Dalalims
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 235
- 131
We ndio baadoo upo usingizini unaota tuu. KUNA NCHI HAPA DUNIAN WATU WAKE WENYE ASILI YA WEUSI WANABAGULIWA NA KUNYANYASWA WAKATI MWINGINE NA ASKARI KABISA WA SERIKALI KULIKO MAREKANI??Tuzidi kuwaombea ndugu zetu wa Marekani.
Taifa lenye Waafrika wengi kuliko nchi nyingi za bara la Afrika.
Mafanikio ya Amerika ni mafanikio ya Afrika.
Tunategemea miaka mia moja ijayo Amerika itakua ni bara la watu weusi.
China akiihujumu Marekani ni kama kulihujumu bara lote la Afrika.
Wachina wamejazana Afrika kwa hisani ya watawala madikteta na vyama vyao.
Kaza sana Trump babaaaaa mpaka wanyoooke hao watu wa mashariki ya mbali mana hatuna faida nao mana hatuna ndugu zetu huko zaidi ya wanasiasa wanakwenda huko kujipendekeza kwa watu wenye roho mbaya wenzao.
HALAFU NI NANI ALIEKUPA HIZO TAKWIMU UNAZOTANGAZA KWAMBA ETI MIAKA 100 IJAYO AMERIKA ITAKUWA TAIFA LA WATU WEUSI?!!
Then unasema eti mafanikio ya Marekani ndio mafanikio ya AFRICA! Hiyo ni kuanzia lini wewe??
SISI tuwe wazalendo tulinde rasimali zetu kutokana na makucha yao hebu zinduka ndg