Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Woyoooo, niliwambia humu, msicheze na vimacho, timu amerika mtajitia vitanzi mwaka huuu
Screenshot_20190809_124412_com.android.chrome.jpeg
 
Huawei wakishakuwa na OS ya kueleweka, wote hao watahama Android na kuhamia Huawei OS kwa sababu wanafahamu hata wao hawawezi kuwa safe dhidi ya US! Na usikute hiyo OS ina ruzuku kubwa toka serikalini ili kuhakikisha kampuni zingine za China zinaitumia

Sawa imekamilika ngoja tuwasubiri sokoni ndo kila kitu linux ni open source free 100% ila kwa akili za muafrica amezoea Microsoft os yuko tayari kutumia cracked os ila iwe os ya geti ila tuisubiri sokoni
 
Usicheze na waChina a.k.a Vimacho vidogo, Google wameanza kujuta huko, Inaonyeshea Plan B ya hawa vimacho itafanikiwa kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mfupi tu, waafrica na Asia watatumia tu bidhaa ya vimacho hamna namna coz ni rahisi sana, Ulaya wote sasaivi wanatumia 5G ya mchina, Marekani anaanza kubwabwaja na kulalamikia nchi za ulaya kuwa zinamsaliti, Yaani mpaka UK anasema hawawezi kuhairisha mfumo wa 5G wa huawei coz taari mkataba umeshafanyika
View attachment 1176635View attachment 1176636
Kwa hali hii naona kuna vita inakuja hapa.
 
Katika vita hii China itamkalia pabaya tuu. Marekani ndio nchi yenye uchumi mkubwa Dunia na pia rare earth metals hata Marekani anazo sema China alikuwa anauza Kwa bei ndogo ndio maana Marekani ikaacha kuchimba na sahizi Mchina ana wakati mgumu kwasababu Hongkong pale maandamano Yanaendelea na Kwahiyo na Muingereza kamkalia pabaya suala China Kwa internal interference. akikosea treatment Kwa Hongkong ndio kwisha yake . Tianam square, Uighur Muslims na sahivi Hongkong
Akili za watu zimefinywa zikafinyika. Wanachodhani wao it's all about kutengeneza na kuuza, hizo other factors wala hawaziangalii. Nakumbuka tangu miaka ya katikati ya tisini katika report yao, CIA walisema kwa hali ilivyo kama mchina hatapigana vita yoyote ile basi itamchukua miaka nane (8) kuwa namba tatu kiuchumi Duniani. Then, miaka ya elfu mbili CIA walisema kabla ya 2016 kama hali itabaki hivi basi China atakua namba 2 kiuchumi duniani.
Hii najaribu kuonyesha jinsi watu wanavyofuatilia mambo, mbinu na mikakati ya mchina watu wanaijua, yote ipp mikononi maana wanajua exactly pale itakapo mfikisha. Hivyo hawakuwa mafala, walitengeneza nikakati ya kufaidika naye halafu baadaye waje ku m contain na kumfifisha kabisa. China hataweza kufika anakodhani anaelekea, Uingereza hakuwa fala alipomkabidhi Hong Kong ambao hadi leo hawataki kujiona kuwa wao ni sehemu ya China.
Kuna Macau, kuna Taiwan kuna Tibet. Hizi zote ni special projects dhidi ya Mchina, ni timing bombs.
Mchina amesha kuwa contained, hana tena ujanja.
Watu si wajinga wanapo invest heavily kwenye maswala ya Research and Intelligence, si wajinga hata
 
Sawa imekamilika ngoja tuwasubiri sokoni ndo kila kitu linux ni open source free 100% ila kwa akili za muafrica amezoea Microsoft os yuko tayari kutumia cracked os ila iwe os ya geti ila tuisubiri sokoni
Huyo Mwafrika unayemwongelea ni Mwafrika wa aina gani?! Mwafrika wa kawaida ambae ni mtumiaji wa bidhaa au Mwafrika mwenye uelewa na mambo ya IT? Hivi unadhani PCs zingekuwa zinakuja zikiwa na Linux, huyo Mwafrika unayemsema angehangaika kuitafuta Windows?

Hiyo OS ya Huawei kama itakuwa finalized, itakuwa haikwepeki kama isivyokwepeka Windows kwa watumiaji wa kawaida ambao ndio wengi maradufu! Itakuwa haikwepeki, kwa sababu inafahamika simu za Mchina ndizo simu za bei nafuu huku zingine zikiwa na specs mzuri tu! Sasa let's assume hiyo OS ipo okay, kisha simu za Huawei zinakuja na hiyo OS! Na ninaamini simu zingine za Kichina kama Honor, Xiaomi, One Plus, Oppo, Tecno, Infinix na wengine huenda wakafuata kwa sababu, none of them anaweza kujihisi yupo salama dhidi ya figisu figisu za US!

Niliwahi kuongea siku za nyuma, na hapa narudia! Kama hiyo OS itakuwa iko poa, mteja mkubwa wa kuaminika wa Google atabaki Samsung!
 
Akili za watu zimefinywa zikafinyika. Wanachodhani wao it's all about kutengeneza na kuuza, hizo other factors wala hawaziangalii. Nakumbuka tangu miaka ya katikati ya tisini katika report yao, CIA walisema kwa hali ilivyo kama mchina hatapigana vita yoyote ile basi itamchukua miaka nane (8) kuwa namba tatu kiuchumi Duniani. Then, miaka ya elfu mbili CIA walisema kabla ya 2016 kama hali itabaki hivi basi China atakua namba 2 kiuchumi duniani.
Hii najaribu kuonyesha jinsi watu wanavyofuatilia mambo, mbinu na mikakati ya mchina watu wanaijua, yote ipp mikononi maana wanajua exactly pale itakapo mfikisha. Hivyo hawakuwa mafala, walitengeneza nikakati ya kufaidika naye halafu baadaye waje ku m contain na kumfifisha kabisa. China hataweza kufika anakodhani anaelekea, Uingereza hakuwa fala alipomkabidhi Hong Kong ambao hadi leo hawataki kujiona kuwa wao ni sehemu ya China.
Kuna Macau, kuna Taiwan kuna Tibet. Hizi zote ni special projects dhidi ya Mchina, ni timing bombs.
Mchina amesha kuwa contained, hana tena ujanja.
Watu si wajinga wanapo invest heavily kwenye maswala ya Research and Intelligence, si wajinga hata
Mkuu Ila tambuwa hesabu moja inaweza kuwa na njia zaidi ya mbili za kupata jbu sawa!! HK ipo under control ya china 100%
Tujipe muda watasagwa na hakuna atakaye ongea!
 
Nadhani inabidi ifike mahali binadamu tuheshimiane.
Katika hali ya kupambana kibiashara na Us ..China kaanza kumjibu Us kimya kimya.
Thaman ya Yuan imeshushwa.
Rare mineral hakuna kuuza Us.
Hakuna kununua soya beans toka Us.
Taka toka Us zimepigwa marufuku kwa nchi nyingi Asia.
China wamejipanga kupambana na Us bilashaka.
Hivi vikwazo vinamuumiza USA siyo siri. Rais wa National Farmers Union wa Us Roger Johnson nilivyokuwa namsikiliza anakwambia huo mgogoro unawaumiza wakulima wa Marekani. China ameshatafuta pahala pengine pa kununua Soya beans. Licha ya hivyo Marekani imekumbwa na mengi kama mafuriko ambayo nayo yameharibu mazao.

Kwenye trade napo Marekani imepaharibu kwa sababu farmers wanapata hela kwenye market palce na market place yao ni China. Trump anataka kukata kiasi cha hela kutoka kwenye kodi ya wananchi ili afidie kwa farmers. Raia wanauliza sasa nchi yetu(USA) ni ya Kibepari au ya kijamaa?

Kwenye rare mineral Mchina kagusa! Kwa sababu viwanda vingi vya teknoloji na military equipment vya Amerika vinategemea rare mineral kutoka China. Na uvunaji wa haya madini ni mgumu kwani unahitaji eneo kubwa sana la ardhi na hapo ndipo China kawashika pabaya hata nchi nyengine wanaozalisha hayo madini. Kwani China ana ardhi kubwa sana.

Marekani analeta habari za miaka ya 80. Anashindwa kuisoma Dunia jinsi ilivyo sasa maamuzi mengi anakurupuka.
 
china, ni timing bombs.
Mchina amesha kuwa contained, hana tena ujanja.
Watu si wajinga wanapo invest heavily kwenye maswala ya Research and Intelligence, si wajinga hata


Mkuu hivi kuna mtu anayeweka pesa mingi kwenye hiyo kitu kama mchina kwasasa?
Niambie ni sector gani mchina amezidiwa labda ya kivita na hata huko ukiangalia amount ya hela na out put ni tofauti.
 
Katika vita hii China itamkalia pabaya tuu. Marekani ndio nchi yenye uchumi mkubwa Dunia na pia rare earth metals hata Marekani anazo sema China alikuwa anauza Kwa bei ndogo ndio maana Marekani ikaacha kuchimba na sahizi Mchina ana wakati mgumu kwasababu Hongkong pale maandamano Yanaendelea na Kwahiyo na Muingereza kamkalia pabaya suala China Kwa internal interference. akikosea treatment Kwa Hongkong ndio kwisha yake . Tianam square, Uighur Muslims na sahivi Hongkong
Haya madini Marekani anayo kwa asilimia ndogo sana. Pentagon wamewaambia mashirika ya kutengeneza zana za kivita kama sijakosea, watafute mahali pengine ili wasiwe wenye kutegemea nchi nyengine(China).

Marekani kaangukia kwa Brazil na Australia na kuwataka wazalishe kwa wingi ili walete ushindani kwa China. Lakini hawawezi kwani ki asilimia ynapatikana kiuchache na licha ya hivyo uchimbaji wa hayo madini unahitaji ardhi kubwa, na mwenye ardhi kubwa kuhusu hayo madini ni China. Licha ya hivyo, China ndipo wanayo shehena ya hazina ya hayo madini kwenye ardhi yake.
 
Usiidharau China, USA halali anaumiza kichwa namna ya kuharibu uchumi lakini ameshindwa hiyo vita wanayoendelea nayo itawaathiri wote
Katika vita hii China itamkalia pabaya tuu. Marekani ndio nchi yenye uchumi mkubwa Dunia na pia rare earth metals hata Marekani anazo sema China alikuwa anauza Kwa bei ndogo ndio maana Marekani ikaacha kuchimba na sahizi Mchina ana wakati mgumu kwasababu Hongkong pale maandamano Yanaendelea na Kwahiyo na Muingereza kamkalia pabaya suala China Kwa internal interference. akikosea treatment Kwa Hongkong ndio kwisha yake . Tianam square, Uighur Muslims na sahivi Hongkong
 
Nadhani inabidi ifike mahali binadamu tuheshimiane.
Katika hali ya kupambana kibiashara na Us ..China kaanza kumjibu Us kimya kimya.
Thaman ya Yuan imeshushwa.
Rare mineral hakuna kuuza Us.
Hakuna kununua soya beans toka Us.
Taka toka Us zimepigwa marufuku kwa nchi nyingi Asia.
China wamejipanga kupambana na Us bilashaka.
Usisahau kuwa wakulima wa US pia wanailalamikia serikali kuhusu soko la kuuza mazao yao
na wananchi wengine wanalalamika bei ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya US kuwa kubwa kuliko bidhaa hizo hizo zinazozalishwa China.
China pia ina foreign currency reserve ya kiasi cha $3,200 bilioni. Kwa kiasi hiki nchi hiyo inaweza ku-absorb kwa kiasi fulani impact ya matatizo yake na US.
 
Katika vita hii China itamkalia pabaya tuu. Marekani ndio nchi yenye uchumi mkubwa Dunia na pia rare earth metals hata Marekani anazo sema China alikuwa anauza Kwa bei ndogo ndio maana Marekani ikaacha kuchimba na sahizi Mchina ana wakati mgumu kwasababu Hongkong pale maandamano Yanaendelea na Kwahiyo na Muingereza kamkalia pabaya suala China Kwa internal interference. akikosea treatment Kwa Hongkong ndio kwisha yake . Tianam square, Uighur Muslims na sahivi Hongkong
We unadhan Mercedes Benz wanafurahia viongozi wetu wanapotumia Toyotas..wana NUNAAA.
 
Watu wengne mnataka muonekane mnabisha tu...
Hapo ulipo tu unavitu vya mchina.. Halafu unasema China hana uwezo kushindana na US .
Ni kweli. Hapa natumia computer ya Acer kwa kuwa ina Windows ya Mmarekani. Isingekuwa ni Windows ya Mmarekani, nisingeinunua... Pia natumia simu ya kichina kwa kuwa ina operating system ya Android. Isingekuwa na Android nisingeinunua...
 
Program ambazo zinawika zote ni za Marekani. Hujui kama Huawei katikati huu mgogoro na Marekani imeshapata Hasara ya 30usb. Africa hawana uwezo wa kununua simu nzuri. Africa tunanua fake product za Mchina. Africa Sio ya kujitegemea Kwa Soko bado ni nchi maskini mno. Yaani bara lote la Africa uchumi wake unaachwa na uingereza tuu.


Kwanini unaponda bidhaa za china na kuziita fake product wakati huo huo unazitumia? Si ununue basi hizo original na kwa bei ghali from US! inaonekana bado mchanga sana kwenye haya mambo.

Piki piki za kufanyia biashara na matumizi ya nyumbani mnatumia za kwake.

Baadhi ya Bajaji pamoja na zile zinazobeba mizigo mnatumia za kwake.

Baiskeli mnatumia za kwake.

Magari chungu nzima mnatumia ya kwake.

Mashine za juice ya miwa

Mashine za ice cream

Mashine za kusagiaa karanga

Mashine za tofali

Mashine za mabati

Mashine plastic

Mashine za vinywaji mbali mbali n.k

Simu mnatumia za kwake.

Si ajabu hata chupi/nguo unazovaa made in china.

Muwe mnauliza kwanza, Sio kila bidhaa from China ni fake
,wenzetu wanaenda na grades, ukitaka original watakutengenezea kulingana na uwezo wako wa kifedha,,na ukitaka medium watakutengenezea, na ukitaka ya kawaida ambazo wengi wetu tunazimudu huku bongo wanatengeneza pia. Nchi kama Tanzania sio wote wenye uwezo wa kumiliki simu za mamilioni.
 
Mkuu umeisoma hii kitu inaayoitwa hammony Os ?
au ?

Sio kuisoma nimetumia blackberry os nimetumia Microsoft mobile os zote zimefail kwenye soko mkuu usiangalie unauwezo wa kutumia vitu tofauti africa wengi maisha wamekariri maisha kwenye android na ukwel android wamefanya kaz kubwa sana tena mno kwa muda kidg inabidi huawei ajipange vizur najua vita hii mmarekani dhidi ya technologia nae ajiangalie amesomesha maadui zake wengi hunaweza kuona huawei amefanya kitu hammony os alafu ikija wekwa kwenye devices features zinafanana na android we angalia tu huawei p series muonekano wa iphone x means wanajua soko likoje watulize akili vizur lkn wanaweza kupiga atua
 
Back
Top Bottom