote unatokana na kukosekana kwa haki na usawa.
Unakuta nchi ni moja lakini kuna watu ni miungu watu hawaguswi na sheria kisa wanatumia risasi kuwanyamazisha wengine wanaotaka kufikia maono yao kisiasa.

Hivi tulitaka Marekani wakae Kimya waangalie tu Ghadhaff na wanyama wenzake wakiua watu wote kwa mabomu na risasi kwa sababu tu ya upinzani wa kisiasa ??
Hivi huoni kuwa huo ndio ushetani mkubwa kabisa ?
Mungu angekua anawaua wale wote wanaofanya kinyume na maagizo yake leo dunia ingebaki na mtu?


Kwa nini Viongozi wa Kiafrika wasiweke Mifumo ya kiafrika iliyo bora kabisa wakianzia na Elimu, maadili na Katiba yenye misingi bora ya kiafrika ambayo itawanufaisha waafrika wenyewe bila kujilinganisha kwanza na wazungu na Wachina?

Waasisi wengi wa Mataifa ya Afrika walileta Uhuru baada ya kupandisha bendera mpya wakaanzisha ukoloni mpya na m'baya zaidi na ndio unaolitafuna bara la Afrika mana struggling ya kutafuta Uhuru wa kweli haitaisha maadam binadamu wenye kufikiri sawasawa wapo wengi na wanazidi kuzaliwa.
 
Yes Afrika tunastahili kabisa kuitwa shit hole Country kwa sababu tumeshindwa kujiwekea sheria za kujitawala wenyewe badala ya kuwategemea Waarabu ,wazungu na Wachina sasa ndio wamekua miungu wa watawala.
Watawala wa Afrika wamebaki na Wachina wasio na demokrasia na wanachi wanaamua kuwa upande wa Magaharibi.
Hapo unategema nini kama sio kuua watu wao kwa sababu za madaraka.?
Wakati watawala walitakiwa waweke Katiba bora zinazowafanya watu wenye AKILI kubwa wapate uongozi kuanzia ngazi za Chini kabisa.
Huoni kukosekana kwa demokrasia kunawafanya watu wasio na akili na maarifa kutawala kila sehemu kwa sababu tu ya kuungana mikono kisiasa badala ya ubunifu na weledi?

Hivi inaingia akilini Prof. Badala ya kutumia Taarifa za Tafiti kuleta maendeleo yeye anaongozwa na njaa na ushabiki wa kivyama?

Nchi yenya utajiri mkubwa kama Kongo wanaamua tu kugombania madaraka na kuua Demokrasia ambayo ingewapa fursa ya kuwapata viongozi bora kwa kutegemea kuwa watapata misaada toka Libya ,China ,Marekani, Ufaransa n.k. ?
Kwa nini wasiweke Katiba imara inayombana Mtu yeyote kuvunja sheria ?

Mfano hapa kwetu kwa Muda mrefu tume ya uchaguzi yenye majaji wengine imekia ilibariki uvunjwaji wa Sheria za Uchaguzi kwa wazi lakini hakuna anayefungwa kwa kuhatarisha amani ya nchi wakati wa Uchaguzi.
Watu wanalinda Chama kuliko amani ya nchi na kusahau kuwa wanachama wa Chama A ni watu kama wa walivyo wa Chama B. Ukianza kuvunja sheria na kuwaumiza wa Chama B unaleta chuki bila sababu.

Kana mshindi anapatikana kwa kura nyingi za haki na uwazi kwa nini atangazwe asiyestahili ?
Hili nalo linawahusu Wamarekani au ni uhayawani tu wa Waafrika na kustahili kuitwa Shit hole Country?

Serikali dunia nzima zinatakiwa zikusanye kodi lakini zinatakiwa ziweke mazingira mazuri ya Kibiashara kwa kujenga Fursa zionekane wazi.

Unafika Kariakoo unakuata wafanyabiashara wameruhusiwa kuvunja sheria za miji kisiasa tu na kupanga bidhaa zao barabarani kila kona Halafu Mteja akija na gari akapaki ka IST kake alikohongwa anakamatwa na kupigwa faini na maminyororo ya kitumwa juu.Wakati hakuna Parking halafu wanasema Trump amekosea!


Viongozi wanatumia mifumo ya kimagaharibi kuanzia kwenye Ulinzi, Mabenki na riba, kodi Propaganda za kisiasa ,utawala,viongozi kumiliki Mali nyingi binafsi tena mbaya kabisa wanazipata kupitia madaraka, Viongozi wa Afrika wanatumia katiba Kandamizi , Wanatumia nguvu kubwa hata kwenye mambo yasiyo na tija kwa nchi , Tunapoteza risasa na mabomu na mafuta ya Majeshi yetu kwa kuzuia mikutano hata ya ndani badala ya kukaa na wadau na kuweka sheria nzuri itakayomfanya kila mtu aipende nchi yake na kuona ni sehemu ya jamii na akiiharibu anajiona kabisa anajiharibia mwenyewe.
Leo hii hakuna elimu ya Demokrasia kwa wananchi wakati kuana Uchaguzi wa Kikatiba mbele. Watu hawafundishwi tena kuvumiliana Bali kuwashughulikia wale wanaowapinga halafu unamlaumu Trump. Watawala wanajenga chuki halafu wanapoona wananchi wameshiba visasi na kujibu mapigo ili kujihami wanatumia majeshi kuua watu wao na ndugu zao na kuilaumu Marekani.

Viongozi wa Afrika kama akina Kibudu wamesomea America na nchi nyingine za Ulaya ,wamefanya Tafiti nyingi kwa misaada ya nchi za magharibi, vichwa vyao vimejazwa na elimu na mifumo ya kimagharibi, wanatamani wao peke yao na Familia zao waishi kama wazungu.
Wanapenda uzungu, Watoto wao na wake zao wanaishi kizungu/ kiarabu Wanazungukwa na Mabunduki ya kuua na kuwatisha wanachi wao, wanatumia vigezo vya kimagharibi kuwaambia wananchi kuwa nchi zao zimeendelea huku wananchi wao wakiwa wanakunywa maji machafu na mifugo yao.
Viongozi wa Afrika wanatumia vibaya rasilimali walizozikuta huko ardhini zilizotolewa Bure na Mwenyezi Mungu kwa kuwapora wananchi wao na kuwaacha maskini ( mtu anazaliwa kwenye ardhi yenye madini halafu anafukuzwa na kuambiwa kuwa ni Mali ya Rais badala ya kupewa kahisa hata ka 0.000001% ili afaidi rasilimali iliyopatikana kwenye shamba alilorithishwa na mababu kabla ya mkoloni na mifumo yake kuja Afrika.

Viaongozi wa Afrika akiwemo huyo Ghadhaff aliyeuawa na Wananchi wake mwenyewe wanatumia Katiba na sheria za Wakoloni kuwaumiza wananchi wao wenyewe halafu wanasema wakoloni ni wabaya lakini wanatumia mbinu zao kujinufaisha wenyewe na marafiki zao huku kundi kubwa la wananchi wakiumia kama watumwa wao.
Viongozi wanageuka kuwa wakoloni na wanachi kuwa watumwa kwenye nchi moja wakati wote ni binadamu waliotoka kwenye ardhi moja na familia tu ya baba na mama kama wengine.

Hapa kwetu Kuna mmoja wa madaraka alisikika akisema kuwa yeye sio sawa na watu wengine japo wamelinagana umri lakini amewazidi sana na hats wakubwa wao wanajua.
Mwingine anasema nitawapiga ngumu muonje ngumi ya Mwanamke.
Mwingine tutawaua wale wanaompinga mkubwa wa Taifa as if wao hawawezi kuuawa na hao hao wanaowatisha( mana binadamu wote wanakufa) .

Waafrika weusi wanadanganywa viongozi wao kuwa matatizo ya Libya yameletwa na Marekani. Kwa hawasemi ukweli kuwa wananchi wa Libya waliamua wenyewe kuchukua nchi yao iliyotekwa na watawala wachache na familia zao na marafiki zao ?

Kuuawa kwa Ghadhaff lilikua ni jambo la kuwakumbusha wanadamu kuwa kila mtu atakufa na anaweza kuuawa kama atajiona kuwa yeye ni mungu. Mungu pekee ndiye anayeishi milele na analolitaka linakua.
Viongozi wengi wa Afrika wana historia ya kutawala kwa kuua sana wananchi wao ili wajenge mifumo wanayoiamini wao hata kama haina manufaa kwa wananchi wao.
Hali inayotengeneza makovu ya visasi. Watawala wanapokua madarakani wanasahau kabisa machungu wanayoyapata wanadamu wenzao kwa ndugu zao kuuliwa bila hatia yoyote zaidi ya kutoa mawazo yao kama wao.

Hivi Wale wapigania tumbo wanaosema kuwa Ghadhaff alitaka kutoa mikopo isiyo na Riba kwa nchi za kiafrika ili tupate maendeleo wanashindwa vipi wao kujenga mifumo ya kibenki ya kiafrika na kizalendo itakayoanza kutoa mikopo isiyo na riba kwa wananchi wao? Hivi anayeweka mifumo ya Riba kubwa kwenye mabenki yetu ni Marekani?

Kwa nini mtu awaze kugawa milioni 50 kila kijiji na Lap top kwa walimu zaidi ya Laki mbili nchi nzima ili tu apendwe na kupewa madaraka badala ya kuwaza kufuta Riba kwenye Mabenki ambayo ni hata kiafrika ni haram na kidini pia. Je, hili la kufuta riba kwenye mabenki haliwezekani bila Ghadhaff lakini kugawa pesa na magari barabarani linawezekana??
Kwa nini Watawala wanawaza tu madaraka yao badala ya Taifa na unafuu wa Maisha kwa wananchi wote ?

Uasi siku zote unatokana na kukosekana kwa haki na usawa.
Unakuta nchi ni moja lakini kuna watu ni miungu watu hawaguswi na sheria kisa wanatumia risasi kuwanyamazisha wengine wanaotaka kufikia maono yao kisiasa.

Hivi tulitaka Marekani wakae Kimya waangalie tu Ghadhaff na wanyama wenzake wakiua watu wote kwa mabomu na risasi kwa sababu tu ya upinzani wa kisiasa ??
Hivi huoni kuwa huo ndio ushetani mkubwa kabisa ?
Mungu angekua anawaua wale wote wanaofanya kinyume na maagizo yake leo dunia ingebaki na mtu?


Kwa nini Viongozi wa Kiafrika wasiweke Mifumo ya kiafrika iliyo bora kabisa wakianzia na Elimu, maadili na Katiba yenye misingi bora ya kiafrika ambayo itawanufaisha waafrika wenyewe bila kujilinganisha kwanza na wazungu na Wachina?

Waasisi wengi wa Mataifa ya Afrika walileta Uhuru baada ya kupandisha bendera mpya wakaanzisha ukoloni mpya na m'baya zaidi na ndio unaolitafuna bara la Afrika mana struggling ya kutafuta Uhuru wa kweli haitaisha maadam binadamu wenye kufikiri sawasawa wapo wengi na wanazidi kuzaliwa.
Hongera sana mkuu ukweli kama huu wanausemaga wachache kweny mada kama hizi, wengi wetu huwa tunabeba hisia za kisiasa na kidini kupinga watu fulani lakini ukweli siku zote una nguvu na utabaki imara
 
Cha ajabu alivyodakwa alikutwa anatumia iPhone sio Huawei
Yaani CFO wa kampuni hatumii bidhaa za kampuni yake
Hapo ndio utajua kwa nn? America is the best way for ever one to live and to use our products
 
Nimeamini huna unachokijua kuhusu Gaddafi mkuu.
Kasome vizury hii kadhia ya Gaddafi sawa?!
Kwanza nikusahihishe Libya ilikua inaongozwa kifalme kulikua hakuna upinzani wa vyama.
Then Libya waliishi vema sana kuliko taifa lolote ulimwenguni naweza sema.
Shule unampeleka tyu mtt kila kitu anasaidiwa mpk socks.
Then kilichomuua Gaddafi ni vitu viwili.
Alishaanza kuleta contradicts na America ktk mafuta wakat ambao America iliomba ishushiwe bei ya mafuta na nchi za OIC nchi tatu ziligoma Saudi Arabia,Iran na Libya.
Cha pili kutaka kuanzisha benki ya Africa isiyo na Riba ama kama ikiwemo riba nafuu.
Ndipo pale aliposema ufalme atamwachia mwanae americans wakatuma puppets zao kujaza watu propaganda wadai democracy.
Ilhali wao wanapewa kila kitu asa democracy ya nn eti ?!
Ndipo wakaingia road na kufanya maandamano mpk makao ya serikali Gaddafi alichokifanya alitumia wajeda kutuliza ghasia wala hakutumia mabomu.
Hapo hapo America ikaingizia diplomacy yake kuwa Libya inavunja haki za binadam za fair trial ipigwe mataifa badhi yakasapoti ila mengi yalikataa ikiwemo china.
Aya kama walitaka wamuondoe Gaddafi dhalimu kwann waiteketeze familia ya Gaddafi nzimA?!
Libya unayoisemea ww sasa hiv wanamwombea Gaddafi arudi kama haujui Libya now kuna machafuko na njaa Sudan ikasome.
VIONGOZI WOTE AFRICA WALISIKITIKA KUSIKIA GADDAFI KAFARIKI MTU AMBAYE ALIKUA NA FUTURE NZURI KUHUSU AFRICA WE WASEMA BORA ALIVYOKUFA.
KAKA KAA CHINI TAFAKARI MAANA MANENO ULIYOANDIKA HATTA WALIBYA WAKIYAONA WANAWEZA KUKUTIA SHABA MAANA WANAJUTTA KUDAI DEMOCRACY NA KUJISABABISHIA MAISHA MAGUMU KWA KUMUONDOA GADDAFI ILHALI NOW MAISHA YAO MAGUMU NA BADO MAFUTA WANAIBIWA KWASABABU HATTA RAIS WA SASA HIVI WA LIBYA NI AMERICAN PUPPET WATU WANAUZANA UTUMWA YEYEE ASHUGHULIKI.
Hongera sana mkuu ukweli kama huu wanausemaga wachache kweny mada kama hizi, wengi wetu huwa tunabeba hisia za kisiasa na kidini kupinga watu fulani lakini ukweli siku zote una nguvu na utabaki imara
 
Mkuu Inaonekana hatta nilichokiandika hukukielewa.
Nakubali Africa ina uchu wa madaraka ndio maana hatuendelei.
Lakini hao unaowazungumzia wamarekani ni wabaya sannaaaaa.
Wana msemo wao "we don't have permanent friend we don't have permanent enemy".
Na kama hujui fikra zao ni kutaka kurithi rasilimali za Africa na kusema kuwa sisi wengi.
Ndio maana wakatuletea uzazi wa mpango ambao umesababisha kansa ya mlango wa kizazi sannaaaa.
Kutokana na vidonge vyake hvyo walivyotuletea.
Kwann hao hawatumii na wako karibia million 8oo huko?!
Wametuletea Magonjwa lukuki yanatuua ebola na mengineyo we unasema hawa Marekani wanatupenda?!
Yani sisi tungemwombea Gaddafi asife ili alete muonekano mzury wa Africa maana mikopo ya Wb migumu kulipika kwa riba kubwa na ukishindwa ilipa unashurutishwa kutengeneza mikataba ya rasilimali ambayo nyonyezi eti ww umiliki hisa 15% wao 85% si unyonyaji huo.?!
Sisi tunatakiwa tujilaumu wenyewe kiutawala wala sio China sawa mkuu.
Kwasababu hatta huyo America hana nia nzury na sis kila mmoja wao si china wala marekani wote wanaangalia maslahi yao.
Asa kwann nisimlaumu America kwa maafa aliyoyaleta Africa ety mkuu?!
Na bado anaenda kufanya udhalimu huko mataifa ya South America we bado unamchukulia mtu?!
Bora aanguke tyuu kuliko maafa anayotuletea.
Yes Afrika tunastahili kabisa kuitwa shit hole Country kwa sababu tumeshindwa kujiwekea sheria za kujitawala wenyewe badala ya kuwategemea Waarabu ,wazungu na Wachina sasa ndio wamekua miungu wa watawala.
Watawala wa Afrika wamebaki na Wachina wasio na demokrasia na wanachi wanaamua kuwa upande wa Magaharibi.
Hapo unategema nini kama sio kuua watu wao kwa sababu za madaraka.?
Wakati watawala walitakiwa waweke Katiba bora zinazowafanya watu wenye AKILI kubwa wapate uongozi kuanzia ngazi za Chini kabisa.
Huoni kukosekana kwa demokrasia kunawafanya watu wasio na akili na maarifa kutawala kila sehemu kwa sababu tu ya kuungana mikono kisiasa badala ya ubunifu na weledi?

Hivi inaingia akilini Prof. Badala ya kutumia Taarifa za Tafiti kuleta maendeleo yeye anaongozwa na njaa na ushabiki wa kivyama?

Nchi yenya utajiri mkubwa kama Kongo wanaamua tu kugombania madaraka na kuua Demokrasia ambayo ingewapa fursa ya kuwapata viongozi bora kwa kutegemea kuwa watapata misaada toka Libya ,China ,Marekani, Ufaransa n.k. ?
Kwa nini wasiweke Katiba imara inayombana Mtu yeyote kuvunja sheria ?

Mfano hapa kwetu kwa Muda mrefu tume ya uchaguzi yenye majaji wengine imekia ilibariki uvunjwaji wa Sheria za Uchaguzi kwa wazi lakini hakuna anayefungwa kwa kuhatarisha amani ya nchi wakati wa Uchaguzi.
Watu wanalinda Chama kuliko amani ya nchi na kusahau kuwa wanachama wa Chama A ni watu kama wa walivyo wa Chama B. Ukianza kuvunja sheria na kuwaumiza wa Chama B unaleta chuki bila sababu.

Kana mshindi anapatikana kwa kura nyingi za haki na uwazi kwa nini atangazwe asiyestahili ?
Hili nalo linawahusu Wamarekani au ni uhayawani tu wa Waafrika na kustahili kuitwa Shit hole Country?

Serikali dunia nzima zinatakiwa zikusanye kodi lakini zinatakiwa ziweke mazingira mazuri ya Kibiashara kwa kujenga Fursa zionekane wazi.

Unafika Kariakoo unakuata wafanyabiashara wameruhusiwa kuvunja sheria za miji kisiasa tu na kupanga bidhaa zao barabarani kila kona Halafu Mteja akija na gari akapaki ka IST kake alikohongwa anakamatwa na kupigwa faini na maminyororo ya kitumwa juu.Wakati hakuna Parking halafu wanasema Trump amekosea!


Viongozi wanatumia mifumo ya kimagaharibi kuanzia kwenye Ulinzi, Mabenki na riba, kodi Propaganda za kisiasa ,utawala,viongozi kumiliki Mali nyingi binafsi tena mbaya kabisa wanazipata kupitia madaraka, Viongozi wa Afrika wanatumia katiba Kandamizi , Wanatumia nguvu kubwa hata kwenye mambo yasiyo na tija kwa nchi , Tunapoteza risasa na mabomu na mafuta ya Majeshi yetu kwa kuzuia mikutano hata ya ndani badala ya kukaa na wadau na kuweka sheria nzuri itakayomfanya kila mtu aipende nchi yake na kuona ni sehemu ya jamii na akiiharibu anajiona kabisa anajiharibia mwenyewe.
Leo hii hakuna elimu ya Demokrasia kwa wananchi wakati kuana Uchaguzi wa Kikatiba mbele. Watu hawafundishwi tena kuvumiliana Bali kuwashughulikia wale wanaowapinga halafu unamlaumu Trump. Watawala wanajenga chuki halafu wanapoona wananchi wameshiba visasi na kujibu mapigo ili kujihami wanatumia majeshi kuua watu wao na ndugu zao na kuilaumu Marekani.

Viongozi wa Afrika kama akina Kibudu wamesomea America na nchi nyingine za Ulaya ,wamefanya Tafiti nyingi kwa misaada ya nchi za magharibi, vichwa vyao vimejazwa na elimu na mifumo ya kimagharibi, wanatamani wao peke yao na Familia zao waishi kama wazungu.
Wanapenda uzungu, Watoto wao na wake zao wanaishi kizungu/ kiarabu Wanazungukwa na Mabunduki ya kuua na kuwatisha wanachi wao, wanatumia vigezo vya kimagharibi kuwaambia wananchi kuwa nchi zao zimeendelea huku wananchi wao wakiwa wanakunywa maji machafu na mifugo yao.
Viongozi wa Afrika wanatumia vibaya rasilimali walizozikuta huko ardhini zilizotolewa Bure na Mwenyezi Mungu kwa kuwapora wananchi wao na kuwaacha maskini ( mtu anazaliwa kwenye ardhi yenye madini halafu anafukuzwa na kuambiwa kuwa ni Mali ya Rais badala ya kupewa kahisa hata ka 0.000001% ili afaidi rasilimali iliyopatikana kwenye shamba alilorithishwa na mababu kabla ya mkoloni na mifumo yake kuja Afrika.

Viaongozi wa Afrika akiwemo huyo Ghadhaff aliyeuawa na Wananchi wake mwenyewe wanatumia Katiba na sheria za Wakoloni kuwaumiza wananchi wao wenyewe halafu wanasema wakoloni ni wabaya lakini wanatumia mbinu zao kujinufaisha wenyewe na marafiki zao huku kundi kubwa la wananchi wakiumia kama watumwa wao.
Viongozi wanageuka kuwa wakoloni na wanachi kuwa watumwa kwenye nchi moja wakati wote ni binadamu waliotoka kwenye ardhi moja na familia tu ya baba na mama kama wengine.

Hapa kwetu Kuna mmoja wa madaraka alisikika akisema kuwa yeye sio sawa na watu wengine japo wamelinagana umri lakini amewazidi sana na hats wakubwa wao wanajua.
Mwingine anasema nitawapiga ngumu muonje ngumi ya Mwanamke.
Mwingine tutawaua wale wanaompinga mkubwa wa Taifa as if wao hawawezi kuuawa na hao hao wanaowatisha( mana binadamu wote wanakufa) .

Waafrika weusi wanadanganywa viongozi wao kuwa matatizo ya Libya yameletwa na Marekani. Kwa hawasemi ukweli kuwa wananchi wa Libya waliamua wenyewe kuchukua nchi yao iliyotekwa na watawala wachache na familia zao na marafiki zao ?

Kuuawa kwa Ghadhaff lilikua ni jambo la kuwakumbusha wanadamu kuwa kila mtu atakufa na anaweza kuuawa kama atajiona kuwa yeye ni mungu. Mungu pekee ndiye anayeishi milele na analolitaka linakua.
Viongozi wengi wa Afrika wana historia ya kutawala kwa kuua sana wananchi wao ili wajenge mifumo wanayoiamini wao hata kama haina manufaa kwa wananchi wao.
Hali inayotengeneza makovu ya visasi. Watawala wanapokua madarakani wanasahau kabisa machungu wanayoyapata wanadamu wenzao kwa ndugu zao kuuliwa bila hatia yoyote zaidi ya kutoa mawazo yao kama wao.

Hivi Wale wapigania tumbo wanaosema kuwa Ghadhaff alitaka kutoa mikopo isiyo na Riba kwa nchi za kiafrika ili tupate maendeleo wanashindwa vipi wao kujenga mifumo ya kibenki ya kiafrika na kizalendo itakayoanza kutoa mikopo isiyo na riba kwa wananchi wao? Hivi anayeweka mifumo ya Riba kubwa kwenye mabenki yetu ni Marekani?

Kwa nini mtu awaze kugawa milioni 50 kila kijiji na Lap top kwa walimu zaidi ya Laki mbili nchi nzima ili tu apendwe na kupewa madaraka badala ya kuwaza kufuta Riba kwenye Mabenki ambayo ni hata kiafrika ni haram na kidini pia. Je, hili la kufuta riba kwenye mabenki haliwezekani bila Ghadhaff lakini kugawa pesa na magari barabarani linawezekana??
Kwa nini Watawala wanawaza tu madaraka yao badala ya Taifa na unafuu wa Maisha kwa wananchi wote ?

Uasi siku zote unatokana na kukosekana kwa haki na usawa.
Unakuta nchi ni moja lakini kuna watu ni miungu watu hawaguswi na sheria kisa wanatumia risasi kuwanyamazisha wengine wanaotaka kufikia maono yao kisiasa.

Hivi tulitaka Marekani wakae Kimya waangalie tu Ghadhaff na wanyama wenzake wakiua watu wote kwa mabomu na risasi kwa sababu tu ya upinzani wa kisiasa ??
Hivi huoni kuwa huo ndio ushetani mkubwa kabisa ?
Mungu angekua anawaua wale wote wanaofanya kinyume na maagizo yake leo dunia ingebaki na mtu?


Kwa nini Viongozi wa Kiafrika wasiweke Mifumo ya kiafrika iliyo bora kabisa wakianzia na Elimu, maadili na Katiba yenye misingi bora ya kiafrika ambayo itawanufaisha waafrika wenyewe bila kujilinganisha kwanza na wazungu na Wachina?

Waasisi wengi wa Mataifa ya Afrika walileta Uhuru baada ya kupandisha bendera mpya wakaanzisha ukoloni mpya na m'baya zaidi na ndio unaolitafuna bara la Afrika mana struggling ya kutafuta Uhuru wa kweli haitaisha maadam binadamu wenye kufikiri sawasawa wapo wengi na wanazidi kuzaliwa.
Bo
 
Mkuu Inaonekana hatta nilichokiandika hukukielewa.
Nakubali Africa ina uchu wa madaraka ndio maana hatuendelei.
Lakini hao unaowazungumzia wamarekani ni wabaya sannaaaaa.
Wana msemo wao "we don't have permanent friend we don't have permanent enemy".
Na kama hujui fikra zao ni kutaka kurithi rasilimali za Africa na kusema kuwa sisi wengi.
Ndio maana wakatuletea uzazi wa mpango ambao umesababisha kansa ya mlango wa kizazi sannaaaa.
Kutokana na vidonge vyake hvyo walivyotuletea.
Kwann hao hawatumii na wako karibia million 8oo huko?!
Wametuletea Magonjwa lukuki yanatuua ebola na mengineyo we unasema hawa Marekani wanatupenda?!
Yani sisi tungemwombea Gaddafi asife ili alete muonekano mzury wa Africa maana mikopo ya Wb migumu kulipika kwa riba kubwa na ukishindwa ilipa unashurutishwa kutengeneza mikataba ya rasilimali ambayo nyonyezi eti ww umiliki hisa 15% wao 85% si unyonyaji huo.?!
Sisi tunatakiwa tujilaumu wenyewe kiutawala wala sio China sawa mkuu.
Kwasababu hatta huyo America hana nia nzury na sis kila mmoja wao si china wala marekani wote wanaangalia maslahi yao.
Asa kwann nisimlaumu America kwa maafa aliyoyaleta Africa ety mkuu?!
Na bado anaenda kufanya udhalimu huko mataifa ya South America we bado unamchukulia mtu?!
Bora aanguke tyuu kuliko maafa anayotuletea.Bo
Hakuna Mzungu anayekuja na Dawa za uzazi wa mpango na kuwapa Waafrika Moja kwa moja bila kupitia Serikalini.

Ni lazima wakubaliane na Watawala na wataalam wetu ndio wanaotumika kuizitangaza .

Na hakunatu anayelazimishwa kuzitumia.
Kama hutaki achana nazo.
Matangazo mazuri ya kuzipamba yananaruhusiwa na viongozi wa Shit Hole Country wenyewe.
Hakuna Mmarekani anayekuja kuvamia Rasilimali zetu bila mikataba na viongozi wa Shit hole Country. Wakiambiwa wapeleke mikataba Bungeni ijadiliwe kwa uwazi kabla ya kuingia mikataba hiyo wanakua wakali na kuwaua wanaompinga hiyo mikataba.
Marekani inahusika vipi hapo?

Yani kabisa kabisa Afrika inastahili kuitwa rubbish shit hole Countries. Hayo Maovu yote hakuana mtu anayeweza kuyafanya kama kuna Demokrasia ya kusema kwa wazi na kuwakataa viongozi wanaouza rasilimali zetu na vyama vyao.

CCM waliuza sio rasilimali zetu lakini mpaka sasa wanatumia bunduki kuhakikisha wanakaa madarakani .
Marekani inahusika vipi hapo?

Ukifuatilia kwa umakini kila mkataba waliowahi kukaa kwenye madaraka wanahisa zao huko au walihongwa matofali ya dhahabu na wanapeta na kutuchagulia kwa nguvu ya risasi viongozi.
Hapo Marekani inahusika vipi?

Kwa nini leo hii Mahindi kwa kasi kubwa yanabadilishwa na kuletwa yale ya kutengeneza ili ukiyapanda Mara moja tu huwezi tena kutapanda bila kununua mbegu upya. Hata hovyo hakuna aliyejali kuwa wakulima wetu hawana uwezo wa kununua hizo mbegu muda wote mana zinahitaji hela na watakua wanazibadili kila Mara.
Hakuna aliyezileta bila serikali za Afrika kuridhia na hawataki majukwaa ya mikutano ya kisiasa ili watu wayazungumze hayo na kuwashawishi wananchi wawakatae wanaotumika na ikiwezakana kuwafungulia mashtaka na kuwafilisi Mali zao zote ili pasitokee mtu anayeingia mikataba isiyofaa .

Waliouza Madini yaliyoko ardhini ambayo hayakutengeneza na binadamu Bali Mungu kwa Wageni tunaweza kuwasamehe mana watasema hatuwezi kuyachimba ,Je, waliojigawia Nyumba na maeneo yote Mazuri ya serikali na kuyapangishia wageni na pesa zote zinaingia mifukoni Mwao wako Wapi ?
Je,kuna uwanja wa kidemokrasia huru wa kiwaelewesha wananchi ili wananchi waone dhulma waliyotendewa kwa wazi na watu waliowapa Ridhaa ya kutawala na kuongoza wakageuka wakajimilikisha Mali za umma?
Hapo Marekani anahusikaje?
Kwa nini tusianze kuwapiga vita hawa kabla ya Mmarekani aliyeko maelfu ya maili kutoka kwetu?
Hivi Pangekua na Katiba yenye misingi ya Haki sawa kwa kila mtu kuifuata leo hii kuna aliyewahi kutawala angekua uraiani akila bata kwa Mali zisizoelezeka katikati ya nchi maskini? Hapo Marekani inahusikaje?
Katiba kila mtawala Afrika hataki iruhusu Kuwashitaki wao maana wanajua hawapo pale kuwasaidia wananchi Bali kuwapa fursa wao na marafiki zao.
Ndio maana Nchi Maskini lakini watawala ni mabilionea kwenye katiba ya Kijamaa.
Leo hii nani asiyejua kuwa viongozi wa Kiafrika na Watawala wa kila Idara uwiano wao na Watumwa wao wanaoitwa wafanyakazi uwiano wao wa Mishahara ni zaidi ya 1:80 ? Halafu wanawaka hawataki Demokrasia ya kuwaacha wananchi washindane kwa haki ili wapatikane watu wenye Uchungu wa Kweli na Taifa lao.
Kuna watu wapo Tayari hata kuongoza nchi Kwa kulipwa milioni moja na kutembelea Landrover 110 na serikali yao yote kutembelea magari ya bei isiyozidi Milioni 60 mpaka uchumi ufikie ule wa Swiden.
Msafara unapita wa viongozi wa Nchi maskini za Afrika kwenda kuzindua Choo Cha shimo Cha shule ya Nyasi chenye thamani ya sh. Mil.20 feki ,ukipiga hesabu ya Magari yaliyowabeba Mabeberu wa kiafrika humo inafikai Bil. Tatu .
Hapo Marekani analaoumiwa vipi ?

Shit hole Country ni pale unapoona watu wanatumia mabilioni na kuchangisha fedha nyingi za mafuta na za kuwalipa watu wanaokimbiza Moto barabarani kuzunguka nchi nzima.
Bajeti yake hairuhusiwi kamwe kujadiliwa wala kuhojiwa.
Hakuna uwanja wa kidemokrasia was kukaa na kupinga huo mfumo ili kama Waafrika tuweke utaratibu mzuri utakaowapata viongozi watakaopiga marufuku huo upotevu wa kodi za wanyonge.
Mtu akipinga anakamatwa na hata kuuawa kuwa anapinga Moto unaokimbizwa.
Kweli moto usio na akili unaweza kuokoa rasilimali zetu badala ya kuwaacha watu wenye akili wapatikane kidemokrasia na tuwapate kihalali na kuwakabidhi Katiba inayobainisha wazi kuwa wakishindwa wataishia Gerezani au hata kunyongwa na familia zao kubaki maskini wa kutupwa kwa uzembe wao.
Hapo Marekani wanahusikaje?

Pakiwa na Demokrasia Afrika ya namna bora ya kuwapata watawala waadilifu kwa wazi ndipo Afrika itakapojitegemea mana Kama mtu kwa miaka Mitano na serikali yake hata kama ameshindwa kupaisha uchumi lakini mambo yote yamefanyika kwa wazi na kufuata sheria tulizojiwekea ,hakuna wizi ndani ya serikali yake,hakuna matumizi yasiyoeleweka kwenye idara zote bila kujali kuwa ni nyeti au sio nyeti uadilifu kwanza. Hata akishindwa kwenye uchaguzi lakini anajua ameshindwa kwa hoja na wananchi wamechagua kwa haki na kwa wazi kuanzia chini mpaka juu. Hakuna mtu atakayeleta fujo wala kumfunga hata akiwa nje ya madaraka atakua ameshindwa bila kutumia nguvu. Wananchi ndio wawe last say ya Nchi yao kwenye kura kwa haki na wawe na nafasi ya kuwasikiliza watu wote kwa usawa wakati wa kupiga kampeni.
Hapo Marekani wanahusikaje?

Watu wanatawala na kuwatisha watu wakati wa kampeni kuwa Fulani akishinda tunafanya mapinzuzi Daima halafu unailaumu Marekani?
Watu wanasema ushindi lazima hata kwa Goli la mkono halafu unailaumu Marekani?
Watu hao hao waliotumiwa na Marekani kufanya mapinzuzi ndio wanaokuambia kuwa Marekani anatusbabishia maskini!!

Hatuwezi kukwepa Kauli ya Trump. Mana ana nia njema na Afrika kuwakomboa watu wasitawaliwe na watu wale wale waliowaibia kwa miaka nenda rudi wakishirikiana na Mataifa makubwa.

Ni viongozi yupi Afrika aliyeweka Mali zake wazi na kueleza alivyozipata ?
Kuanzia Majumba ,maviwanda ,Mabasi ,malori, mahoteli, Ardhi ,biashara haramu, Ajira zenye maslahi mazuri ; vyote hivyo vina mikono ya watawala Afrika na wamevipata kwa kupitia kodi za wananchi na mikataba ya hovyo wanayoifanyia gizani!
Hapo Marekani inahusikaje.

Eti Ugonjwa wa Ukimwi umeletwa na Wamarekani. Wakati hata mbwa wana Kisonono kutokana na umalaya wao usio na kiasi.

Kila kitu Afrika kinafanyika bila utaratibu. Hivi nani analazimishwa asizae watoto kumi kama anaweza.
Mimi sijakatazwa popote kuzaa watoto wengi ni uwezo tu unanilimit na kukimbizana na malezi bora mana hata Ardhi ni ya serikali sasa watoto watarithi nini?
Zamani ningeenda porini nikajitangazia kjiji changu na kuzaa kijiji kizima na kufuga na kilimo . Leo Watakuja na Msururu wa magari na Wale Wanyapara wa wilaya na mabunduki na kutoa amri ya kukamata kijiji kizima na kukiweka gerezani eti nimevamia ardhi na sina hati ya kukitambua kijiji na siruhusiwa kuwapa watoto elimu ninayoona inawafaa ya kuwinda ,kufuga na kupambana na fisi wasivamie mifugo yao.
Wataitwa maskini kwa tafsiri ya wakoloni weusi na weupe?
Marekani analaumiwa vipi?

Adui wa Afrika ni Watawala wao.
Rafiki wa Afrika ni Adui wa Watawala wao.

Trump ni Rafiki mwema wa Afrika . Wangemwelewa wangeachana kabisa na Misaada na Kitu chochote kinachoitwa Mzungu au mkoloni mpya Mchina. Wakajiwekea mifumo yao wenyewe bila kutegemea Mtu yeyote zaidi ya wananchi wao.
Wakaweka Tafsiri yao ya maana ya maendeleo.

Kama Tunaweza Kutoa trilion Nane au kumi kujenga mradi mmoja kwa nini tunashindwa kujenga barabara mpya ya speed 140 kwa saa kutoka DSM mpaka Mwanza.
Kwa akili ya magari yenye dharura na yanayipia hiyo barabara hasa mabasi na mabasi ya kukodi na watu binafsi.
Kwa nini tunashindwa kujenga barabara mpya nyingine ya kutoka Dsm kwenda Musoma kupitia Arusha ya Kiwango cha lami na yenye upana na eneo la Mwendo kasi zaidi ya speed 100 mpaka 140 kwa saa.

Pesa za mradi mmoja tu zinazotosha kujenga barabara mpya kwenda mikoa yote na hata za vijijini ni jambo lilostahili kujadiliwa kwa wazi na wananchi wakapewa nafsi ya kuchambua faida ya mradi mmoja au ya kutumia fedha hizo kujenga barabara mpya na zisizo na kuna za ajabu ajabu na zenya upana wa kutosha nchi nzima mpaka vijijini.

Lakini bado tunamlaumu Trump.

Afrika tuweke Demokrasia ili tuwashindanishe wanaotaka kutuongoza kuelekea kwenye Maendeleo halisi na sio kutumia hisia za mtu mmoja bila kukosolewa.
Tuweke Mipango ya kitaifa na Sera za kitaifa ili tusikilize wachambuzi wa namna bora ya kuzitekeleza.
Zito Kabwe asimame achambue kuwa yeye angefanyaje ,Lisu achambue,Na mkubwa wetu achambue , Wapambe wao wachambue, Mbowe achambue ,Mbatia achambue kwa wazi kabisa bila kutishwa wala hofu bila kujali vyama , Asasi za kiraia wachambue , na wataalama wa uchumi wachambue bila kujali maslahi na ahadi za kuteuliwa.
Mana kinachotuumiza ni watu kulenga uteuzi hivyo kuweka unafiki Mbele huku watu kama akina Bashe na Serukamba wakionekana watukutu wakati wanayosema ni mawazo yao toka kichwani mwao na wanachoamini kama watanzania sio wasaka Vyeo wanaotumia kanuni za Kibeberu kupanga maendeleo bila kutumia Uhuru wa mawazo kama hao mabeneru waliowapa elimu hiyo ya uchumi.
 
Daah huawei ijitahidi irudi kwny mstari aisee.

Ila ukitaka kujua usenge wa mchina hata ukifanya nae kazi then mkaenda wote bar kunywa anahesabu vifuniko vya bia alivyokunywa ndo analipa wkt mtu anayefanya kazi na mzungu ujinga wa hivyo huwezi kuuona.

Ni mwendo wa tungi + tips unaacha kama kawa.
 
Mkuuu mm sijakataa kama uwongozi wetu ni mbovu.
Lakini tizama Libya nchi ile imeharibiwa na Mmarekani tena hadi viongozi wa mataifa ya nje walisikitika Gaddafi kuuliwa pasi na hatia.
Somalia inapigana leo kesho Uongozi wake usishirikiane na Marekani.
MUHAMMAD MORSI KUPINDULIWA KWAKE KUNAHUSIKA MMAREKANI MPK SASA UCHUMI WA EGYPT UMESHUKA BAADA YA MORSI KUPINDULIWA.
MM SIKATAI KAMA VIONGOZI WETU WALIOKO MADARAKANI WANASABABISHA MAAFA MAKUBWA.
LAKINI MAREKANI ANATUTAWALA KIKOLONI MAMBO LEO SWALA AMBALO LINAUMIZA MATAIFA MASIKINI SIO YA AFRICA TYU BALI HATTA YA AMERICA KUSINI NA ASIA.
KAMA MMAREKANI ANAKUPENDA UENDELEE KWANN AKUKOPESHE KWA RIBA MARA MBILI YA MKOPO NA UKISHINDWA AKUSHINIKIZE KWA KUTENGENEZA MIKATABA NYONYEZI HAPO UNAZUNGUMZIAJE.?!
ALICHOMFAMYIA LIBYA KISA KUKATAA KUSHUSHA BEI YA MAFUTA KWAKE AKAMTIBULIA NCHI NA SASA BADO ANAFANYA UNYONYEZI WA PETROLEUM HAPO HAFAI KULAUMIWA?!
MM NAKUBALI AFRICA NCHI ZETU NYINGI SIO ZOTE ZINA UONGOZI MBOVU LAKINI MMAREKANI AMECHANGIA MAAFA MENGI SANA KWETU.
NA UKIMWI MKUU USIFANANISHE NA KISONONO.
BASI EBOLA JE UNAIZUNGUMZIAJE!?
HUKO KUNA WATU AFRICA MAGHARIBI MADAKTARI WASIO NA. MIPAKA WANAPELEKWA KUJIFANYA WANASAIDIA KUMBE WAPO WENGINE WANYONYA RASILIMALI.
HUYU JAMAA HUJAMWANGALIA KIUNDANI NI MBAYA SANA.
TENA KITU KINACHONIUMA SANAAA NI KUHUSU GADDAFI HADI SASA MAANA WANANCHI WA LIBYA WANAVYOTESEKA SASA ASEE HAPANA BORA YA TZ!
Hakuna Mzungu anayekuja na Dawa za uzazi wa mpango na kuwapa Waafrika Moja kwa moja bila kupitia Serikalini.

Ni lazima wakubaliane na Watawala na wataalam wetu ndio wanaotumika kuizitangaza .

Na hakunatu anayelazimishwa kuzitumia.
Kama hutaki achana nazo.
Matangazo mazuri ya kuzipamba yananaruhusiwa na viongozi wa Shit Hole Country wenyewe.
Hakuna Mmarekani anayekuja kuvamia Rasilimali zetu bila mikataba na viongozi wa Shit hole Country. Wakiambiwa wapeleke mikataba Bungeni ijadiliwe kwa uwazi kabla ya kuingia mikataba hiyo wanakua wakali na kuwaua wanaompinga hiyo mikataba.
Marekani inahusika vipi hapo?

Yani kabisa kabisa Afrika inastahili kuitwa rubbish shit hole Countries. Hayo Maovu yote hakuana mtu anayeweza kuyafanya kama kuna Demokrasia ya kusema kwa wazi na kuwakataa viongozi wanaouza rasilimali zetu na vyama vyao.

CCM waliuza sio rasilimali zetu lakini mpaka sasa wanatumia bunduki kuhakikisha wanakaa madarakani .
Marekani inahusika vipi hapo?

Ukifuatilia kwa umakini kila mkataba waliowahi kukaa kwenye madaraka wanahisa zao huko au walihongwa matofali ya dhahabu na wanapeta na kutuchagulia kwa nguvu ya risasi viongozi.
Hapo Marekani inahusika vipi?

Kwa nini leo hii Mahindi kwa kasi kubwa yanabadilishwa na kuletwa yale ya kutengeneza ili ukiyapanda Mara moja tu huwezi tena kutapanda bila kununua mbegu upya. Hata hovyo hakuna aliyejali kuwa wakulima wetu hawana uwezo wa kununua hizo mbegu muda wote mana zinahitaji hela na watakua wanazibadili kila Mara.
Hakuna aliyezileta bila serikali za Afrika kuridhia na hawataki majukwaa ya mikutano ya kisiasa ili watu wayazungumze hayo na kuwashawishi wananchi wawakatae wanaotumika na ikiwezakana kuwafungulia mashtaka na kuwafilisi Mali zao zote ili pasitokee mtu anayeingia mikataba isiyofaa .

Waliouza Madini yaliyoko ardhini ambayo hayakutengeneza na binadamu Bali Mungu kwa Wageni tunaweza kuwasamehe mana watasema hatuwezi kuyachimba ,Je, waliojigawia Nyumba na maeneo yote Mazuri ya serikali na kuyapangishia wageni na pesa zote zinaingia mifukoni Mwao wako Wapi ?
Je,kuna uwanja wa kidemokrasia huru wa kiwaelewesha wananchi ili wananchi waone dhulma waliyotendewa kwa wazi na watu waliowapa Ridhaa ya kutawala na kuongoza wakageuka wakajimilikisha Mali za umma?
Hapo Marekani anahusikaje?
Kwa nini tusianze kuwapiga vita hawa kabla ya Mmarekani aliyeko maelfu ya maili kutoka kwetu?
Hivi Pangekua na Katiba yenye misingi ya Haki sawa kwa kila mtu kuifuata leo hii kuna aliyewahi kutawala angekua uraiani akila bata kwa Mali zisizoelezeka katikati ya nchi maskini? Hapo Marekani inahusikaje?
Katiba kila mtawala Afrika hataki iruhusu Kuwashitaki wao maana wanajua hawapo pale kuwasaidia wananchi Bali kuwapa fursa wao na marafiki zao.
Ndio maana Nchi Maskini lakini watawala ni mabilionea kwenye katiba ya Kijamaa.
Leo hii nani asiyejua kuwa viongozi wa Kiafrika na Watawala wa kila Idara uwiano wao na Watumwa wao wanaoitwa wafanyakazi uwiano wao wa Mishahara ni zaidi ya 1:80 ? Halafu wanawaka hawataki Demokrasia ya kuwaacha wananchi washindane kwa haki ili wapatikane watu wenye Uchungu wa Kweli na Taifa lao.
Kuna watu wapo Tayari hata kuongoza nchi Kwa kulipwa milioni moja na kutembelea Landrover 110 na serikali yao yote kutembelea magari ya bei isiyozidi Milioni 60 mpaka uchumi ufikie ule wa Swiden.
Msafara unapita wa viongozi wa Nchi maskini za Afrika kwenda kuzindua Choo Cha shimo Cha shule ya Nyasi chenye thamani ya sh. Mil.20 feki ,ukipiga hesabu ya Magari yaliyowabeba Mabeberu wa kiafrika humo inafikai Bil. Tatu .
Hapo Marekani analaoumiwa vipi ?

Shit hole Country ni pale unapoona watu wanatumia mabilioni na kuchangisha fedha nyingi za mafuta na za kuwalipa watu wanaokimbiza Moto barabarani kuzunguka nchi nzima.
Bajeti yake hairuhusiwi kamwe kujadiliwa wala kuhojiwa.
Hakuna uwanja wa kidemokrasia was kukaa na kupinga huo mfumo ili kama Waafrika tuweke utaratibu mzuri utakaowapata viongozi watakaopiga marufuku huo upotevu wa kodi za wanyonge.
Mtu akipinga anakamatwa na hata kuuawa kuwa anapinga Moto unaokimbizwa.
Kweli moto usio na akili unaweza kuokoa rasilimali zetu badala ya kuwaacha watu wenye akili wapatikane kidemokrasia na tuwapate kihalali na kuwakabidhi Katiba inayobainisha wazi kuwa wakishindwa wataishia Gerezani au hata kunyongwa na familia zao kubaki maskini wa kutupwa kwa uzembe wao.
Hapo Marekani wanahusikaje?

Pakiwa na Demokrasia Afrika ya namna bora ya kuwapata watawala waadilifu kwa wazi ndipo Afrika itakapojitegemea mana Kama mtu kwa miaka Mitano na serikali yake hata kama ameshindwa kupaisha uchumi lakini mambo yote yamefanyika kwa wazi na kufuata sheria tulizojiwekea ,hakuna wizi ndani ya serikali yake,hakuna matumizi yasiyoeleweka kwenye idara zote bila kujali kuwa ni nyeti au sio nyeti uadilifu kwanza. Hata akishindwa kwenye uchaguzi lakini anajua ameshindwa kwa hoja na wananchi wamechagua kwa haki na kwa wazi kuanzia chini mpaka juu. Hakuna mtu atakayeleta fujo wala kumfunga hata akiwa nje ya madaraka atakua ameshindwa bila kutumia nguvu. Wananchi ndio wawe last say ya Nchi yao kwenye kura kwa haki na wawe na nafasi ya kuwasikiliza watu wote kwa usawa wakati wa kupiga kampeni.
Hapo Marekani wanahusikaje?

Watu wanatawala na kuwatisha watu wakati wa kampeni kuwa Fulani akishinda tunafanya mapinzuzi Daima halafu unailaumu Marekani?
Watu wanasema ushindi lazima hata kwa Goli la mkono halafu unailaumu Marekani?
Watu hao hao waliotumiwa na Marekani kufanya mapinzuzi ndio wanaokuambia kuwa Marekani anatusbabishia maskini!!

Hatuwezi kukwepa Kauli ya Trump. Mana ana nia njema na Afrika kuwakomboa watu wasitawaliwe na watu wale wale waliowaibia kwa miaka nenda rudi wakishirikiana na Mataifa makubwa.

Ni viongozi yupi Afrika aliyeweka Mali zake wazi na kueleza alivyozipata ?
Kuanzia Majumba ,maviwanda ,Mabasi ,malori, mahoteli, Ardhi ,biashara haramu, Ajira zenye maslahi mazuri ; vyote hivyo vina mikono ya watawala Afrika na wamevipata kwa kupitia kodi za wananchi na mikataba ya hovyo wanayoifanyia gizani!
Hapo Marekani inahusikaje.

Eti Ugonjwa wa Ukimwi umeletwa na Wamarekani. Wakati hata mbwa wana Kisonono kutokana na umalaya wao usio na kiasi.

Kila kitu Afrika kinafanyika bila utaratibu. Hivi nani analazimishwa asizae watoto kumi kama anaweza.
Mimi sijakatazwa popote kuzaa watoto wengi ni uwezo tu unanilimit na kukimbizana na malezi bora mana hata Ardhi ni ya serikali sasa watoto watarithi nini?
Zamani ningeenda porini nikajitangazia kjiji changu na kuzaa kijiji kizima na kufuga na kilimo . Leo Watakuja na Msururu wa magari na Wale Wanyapara wa wilaya na mabunduki na kutoa amri ya kukamata kijiji kizima na kukiweka gerezani eti nimevamia ardhi na sina hati ya kukitambua kijiji na siruhusiwa kuwapa watoto elimu ninayoona inawafaa ya kuwinda ,kufuga na kupambana na fisi wasivamie mifugo yao.
Wataitwa maskini kwa tafsiri ya wakoloni weusi na weupe?
Marekani analaumiwa vipi?

Adui wa Afrika ni Watawala wao.
Rafiki wa Afrika ni Adui wa Watawala wao.

Trump ni Rafiki mwema wa Afrika . Wangemwelewa wangeachana kabisa na Misaada na Kitu chochote kinachoitwa Mzungu au mkoloni mpya Mchina. Wakajiwekea mifumo yao wenyewe bila kutegemea Mtu yeyote zaidi ya wananchi wao.
Wakaweka Tafsiri yao ya maana ya maendeleo.

Kama Tunaweza Kutoa trilion Nane au kumi kujenga mradi mmoja kwa nini tunashindwa kujenga barabara mpya ya speed 140 kwa saa kutoka DSM mpaka Mwanza.
Kwa akili ya magari yenye dharura na yanayipia hiyo barabara hasa mabasi na mabasi ya kukodi na watu binafsi.
Kwa nini tunashindwa kujenga barabara mpya nyingine ya kutoka Dsm kwenda Musoma kupitia Arusha ya Kiwango cha lami na yenye upana na eneo la Mwendo kasi zaidi ya speed 100 mpaka 140 kwa saa.

Pesa za mradi mmoja tu zinazotosha kujenga barabara mpya kwenda mikoa yote na hata za vijijini ni jambo lilostahili kujadiliwa kwa wazi na wananchi wakapewa nafsi ya kuchambua faida ya mradi mmoja au ya kutumia fedha hizo kujenga barabara mpya na zisizo na kuna za ajabu ajabu na zenya upana wa kutosha nchi nzima mpaka vijijini.

Lakini bado tunamlaumu Trump.

Afrika tuweke Demokrasia ili tuwashindanishe wanaotaka kutuongoza kuelekea kwenye Maendeleo halisi na sio kutumia hisia za mtu mmoja bila kukosolewa.
Tuweke Mipango ya kitaifa na Sera za kitaifa ili tusikilize wachambuzi wa namna bora ya kuzitekeleza.
Zito Kabwe asimame achambue kuwa yeye angefanyaje ,Lisu achambue,Na mkubwa wetu achambue , Wapambe wao wachambue, Mbowe achambue ,Mbatia achambue kwa wazi kabisa bila kutishwa wala hofu bila kujali vyama , Asasi za kiraia wachambue , na wataalama wa uchumi wachambue bila kujali maslahi na ahadi za kuteuliwa.
Mana kinachotuumiza ni watu kulenga uteuzi hivyo kuweka unafiki Mbele huku watu kama akina Bashe na Serukamba wakionekana watukutu wakati wanayosema ni mawazo yao toka kichwani mwao na wanachoamini kama watanzania sio wasaka Vyeo wanaotumia kanuni za Kibeberu kupanga maendeleo bila kutumia Uhuru wa mawazo kama hao mabeneru waliowapa elimu hiyo ya uchumi.
 
Mkuuu mm sijakataa kama uwongozi wetu ni mbovu.
Lakini tizama Libya nchi ile imeharibiwa na Mmarekani tena hadi viongozi wa mataifa ya nje walisikitika Gaddafi kuuliwa pasi na hatia.
Somalia inapigana leo kesho Uongozi wake usishirikiane na Marekani.
MUHAMMAD MORSI KUPINDULIWA KWAKE KUNAHUSIKA MMAREKANI MPK SASA UCHUMI WA EGYPT UMESHUKA BAADA YA MORSI KUPINDULIWA.
MM SIKATAI KAMA VIONGOZI WETU WALIOKO MADARAKANI WANASABABISHA MAAFA MAKUBWA.
LAKINI MAREKANI ANATUTAWALA KIKOLONI MAMBO LEO SWALA AMBALO LINAUMIZA MATAIFA MASIKINI SIO YA AFRICA TYU BALI HATTA YA AMERICA KUSINI NA ASIA.
KAMA MMAREKANI ANAKUPENDA UENDELEE KWANN AKUKOPESHE KWA RIBA MARA MBILI YA MKOPO NA UKISHINDWA AKUSHINIKIZE KWA KUTENGENEZA MIKATABA NYONYEZI HAPO UNAZUNGUMZIAJE.?!
ALICHOMFAMYIA LIBYA KISA KUKATAA KUSHUSHA BEI YA MAFUTA KWAKE AKAMTIBULIA NCHI NA SASA BADO ANAFANYA UNYONYEZI WA PETROLEUM HAPO HAFAI KULAUMIWA?!
MM NAKUBALI AFRICA NCHI ZETU NYINGI SIO ZOTE ZINA UONGOZI MBOVU LAKINI MMAREKANI AMECHANGIA MAAFA MENGI SANA KWETU.
NA UKIMWI MKUU USIFANANISHE NA KISONONO.
BASI EBOLA JE UNAIZUNGUMZIAJE!?
HUKO KUNA WATU AFRICA MAGHARIBI MADAKTARI WASIO NA. MIPAKA WANAPELEKWA KUJIFANYA WANASAIDIA KUMBE WAPO WENGINE WANYONYA RASILIMALI.
HUYU JAMAA HUJAMWANGALIA KIUNDANI NI MBAYA SANA.
TENA KITU KINACHONIUMA SANAAA NI KUHUSU GADDAFI HADI SASA MAANA WANANCHI WA LIBYA WANAVYOTESEKA SASA ASEE HAPANA BORA YA TZ!
Magonjwa yalikuwepo toka enzi za utawala wa Firauni.

Ninachokataa ni viongozi wa kiafrika kutumia mifumo ya Kimagharibi kututawala tuu.
Lakini haki zetu wanataka tuzipate kwa matamko yao na China.

Wakitaka kututawala kimagaharibi basi watuache tumiliki uchumi wetu wenyewe kama wao.
Waruache tuchague viongozi wetu kwa haki ili tuwakatae hao wanaotumiwa na mabeberu wa nje.

Mimi kiukweli simpendi mtu anayetoka nje ya Kusini mwa jangwa la Sahahara.

Hata Libya amejiingiza mwenyewe kwenye mgogoro na Marekani wala sio kupandisha bei ya mafuta.

Kosa kubwa la serikali ya Ghadhaff ni Kuanza kupiga mikwala Marekani badala ya kudili na Wananchi wake.
Hakuna mzungu anayemoazimisha MTU kuuza bidhaa yake kama sio mwekezaje wake.

Kuanza kuitisha Israel na kusema ataifuta kwenye Ramani ya Dunia ilikua ni kosa kubwa sana mana kwa Vyovyote angeanza kuvurumishiwa makombora na Israel na vita ingekua kubwa zaidi mana ingeingiza na nchi nyingine za Kiarabu.

Hakuna nchi iliyoitishia Israel ikaachwa salama.

Kama Wamarekani wanaambukiza na kuwapiga tu bila sababu Mbona Kuwait ,Katari,Falme za Kiarabu,Brunei ,Said Arabia na kwingine mbona hawapigwi ,Mbona hawawekewi Ebola au ukimwi.

Tatizo ni nchi kutawaliwa na viongozi vichaa halafu wanaanza kutishiana na Marekani badala ya kupambana na hali zao na kupanua Uhuru wa watu wao.

Maendeleo yaendani na Uhuru wa watu.
Kama maendeleo ni muhimu kuliko Uhuru basi Mwalimu alifanya makosa kudai Uhuru mana mkoloni alikua analeta maendeleo ya vitu kwa kasi zaidi.

Ujinga kama huoa aliufanya IDD Amini Dada kuanza kuitisha Tanzania badala ya kupambana na hali yake kule Uganda .

IDD Amini alifikia mahali pa kuanza kutishia usalama wa Wayahudi na Wazungu badala ya kupambana na ujenzi wa nchi yake.

Ni lazina kwanza tujilaumu wenyewe kabla ya kuwalaumu watu ambao hawahusiki kwenye sheria yeyote inayowakandamiza wananchi wa nchi za kiafraka.
Kila kitu Afrika kinaendeshwa bila utaratibu Mzuri wa kuwasaidia wananchi wake.
Karne hii watu bungeni wanajadili mambo madogo madogo kabisa yasiyohusu uchumi zaidi ya malumbano ya kisiasa tu.

Hivi Gesi tuliyowapa Wachina kwa bei ya kutupa Marekani amehusikaje hapo?
Kwa nini tunakwepa majukumu yetu na kuwapiga chini waliotufikisha mahali pabaya?
Gadaff alitakiwa tu aweke Demokrasia mana ndiyo habari ya Dunia kwa sasa ,wenzetu wanawahi halafu sisi tunakuja baadae kuidai kwa kuuana. Akishaweka Demokrasia anaitisha uchaguzi wa huru na haki . Na kama alifanya mambo mazuri angeshinda kwa kishindo bila maafa.
Nchi isiyo na vyombo huru vya habari utajuaje kuwa anafanya vizuri kama sio kuudanganya umma kwa propaganda za madikteta kama alivyokua anadanganya IDD Amini ?

Woga wa Rais anayefanya vizuri unatoka wapi??
Hata akishindwa si atapumzika kwa heshma na amani kuliko kukaidi nguvu ya umma !
 
Magonjwa yalikuwepo toka enzi za utawala wa Firauni.

Ninachokataa ni viongozi wa kiafrika kutumia mifumo ya Kimagharibi kututawala tuu.
Lakini haki zetu wanataka tuzipate kwa matamko yao na China.

Wakitaka kututawala kimagaharibi basi watuache tumiliki uchumi wetu wenyewe kama wao.
Waruache tuchague viongozi wetu kwa haki ili tuwakatae hao wanaotumiwa na mabeberu wa nje.

Mimi kiukweli simpendi mtu anayetoka nje ya Kusini mwa jangwa la Sahahara.

Hata Libya amejiingiza mwenyewe kwenye mgogoro na Marekani wala sio kupandisha bei ya mafuta.

Kosa kubwa la serikali ya Ghadhaff ni Kuanza kupiga mikwala Marekani badala ya kudili na Wananchi wake.
Hakuna mzungu anayemoazimisha MTU kuuza bidhaa yake kama sio mwekezaje wake.

Kuanza kuitisha Israel na kusema ataifuta kwenye Ramani ya Dunia ilikua ni kosa kubwa sana mana kwa Vyovyote angeanza kuvurumishiwa makombora na Israel na vita ingekua kubwa zaidi mana ingeingiza na nchi nyingine za Kiarabu.

Hakuna nchi iliyoitishia Israel ikaachwa salama.

Kama Wamarekani wanaambukiza na kuwapiga tu bila sababu Mbona Kuwait ,Katari,Falme za Kiarabu,Brunei ,Said Arabia na kwingine mbona hawapigwi ,Mbona hawawekewi Ebola au ukimwi.

Tatizo ni nchi kutawaliwa na viongozi vichaa halafu wanaanza kutishiana na Marekani badala ya kupambana na hali zao na kupanua Uhuru wa watu wao.

Maendeleo yaendani na Uhuru wa watu.
Kama maendeleo ni muhimu kuliko Uhuru basi Mwalimu alifanya makosa kudai Uhuru mana mkoloni alikua analeta maendeleo ya vitu kwa kasi zaidi.

Ujinga kama huoa aliufanya IDD Amini Dada kuanza kuitisha Tanzania badala ya kupambana na hali yake kule Uganda .

IDD Amini alifikia mahali pa kuanza kutishia usalama wa Wayahudi na Wazungu badala ya kupambana na ujenzi wa nchi yake.

Ni lazina kwanza tujilaumu wenyewe kabla ya kuwalaumu watu ambao hawahusiki kwenye sheria yeyote inayowakandamiza wananchi wa nchi za kiafraka.
Kila kitu Afrika kinaendeshwa bila utaratibu Mzuri wa kuwasaidia wananchi wake.
Karne hii watu bungeni wanajadili mambo madogo madogo kabisa yasiyohusu uchumi zaidi ya malumbano ya kisiasa tu.

Hivi Gesi tuliyowapa Wachina kwa bei ya kutupa Marekani amehusikaje hapo?
Kwa nini tunakwepa majukumu yetu na kuwapiga chini waliotufikisha mahali pabaya?
Gadaff alitakiwa tu aweke Demokrasia mana ndiyo habari ya Dunia kwa sasa ,wenzetu wanawahi halafu sisi tunakuja baadae kuidai kwa kuuana. Akishaweka Demokrasia anaitisha uchaguzi wa huru na haki . Na kama alifanya mambo mazuri angeshinda kwa kishindo bila maafa.
Nchi isiyo na vyombo huru vya habari utajuaje kuwa anafanya vizuri kama sio kuudanganya umma kwa propaganda za madikteta kama alivyokua anadanganya IDD Amini ?

Woga wa Rais anayefanya vizuri unatoka wapi??
Hata akishindwa si atapumzika kwa heshma na amani kuliko kukaidi nguvu ya umma !
Tunapishana kauli aisee.
Wala Gaddafi hakujitaftia matatizo.
Au unaona Anachofanya Israel kwa Palestines kipo sawa huku Marekani akimsapoti?!
Mkuu una ushabiki na Marekani unavyoonekana.
 
nachijua ni kuwa WEATUMWA WA KIAFRICA HUKO ULAYA NA AMERICA ndio unaona huo ni undugu.
Huko ASIA hakuna weusi kwa sababu hawajawahi kushiriki BIASHARA YA UTUMWA na hawana hata huo muda.
Ukitaka kujua china ni nani jifunze kuhusu TAZARA. hapo hakika utajua kuwa china ndiuo ndugu yako wa kweli.
Wewe ni mjinga sana kwa maana ya "Ignorant", yaani hujui hata namna biashara ya utumwa ulivyofanyika.. !!!

Hujui mamilioni ya watumwa waliotolewa huku East and Central Africa na waarabu kwa karibu karne tano nzima between 1400-1800 waliswagwa hadi wengine kupelekwa India, Pakistan, Thailand hadi China na kwa kuwa waarabu waliwaasi watumwa wanaume ndio maana leo hii hakuna "Descendants of African Slaves in Asia".

Hakuna bara humu duniani ambapo mtu mweusi anakuwa na wakati mgumu kuishi kama bara la Asia na hilo hata wewe ukiondoa unafiki utalikubali tu.

Wakati wa biashara ya utumwa enzi hizo madhila na mateso waliofanyiwa watumwa waafrika huko Asia ni makubwa na mabaya zaidi kuwahi kufanyiwa mwanadamu duniani and this is well documented ila baadhi ya waafrika kwa unafiki tu hawapendi kabisa kuliongelea hili kisa, dini. This is very foolish and rather disturbing.

Wanawake wa kiafrika walikuwa wakijifungua mtoto wa kiume utumwani huyo mtoto alikuwa ni wa kuuwawa tu, tena summarily, halafu watu mnakuja eti kusifia ukuda humu. Hakuna "Race" ya watu wanafiki kama waafrika na hii labda ndio maana tuko hapa tulipo and with this mindset, we shall ever remain the laughing stock of the world till the end time.
 
Kaka huu unaouleta ni ushirikina dhwahiri.
Kwa kumsapoti Marekani ilhali kaziharibu nchi nyingi hapa Africa na kwingineko au wamekujaza kasumba mzee!?
Watu wanakufa kwa ebola na. HIV chanzo yeye then unasema maendeleo yao ni maendeleo yetu?!
Trump katuita Africa shit hole bado wamsapoti?!
America wameiteketeza Libya ambayo ilikua nchi ya Future of Africa development kwa kutaka waanzishe bank ya Africa yenye mikopo na isiyo na riba kwa ulafi wao wa mafuta still u ar supporting America?!
Watu weusi wanauliwa bila hatta makosa tena na vyombo vya usalama vya USA still u ar supporting USA, are you sane or insane my father?!
Charity begins at home. Nchi yetu imejaa rasilimali nyingi na tumeshindwa kuzitumia na bado tu tunailaumu Marekani. Sasa watu kama hao wakiitwa "Shithole" kosa liko wapi.

Hapa hapa kuna watu wameuwawa kwa sababu za kisiasa na wengine kujeruhiwa na hata wengine hawajulikani walipo hadi sasa lkn hakuna hatua yoyote inayochukuliwa, sasa sijui hapo pia mchawi ni Marekani. I don't know.

Kama watu wenye "Mindset" kama yako ndio wengi ktk nchi basi kumbe tunajaza maji kwenye ndoo inayovuja.
 
Unaelewa nilichokua nabishana na jamaa?!
Je umesoma quotes zangu vizury?
Inaelekea nyie ndie wale mnaoambiwa answer two questions mnajaza yote
Charity begins at home. Nchi yetu imejaa rasilimali nyingi na tumeshindwa kuzitumia na bado tu tunailaumu Marekani. Sasa watu kama hao wakiitwa "Shithole" kosa liko wapi.

Hapa hapa kuna watu wameuwawa kwa sababu za kisiasa na wengine kujeruhiwa na hata wengine hawajulikani walipo hadi sasa lkn hakuna hatua yoyote inayochukuliwa, sasa sijui hapo pia mchawi ni Marekani. I don't know.

Kama watu wenye "Mindset" kama yako ndio wengi ktk nchi basi kumbe tunajaza maji kwenye ndoo inayovuja.
 
Umesahau kuwa Watu America wanauliwa bila kosa tena na maaskari kisa weusi.
Halafu ushasahau km sasa hv weusi unaanza kutamalaki Asia angalia Saudia tyu mkuu wa majeshi mweusi.
Yemeni weusi wa kimahara kibaaao tena usipime.
Wewe ni mjinga sana kwa maana ya "Ignorant", yaani hujui hata namna biashara ya utumwa ulivyofanyika.. !!!

Hujui mamilioni ya watumwa waliotolewa huku East and Central Africa na waarabu kwa karibu karne tano nzima between 1400-1800 waliswagwa hadi wengine kupelekwa India, Pakistan, Thailand hadi China na kwa kuwa waarabu waliwaasi watumwa wanaume ndio maana leo hii hakuna "Descendants of African Slaves in Asia".

Hakuna bara humu duniani ambapo mtu mweusi anakuwa na wakati mgumu kuishi kama bara la Asia na hilo hata wewe ukiondoa unafiki utalikubali tu.

Wakati wa biashara ya utumwa enzi hizo madhila na mateso waliofanyiwa watumwa waafrika huko Asia ni makubwa na mabaya zaidi kuwahi kufanyiwa mwanadamu duniani and this is well documented ila baadhi ya waafrika kwa unafiki tu hawapendi kabisa kuliongelea hili kisa, dini. This is very foolish and rather disturbing.

Wanawake wa kiafrika walikuwa wakijifungua mtoto wa kiume utumwani huyo mtoto alikuwa ni wa kuuwawa tu, tena summarily, halafu watu mnakuja eti kusifia ukuda humu. Hakuna "Race" ya watu wanafiki kama waafrika na hii labda ndio maana tuko hapa tulipo and with this mindset, we shall ever remain the laughing stock of the world till the end time.
 
Wewe ni mjinga sana kwa maana ya "Ignorant", yaani hujui hata namna biashara ya utumwa ulivyofanyika.. !!!

Hujui mamilioni ya watumwa waliotolewa huku East and Central Africa na waarabu kwa karibu karne tano nzima between 1400-1800 waliswagwa hadi wengine kupelekwa India, Pakistan, Thailand hadi China na kwa kuwa waarabu waliwaasi watumwa wanaume ndio maana leo hii hakuna "Descendants of African Slaves in Asia".

Hakuna bara humu duniani ambapo mtu mweusi anakuwa na wakati mgumu kuishi kama bara la Asia na hilo hata wewe ukiondoa unafiki utalikubali tu.

Wakati wa biashara ya utumwa enzi hizo madhila na mateso waliofanyiwa watumwa waafrika huko Asia ni makubwa na mabaya zaidi kuwahi kufanyiwa mwanadamu duniani and this is well documented ila baadhi ya waafrika kwa unafiki tu hawapendi kabisa kuliongelea hili kisa, dini. This is very foolish and rather disturbing.

Wanawake wa kiafrika walikuwa wakijifungua mtoto wa kiume utumwani huyo mtoto alikuwa ni wa kuuwawa tu, tena summarily, halafu watu mnakuja eti kusifia ukuda humu. Hakuna "Race" ya watu wanafiki kama waafrika na hii labda ndio maana tuko hapa tulipo and with this mindset, we shall ever remain the laughing stock of the world till the end time.

Ngudu sina sababu ya kukutukana,
Ila wale wahindi weusi au waarabu weusi ni wanatoka wapi?

embu nionyeshe ni wapi china alaifanya biashara ya utumwa ?
 
Back
Top Bottom