Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Duh! Wewe unaishi dunia ya wapi?! Mbona US, Canada na Mexico walishamaliza toka mwaka jana november 30 pale Buenos Aires. Na sasa biashara inaendelea kubalance na inaendelea kushamili baina yao. Mmexico na mcanada wala hawakushupaza shingo kiivyo make walijua trump sio mtu wa mchezomchezo. Sasa ni zamu ya mchina, alishupaza shingo ila sasa alishalainika baada ya kupewa siku ya mwisho ili tozo zingine ziwekwe au ajisalimishe hatimaye akajisalimisha mwenyewe washington.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bidhaa muhimu haziwezi kupotea hata siku moja. Hizo fakelo za mchina zina umuhimu gani?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Fake tumetaka wenyewe,leo hii mfani tukipiga marufuku pikipiki za china watu wangapi wana kosa ajira

Sio pikipiki kuna bidhaa nyingi sana tunaagiza kutoka yani almost everything

Hadi vidude vya kucholonea masikio sio mchezo kabisa

Vifaa vingi vya hospital vinatoka China kwa sasa hatuna uwezo wa kuivimbia china yani hadi viatu tunatoa china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii sikubaliani nayo
Angalia maelezo ya hawa Forbes,raia wa china wenyewe wanasema kwamba hakuna kilicho ongezwa kwenye smartphone kwenye miaka hii ya karibuni yani ina maana watu huko hawanunui simy kutokana na majina wananunua kutokana na price na vile vile new features

Kwa miaka hii ya karibuni toka job kufariki iPhone hawajafanya improvement kubwa kabisa au hawajaweka vitu vipya kwa mtazamo wangu.

Zaidi zaidi iPhone zimeongezeka ukubwa yani kiukweli huwezi tofautisha iPhone XR na ile X labda ile back Glass

Mbadala ninaozungumzia ni kwenye soko la China.

Why Apple Will Lose China Market Share In 2018, Despite The Success Of The iPhone X

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi sehemu unapopeleka vitu fake na wanavipokea unapiga hela zako kuna haja ya kuhangaika kuwapelekea bidhaa original?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa usilalamike maana hata ukiletewa bidhaa original hununui

Na hoja hapa ilikua ni kwamba china wana bidhaa fake tu kumbe ufake tumetaka wenyewe maana wenzetu ulaya wana pelekewa bidhaa original kabisa

Siku nyingine ukienda sokoni kama ukikuta bidhaa fake mwambie muuzaji akuagizie bidhaa original uandae tu pesa yako bidhaa original za china zipo nyingi kazi ni kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na europe bado hawaja settle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China wamelipa kisasi Kwenye Boeng
haaaah,mkuu acha utani basi ile ni temporary sababu ile Boeing max ina mapungufu kwenye software ndio airlines nyingi zime suspend kama vile Indonesia's lion,ethiopia airline,aeromexico na mashirika mengine yatafuata ila Boeing wameahidi kufix hiyo software malfunction ndani ya week kadhaa

Wame ban temporary kwenye fleet ya boeing max sio zote mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Boeng lingine kutoa Ivory Coast kwenda France ikiwa imebeba watu 500 nalo nusu nusu kubutuka
 
Tatizo lipo kwa marekani wenyewe hivi walikua na trade deficit mpaka na Mexico ina maana walizubaa mno

Ina maana mexico walikua wana export zaidi marekani kuliko wanavyo import kutoka USA

USA alikua na deficit karibia na kila nchi kubwa,je tatizo lilikua lipo wapi na wasiwalaumu china kabisa wenyewe walizembea kwenye biashara walikua busy topple government za nchi zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimekuelewa mkuu
 
Kuhusu hilo hakuna wa kulaumiwa, deficit ipo na sasa partiner mmoja anataka marekebisho ili iwepo balance, ajabu huyu mmoja anataka kugoma waendelee hivyo hivyo ili deficit iendelee kuwepo azidi kunyonya. Hapo ndo lawama zinaanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukichukulia nchi kwa nchi US top 3 trading partiner ni china, Canada na Mexico, na ndo kaanza nao

Sent using Jamii Forums mobile app
European unaiacha wapi na hao nao ana deficit nao kubwa tu

Na hawa jamaa huwa wanatengeneza bidhaa kwa pamoja halafu wanauza

We hujiulizi kwa nini trump kwa nini hata umoja na hata amewahi kumuambia rais wa ufaransa ajitoea umoja wa ulaya ili afanye nae biashara vizuri na ana support sana brexit

Na europe ikimfuata huyu trump itaanguka kifudi fudi nina wapenda Germany mara nyingi wana msimamo sana hasa kwenye mambo ya kibiashara na vita vita


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Balance kwa sasa ni ngumu mno mpaka warudishe viwanda kwao ila sio hivi viwanda viwe nje ya marekani kumbuka European union tu ina deficit kubwa tu na USA

Sio rahisi kuitoa hii deficit kwa sasa hata kama waweke tarrifs kiasi gani hakuna deal itakayo wafaa wa marekani kwa sasa kuondoa hiyo deficit zaidi ya kurudisha viwanda nyumbani kwao na ili waache ku import bidhaa zao wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusubiri tuone hiyo deal maana hata na China nao watafikia tu mahala japo USA illegal means za ku negotiate kwa kumkamata CFO wa huawei awe kama bargaining chip

Swali la kujiuliza USA itaendelea au itaacha ku import bidhaa zao wenyewe kama itaendelea ina maana deficit iko pale pale au siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…