Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Mkuu China hauzi theruthi hata moja ya kiasi cha mauzo anayouza US. In reality consumption ya bidhaa za China kwa Africa ni ndogo sana usichanganyikiwe na unayo yaona kariakoo ukadhani ni soko kubwa kwao.
Tazama statistics za mauzo Google utaona kuwa Africa bado sana
Kaka huu uongo sasa.
Huwez sema consumption of Chinese goods is minimal in Africa.
Ilhali kiuhalisia kila upitapo sio kariakoo tu kwanzia mabasi,piki piki,bajaji,Magari ya ujenzi, ni Chinese made.
Hio ni ukweli tusilete unafiki.
Huyo US sijui vitu gani vingi anavyouza sana kuliko China hapa Africa??
Tizama Toyo,Fekon,Tianma zimetapakaaa kila kona kuliko piki piki zozote huo ni uhalisia.
Asa sijui bike zipi za US zimetapakaa kushinda hizo????
Tuongeee reality,kwa unachokiona kiuhalisia na statistics unazoangalia zinaendana???
 
Ok.lakini Nan anaumia zaidi?jibu Ni China.
Nadhani inabidi ifike mahali binadamu tuheshimiane.
Katika hali ya kupambana kibiashara na Us ..China kaanza kumjibu Us kimya kimya.
Thaman ya Yuan imeshushwa.
Rare mineral hakuna kuuza Us.
Hakuna kununua soya beans toka Us.
Taka toka Us zimepigwa marufuku kwa nchi nyingi Asia.
China wamejipanga kupambana na Us bilashaka.
 
Ok.lakini Nan anaumia zaidi?jibu Ni China.
Mzee umeuliza ukajijibu....umesoma lakini specification za new OS ya huawei....itakua inauwezo wa kumix na chombo chochote..yaani simu computer, smart tv, tablet , gari...wenyewe google bado wapo kwe prototype.....halafu huawei mjanja kiwanda kakiweka urusi na ameifanya open source means yoyote anaweza kuipgrade..sasa hapo mchina anaumia wapi...bado jamaa 5g yao ndo inashika soko la dunia...jamani tusijibukwa mazoea tuwe tunasoma article pia
 
Mzee umeuliza ukajijibu....umesoma lakini specification za new OS ya huawei....itakua inauwezo wa kumix na chombo chochote..yaani simu computer, smart tv, tablet , gari...wenyewe google bado wapo kwe prototype.....halafu huawei mjanja kiwanda kakiweka urusi na ameifanya open source means yoyote anaweza kuipgrade..sasa hapo mchina anaumia wapi...bado jamaa 5g yao ndo inashika soko la dunia...jamani tusijibukwa mazoea tuwe tunasoma article pia
Hajaaweka kiwanda Urusi ndg ,ameingia makubaliano na kampun ya serikali ili watumie Os ya Aurora ambayo warusi wakiinunua kwa wafinishi
 
Hajaaweka kiwanda Urusi ndg ,ameingia makubaliano na kampun ya serikali ili watumie Os ya Aurora ambayo warusi wakiinunua kwa wafinishi
Naona maneno yoote um3google na kuja na hicho tu...kwahiyo kiwanda kiko wapi? On top of that pamoja na kua strategy ya kukamata soko la russia wamekuja pia na plan b harmony ios ambayo google ndo kwanza wapo kwe prototype
 
Mzee umeuliza ukajijibu....umesoma lakini specification za new OS ya huawei....itakua inauwezo wa kumix na chombo chochote..yaani simu computer, smart tv, tablet , gari...wenyewe google bado wapo kwe prototype.....halafu huawei mjanja kiwanda kakiweka urusi na ameifanya open source means yoyote anaweza kuipgrade..sasa hapo mchina anaumia wapi...bado jamaa 5g yao ndo inashika soko la dunia...jamani tusijibukwa mazoea tuwe tunasoma article pia
Hivi vitu muwe mnatuachia tuliovikalia darasani, Open source OS ni rahisi kiwa hacked mfano Linux.
.
Wakati Google ameanza kutoa huduma kama search engine alikuwa hawezi ku monitor wala ku-collect data za chochote Kumbuka data za users ni mtaji mkubwa sana, akaunda Chrome hii ikawa inachukua data ya kila kinachofanywa na user lakini bado haikuwa safe wakafikiri tena.
.
Wakaona ili tujue kila kitu unalala saa ngapi unaamka saa ngapi, unakunywa chai saa ngapi tuunde Android wakaunda hapo awali watu walikuwa wengine hawatumii Chrome hivyo walikuwa wanawapiga chenga ya mwili Google ya kukusanya data.
.
Sasa usipotumia Google kama search engine, unajikuta unatumia Chrome wana wewe, usipotumia Chrome na Google utatumia Google map, au Gmail wana wewe usipotumia hivi vyote utatumia Android wana wewe tu.
.
Open source unaweza uka hack chochote na wakati wowote waulize watumiaji wa Linux, 5G hii wameigundua wazungu wenyewe nadhani wa Europe wa Marekani sasa mchina yuko too fast anataka kuisambaza in terms of business.
.
Wakati huo US bado hajajipanga kuzuia athari za 5G kwa usalama wake na raia mchina vitu vyote anafanya under English-based cyber system yani wanae kwenye kiganja hafurukuti
 
Kusoma hujui ata kuona picha unashindwa??
Mkuu China hauzi theruthi hata moja ya kiasi cha mauzo anayouza US. In reality consumption ya bidhaa za China kwa Africa ni ndogo sana usichanganyikiwe na unayo yaona kariakoo ukadhani ni soko kubwa kwao.
Tazama statistics za mauzo Google utaona kuwa Africa bado sana
 
Huna uwezo kununua vitu toka US ni ghali mno ndiyo maana mnakimbilia vya CHINA bei rahisi na havina ubora hata kidogo
 
View attachment 1178523
Are Mercedes made in China?
Beijing Benz (officially Beijing Benz Automotive Co., Ltd) is an automotive manufacturing company headquartered in Beijing, China, and a joint venture between BAIC Motor and Daimler AG. ... As of 2016, Beijing Benz assembles and manufactures theMercedes-Benz E-Class (long wheelbase), and C-Class in China.


A semi-treiler truck pia wanatengeneza
1~Faw truck
2~Howo sinotruck
3~Dongfeng trucks
4~Foton trucks
5~JAC
6~Shaanxi
7~Shacman
8~Beiben

Na hapa Tz matrucks yamejasa chungu nzima, tena magari yao punda babaa yanapiga kazi co muchezo.
Wazee copy and paste
 
Kusoma hujui ata kuona picha unashindwa??
Usichanganyikiwe na bidhaa za china unazoona kariakoo. Soko la China kubwa ni Marekani kuanzia mafreezer, AcS, nguo all home appliances, na vifaa vingine tena vya bei siyo kariakoo. Usibishane na statistics google uone Africa siyo soko kubwa ambalo China analitegemea sana labda kwa baadae siyo kwa sasa
 
Kaka huu uongo sasa.
Huwez sema consumption of Chinese goods is minimal in Africa.
Ilhali kiuhalisia kila upitapo sio kariakoo tu kwanzia mabasi,piki piki,bajaji,Magari ya ujenzi, ni Chinese made.
Hio ni ukweli tusilete unafiki.
Huyo US sijui vitu gani vingi anavyouza sana kuliko China hapa Africa??
Tizama Toyo,Fekon,Tianma zimetapakaaa kila kona kuliko piki piki zozote huo ni uhalisia.
Asa sijui bike zipi za US zimetapakaa kushinda hizo????
Tuongeee reality,kwa unachokiona kiuhalisia na statistics unazoangalia zinaendana???
Hivi umenielewa kweli?
Nimekwambia thamani ya bidhaa China anazouza US ni kubwa sana kuliko anazouza Afrika. Yani consumption ya bidhaa Afrika inazonunua china haifiki hata theluthi moja ya bidhaa anazouza China.
Hakuna sehemu nimesema US anaongoza kuuza bidhaa Afrika labda kama ulisoma kwa kukurupuka.
Nilikuwa bapinga kusena kuwa China anategemea soko la Afrika liwe mbadara la mauzo yake US maana kwa sasa haiwezekanai
 
Uwezo wa China kupambana na US kwa muda mrefu ni mdogo. Wakienda hivi say kwa miaka mitano, China will collapse.
Sasa nani atanunua simu yenye OS ya mchina kwa mfano?
Nadhani kinachokutatiza ni lugha. OS yao itatengenezwa kichina na kutumia lugha nyingine kufanya kazi. Suala ni je itakuwa bora? Kuna system nyingi tu zimetengenzwa kwa lugha tofauti na zinatumika kwa lugha nyingine. Mfano ni system ya tra ya TANCIS imetengenezwa kikorea na sisi tunaisoma kwa kiingereza.
 
Wewe ndio hukunielewa
Hivi umenielewa kweli?
Nimekwambia thamani ya bidhaa China anazouza US ni kubwa sana kuliko anazouza Afrika. Yani consumption ya bidhaa Afrika inazonunua china haifiki hata theluthi moja ya bidhaa anazouza China.
Hakuna sehemu nimesema US anaongoza kuuza bidhaa Afrika labda kama ulisoma kwa kukurupuka.
Nilikuwa bapinga kusena kuwa China anategemea soko la Afrika liwe mbadara la mauzo yake US maana kwa sasa haiwezekanai
 
Tulianzia hapa AC especially huo mstari wa mwsho nikakwambia kama unauliza nan ata nunua O.S ya mchina nikakwambia Africa ni sehemu mojawapo ambapo mchina anauza sana vitu vyake.
Uwezo wa China kupambana na US kwa muda mrefu ni mdogo. Wakienda hivi say kwa miaka mitano, China will collapse.
Sasa nani atanunua simu yenye OS ya mchina kwa mfano?
 
wachina wanacho fanya ni mkwala wa mbuzi yalishindwa makampuni makubwa kushindana na android
kama window BlackBerry Nokia series nk
 
Tulianzia hapa AC especially huo mstari wa mwsho nikakwambia kama unauliza nan ata nunua O.S ya mchina nikakwambia Africa ni sehemu mojawapo ambapo mchina anauza sana vitu vyake.
Ni ngumu kwasababu watu wengi hata android hawaijui ila akienda kununua simu anauliza ina whatsapp na facebook na instagram? Kumbuka hayo makampuni ni ya kimarekani which means hutoyakuta kwenye OS ya mchina kama Marekani atayapiga ban. Mchina ana wechat je ni watz wangapi anaitumia?
 
Tulianzia hapa AC especially huo mstari wa mwsho nikakwambia kama unauliza nan ata nunua O.S ya mchina nikakwambia Africa ni sehemu mojawapo ambapo mchina anauza sana vitu vyake.
Africa is a tiny market. It doesnt even account to 20% of Huawei sales!
 
Sawa imekamilika ngoja tuwasubiri sokoni ndo kila kitu linux ni open source free 100% ila kwa akili za muafrica amezoea Microsoft os yuko tayari kutumia cracked os ila iwe os ya geti ila tuisubiri sokoni
Umenikumbusha kuna mzungu alikuja bongo kaniachia linux open source kwa kweri ipo free na inaingiliana na microft os
 
Back
Top Bottom