Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Ku support apk sio issue pia sababu kuna os tayari zinasupport apka kama vile tizen ya samsung, sailfish os ya Jolla na BB10 os ya blackberry na zote hazikufanikiwa. Kuna mambo mbalimbali kama vileMbona taarifa kutoka Huawei inasema kua OS yao itakua inauwezo wa ku support apk za Android! So nadhani mtu anaweza download apk ya dream league na akacheza, Mbali na hapo wako kwenye mazungumzo na yule Mreno mmiliki wa Aptoide wanataka waifanye kwa muda kama mbadala wa Playstore itakayokuja na OS yao huku wakiendelea kujipanga zaidi japo wana App Gallery pia.... Ngoja tuendelee kufatilia tuone hatima yao japo kazi wanayo sana...
-kuto support google service, hapa haimaanishi tu app za google ndio zitakuwa hazipatikani bali app zote ambazo zinahitaji hii service mfano hio app niliyoitaja hapo juu yaani snapchat, hata uki sideload apk haitafanya kazi.
-runtime, kama utakumbuka android za zamani kama vile jelly bean kushuka zilikuwa zinatumia dalvik runtime ilikuwa slow sana na android ilikuwa nzito baadae google akahama kwenda art tukaona mabadiliko makubwa kuanzia kitkat, os zote zinazosideload apk zinakuwa na tatizo hili inachukua muda sana toka uclick app ya android mpaka kuja kufunguka. Ngoja tuone kama wana maajabu ila nategemea hapa pia kuwa na tatizo.
