Huawei yatabiri kupata hasara ya dola bilioni 30

Huawei yatabiri kupata hasara ya dola bilioni 30

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,623
Reaction score
8,427
images.jpeg


Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hiawei, amesema kampuni yake itapata hasara hiyo huku akiilaumu Marekani kwa kupinga biashara yake

Ren Zhengfei amesema mauzo ya nje ya bidhaa za kampuni hiyo yameshuka kwa asilimia 40

Kampuni za Facebook na Google zimesitisha kufanya biashara ya Huawei kwa shinikizo la Serikali ya Marekani na siku mpya zinategemewa kutokuwa na uwezo wa kutumika kwa ajili ya Facebook na Google

Huawei ni kampuni ya China iliyoathirika zaidi katika vita ya kiuchumi kati ya Taifa hilo na Marekani


=======

Shenzhen, China (CNN Business) The founder and CEO of Chinese tech giant Huawei said the company will miss revenue forecasts by about $30 billion over the next couple of years and he blamed a US campaign against its business.

"In the next two years, I think we will reduce our capacity, our revenue will be down by about $30 billion compared to the forecast, so our sales revenue this year and next year will be about $100 billion," Ren Zhengfei said Monday during a panel discussion at Huawei's headquarters in Shenzhen.

The embattled Chinese tech firm has become a flashpoint in the US-China trade war. The Trump administration delivered a huge blow on May 16, when it added Huawei to a blacklist that bars US companies from selling it technology without first obtaining a license to do so.

Huawei became the world's largest telecommunications equipment maker and the No. 2 smartphone brand, despite being locked out of the US market for nearly a decade.

But just four weeks on the US trade blacklist is hitting the company hard, hurting its smartphone business and eroding its dominance in 5G equipment.

So far this year, overseas smartphone unit sales have "dropped by 40%," Ren said.

Mobile networks in countries like Japan and the United Kingdom have delayed the launch of Huawei smartphones, and companies like Google (GOOGL) and Facebook (FB) have been forced to suspend access to some of their services from the Chinese firm's new devices.
 
View attachment 1129778

Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hiawei, amesema kampuni yake itapata hasara hiyo huku akiilaumu Marekani kwa kupinga biashara yake

Ren Zhengfei amesema mauzo ya nje ya bidhaa za kampuni hiyo yameshuka kwa asilimia 40

Kampuni za Facebook na Google zimesitisha kufanya biashara ya Huawei kwa shinikizo la Serikali ya Marekani na siku mpya zinategemewa kutokuwa na uwezo wa kutumika kwa ajili ya Facebook na Google

Huawei ni kampuni ya China iliyoathirika zaidi katika vita ya kiuchumi kati ya Taifa hilo na Marekani


=======

Shenzhen, China (CNN Business) The founder and CEO of Chinese tech giant Huawei said the company will miss revenue forecasts by about $30 billion over the next couple of years and he blamed a US campaign against its business.

"In the next two years, I think we will reduce our capacity, our revenue will be down by about $30 billion compared to the forecast, so our sales revenue this year and next year will be about $100 billion," Ren Zhengfei said Monday during a panel discussion at Huawei's headquarters in Shenzhen.

The embattled Chinese tech firm has become a flashpoint in the US-China trade war. The Trump administration delivered a huge blow on May 16, when it added Huawei to a blacklist that bars US companies from selling it technology without first obtaining a license to do so.

Huawei became the world's largest telecommunications equipment maker and the No. 2 smartphone brand, despite being locked out of the US market for nearly a decade.

But just four weeks on the US trade blacklist is hitting the company hard, hurting its smartphone business and eroding its dominance in 5G equipment.

So far this year, overseas smartphone unit sales have "dropped by 40%," Ren said.

Mobile networks in countries like Japan and the United Kingdom have delayed the launch of Huawei smartphones, and companies like Google (GOOGL) and Facebook (FB) have been forced to suspend access to some of their services from the Chinese firm's new devices.
Mmmh ngoja tuone yajayo yanaweza kumfurahisha mchina au yakamuuzi Trump!
 
Tuzidi kuwaombea ndugu zetu wa Marekani.
Taifa lenye Waafrika wengi kuliko nchi nyingi za bara la Afrika.

Mafanikio ya Amerika ni mafanikio ya Afrika.

Tunategemea miaka mia moja ijayo Amerika itakua ni bara la watu weusi.

China akiihujumu Marekani ni kama kulihujumu bara lote la Afrika.

Wachina wamejazana Afrika kwa hisani ya watawala madikteta na vyama vyao.


Kaza sana Trump babaaaaa mpaka wanyoooke hao watu wa mashariki ya mbali mana hatuna faida nao mana hatuna ndugu zetu huko zaidi ya wanasiasa wanakwenda huko kujipendekeza kwa watu wenye roho mbaya wenzao.
 
Tuzidi kuwaombea ndugu zetu wa Marekani.
Taifa lenye Waafrika wengi kuliko nchi nyingi za bara la Afrika.

Mafanikio ya Amerika ni mafanikio ya Afrika.

Tunategemea miaka mia moja ijayo Amerika itakua ni bara la watu weusi.

China akiihujumu Marekani ni kama kulihujumu bara lote la Afrika.

Wachina wamejazana Afrika kwa hisani ya watawala madikteta na vyama vyao.


Kaza sana Trump babaaaaa mpaka wanyoooke hao watu wa mashariki ya mbali mana hatuna faida nao mana hatuna ndugu zetu huko zaidi ya wanasiasa wanakwenda huko kujipendekeza kwa watu wenye roho mbaya wenzao.
Wakati huo unapost hii kitu kwa kutumia simu ya kichina dah
 
Hata kama hawata pata hasara lazima waseme hivyo ili kuwaweka wana nchi wao na makampuni mengine ya nchini nyingine ili wawe macho na bidhaa za marekani kuwa ipo siku ukifanya nao biashara utapata hasara kubwa!
Hili jambo ni la vita!
 
.... nchi yake ndiyo iliyoanza kuipiga ban iPhone kutumika China huku mkidukua taarifa za wenzenu! Hayo mambo fanyeni Afrika kwa wajinga na sio kwa wajanja wanaowapatieni hadi hizo teknolojia mnazotumia kutengeneza pesa tena free of charge.
 
Tuzidi kuwaombea ndugu zetu wa Marekani.
Taifa lenye Waafrika wengi kuliko nchi nyingi za bara la Afrika.

Mafanikio ya Amerika ni mafanikio ya Afrika.

Tunategemea miaka mia moja ijayo Amerika itakua ni bara la watu weusi.

China akiihujumu Marekani ni kama kulihujumu bara lote la Afrika.

Wachina wamejazana Afrika kwa hisani ya watawala madikteta na vyama vyao.


Kaza sana Trump babaaaaa mpaka wanyoooke hao watu wa mashariki ya mbali mana hatuna faida nao mana hatuna ndugu zetu huko zaidi ya wanasiasa wanakwenda huko kujipendekeza kwa watu wenye roho mbaya wenzao.


U KNOW NOTHING!
 
Walijisahau wakapata kibri sasa inakula kwao hata uchumi umetetereka kidogo. Ngoja tuone nini wataamua ili kuondoa hivi vikwazo vya kiuchumi kati ya nchi hizi mbili.

.... nchi yake ndiyo iliyoanza kuipiga ban iPhone kutumika China huku mkidukua taarifa za wenzenu! Hayo mambo fanyeni Afrika kwa wajinga na sio kwa wajanja wanaowapatieni hadi hizo teknolojia mnazotumia kutengeneza pesa tena free of charge.
 
Hao HUAWEI watakuwa na shida kweli.
kwani kama ni commercial entity na wameamua kuwa global Communication power house kwanini wasichukue hatua za kuprove kwamba hawako chini ya President Xi.

wafloat shares zao, say 60% (20% Northen America, 20% EU, 10% Asia, 5% China na 2% Africa and 3% Middle East).

Done.
 
Mnatoa wapi haya Matango PORI ?
Apple has been banned by a court from selling iPhones in China, according to chip maker Qualcomm. The company says that a Chinese court has granted two preliminary injunctions that will force Apple to stop selling a whole range of iPhonesreleased since the iPhone 6s.

Dec 10, 2018

nimeikuta mtandaoni
 
Hata kama hawata pata hasara lazima waseme hivyo ili kuwaweka wana nchi wao na makampuni mengine ya nchini nyingine ili wawe macho na bidhaa za marekani kuwa ipo siku ukifanya nao biashara utapata hasara kubwa!
Hili jambo ni la vita!
Sawa
Screenshot_20190617-155646.jpeg
 
Hao HUAWEI watakuwa na shida kweli.
kwani kama ni commercial entity na wameamua kuwa global Communication power house kwanini wasichukue hatua za kuprove kwamba hawako chini ya President Xi.

wafloat shares zao, say 60% (20% Northen America, 20% EU, 10% Asia, 5% China na 2% Africa and 3% Middle East).

Done.
Huawei ina mahusiano ya moja kwa moja na Serikali ya China,hata kama wanaficha ila huu ni ukweli,Na hii ndo sababu kubwa kupigwa Ban sehem nyingi duniani.
 
Back
Top Bottom